Home Uncategorized SIMBA YATOA TAMKO JUU YA RAMADHANI SINGANO ‘MESSI’

SIMBA YATOA TAMKO JUU YA RAMADHANI SINGANO ‘MESSI’

UONGOZI wa Simba umesema kuwa bado una imani na mchezaji wao wa zamani, Ramadhani Singano ‘Messi’ ambaye ametemwa ndani ya kikosi cha Azam FC kilicho chini ya Etiene Ndayiragije.

Ofisa Habari wa Simba Haji Manara amesema kuwa ni wakati sahihi kwa Messi kutulia kabla ya kufanya maamuzi.

“Bado ni mchezaji mwenye akili nyingi, uwezo wake hasa wa kutumia mguu wa kushoto na maamuzi ya haraka, hivyo ni muda sahihi kutulia kabla ya kurejea kwenye ubora licha ya kuachwa na Azam FC,” amesema.

SOMA NA HII  MSIKILIZE EYMAEL KWANINI ANAAMINI ATAITWANGA SIMBA TENA

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here