Home Uncategorized BEKI MPYA MANCHESTER UNITED AMTAJA ALIYEMPELEKA UNITED

BEKI MPYA MANCHESTER UNITED AMTAJA ALIYEMPELEKA UNITED

AARON Wan- Bissaka ambaye ni beki mpya ndani ya Manchester United amesema kuwa meneja wa timu hiyo Ole Gunnar Solkjaer ndiye amesababisha ajiunge na timu hiyo.


Nyota huyo amejiunga na kikosi hicho akitokea Crystal Palace na ametambulishwa rasmi kuitumikia timu hiyo msimu ujao.

“Nimefurahi kutua Manchester United, wakati nikiwa kijana nilikuwa natamani sana siku moja nitue hapa na kocha Solskajaer ni mmoja wa watu waliosababisha mimi nikaja hapa,” amesema.
SOMA NA HII  MWILI WA MKE WA NAHODHA WA AZAM FC, AGREY MORIS KUPUMZISHWA JANUARI, 13,2020

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here