Home Uncategorized Stand United yashuka rasmi daraja!

Stand United yashuka rasmi daraja!

Timu ambayo ilikuwa inasubiriwa kushuka daraja kuungana na African Lyon imepatikana rasmi. Stand United ya Shinyanga rasmi wameshuka daraja baada ya kufungwa na JKT Tanzania kwa goli 2-0 na JKT Tanzania.

Timu mbili ambazo zitacheza playoff (Michezo ya mitoano ) ni Kagera Sugar aliyeshika nafasi ya 18 na Mwadui FC aliyeshika nafasi ya 17.

Mwadui na Kagera watacheza na Pamba FC ya Mwanza na Geita Sports ya Geita. Mshindi wa playoff atapanda ligi kuu Tanzania bara msimu ujao tena

# Timu P W D L GD Pts
1 Simba SCSimba SC 38 29 6 3 62 93
2 Yanga SC 38 27 5 6 29 86
3 Azam FC 38 21 12 5 33 75
4 KMC FC 38 13 16 9 15 55
5 Mtibwa Sugar FC 38 14 8 16 1 50
6 Lipuli FC 38 12 13 13 -8 49
7 Mbeya City FC 38 13 9 16 -1 48
8 Coastal Union FC 38 11 15 12 -10 48
9 Ndanda FC 38 12 12 14 -12 48
10 JKT Tanzania SC 38 11 14 13 -6 47

The post Stand United yashuka rasmi daraja! appeared first on Kandanda.

SOMA NA HII  RASMI,MANULA NA BOCCO KUIKOSA FC PLATINUM

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here