Msanii nguli wa muziki wa Bongo fleva Bob Junior amesema kosa lake ni kukaa kimya kwa muda mrefu na ndio maana alikuwa hasikiki.
Ameongeza kuwa amemsaidia sana Harmonize hadi ameingia kwenye game, na alipoulizwa kuhusu Diamond anamzungumziaje akasema “anatumia ujana wake kwa nguvu, Mungu ambariki.”
Sign in
Welcome! Log into your account
Forgot your password? Get help
Password recovery
Recover your password
A password will be e-mailed to you.