Home Uncategorized VIDEO: KAKOLANYA AFUNGUKA SABABU ZA KUSAINI SIMBA, KUHUSU TAIFA STARS …….

VIDEO: KAKOLANYA AFUNGUKA SABABU ZA KUSAINI SIMBA, KUHUSU TAIFA STARS …….


Aliyekuwa Golikipa wa Yanga na ambaye kwa sasa amesaini katika klabu ya Simba Beno Kakolanya amefunguka usajili wake Simba SC na kilichofanya amesaini katika klanbu hiyo.

Beno amesema kuwa Simba ni klabu Kubwa pia ina kikosi kizuri na ni timu ambayo imekubaliana nayo katika maslahi na kusaini.

Kakolanya amesaini katika klabu ya Simba hivi karibuni akitokea yanga ambapo alikua aitumikii timu yake kwa takribani nusu msimu na msimu ujao ataitumikia timu ya Simba SC.

SOMA NA HII  KOCHA YANGA AMLILIA HERITIER MAKAMBO