Home Uncategorized KINDA WA TIMU YA TAIFA YA ENGLAND APIGWA PINI MIAKA MITANO UNITED

KINDA WA TIMU YA TAIFA YA ENGLAND APIGWA PINI MIAKA MITANO UNITED

MANCHESTER United imekamilisha dili la kinda Aaron Wan-Bissaka kwa dau la Euro millioni 50.

Kinda huyo wa timu ya Taifa ya England mwenye umri wa miaka 21 amesaini dili hilo na atalipwa mshahara wa Euro 80,000 kwa wiki.

Amesaini kandarasi ya miaka mitano, mkataba wake utameguka 2024 na kuna kipengele cha kuongeza muda na mkwanja iwapo ataonyesha makeke kwa kutimiza vipengele vya kwenye mkataba vinavyozungumzia uwezo wake uwanjani.



SOMA NA HII  MWINYI ZAHERA: MOLINGA AMEPONZWA NA BENCHI NDIO MAANA HAJAFUNGA MABAO 15