Home Uncategorized AZAM FC WALIFUATA KOMBE LAO RWANDA LEO

AZAM FC WALIFUATA KOMBE LAO RWANDA LEO

MABINGWA watetezi wa kombe  la Kagame Azam FC leo wameelekea nchini Rwanda na ndege ya Shirika la RwandaAir, ili kutetea taji lao.

Michuano hiyo inatarajiwa kuanza kutimua vumbi Rwanda kuanzia Julai 6-21 mwaka huu.


 Azam FC itamenyana na KCCA ya Uganda, Mukura ya Rwanda na Bandari ya Kenya. 

SOMA NA HII  YANGA YATOA TAMKO HILI BAADA YA KUSHINDWA KUTAMBA MBELE YA IHEFU

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here