Msanii Mkongwe wa Bongo Fleva Afande Sele amesema timu za Simba na Yanga zinatakiwa kujitathimini kutokana na uwanja wa timu ya Gwambina ya wilayani Misungwi Mwanza.
Msanii Mkongwe wa Bongo Fleva Afande Sele amesema timu za Simba na Yanga zinatakiwa kujitathimini kutokana na uwanja wa timu ya Gwambina ya wilayani Misungwi Mwanza.