IIKAY Gundogan, kiungo mshambuliaji wa Manchester City bado yupo sana ndani ya kikosi hicho.
Gundogan ameongeza kandarasi ya kuitumikia klabu hiyo ambapo atadumu mpaka mwaka 2023.
Nyota huyo raia wa Ujerumani amekuwa chaguo la muda mrefu kwa Pep Guardiola licha ya kuwa hana umaarufu wa Soka la England.
“Habari mashabiki nimesaini mkataba mpya wa miaka minne, najiona mwenye furaha kuendelea kuitumikia klabu hii,”.
Sign in
Welcome! Log into your account
Forgot your password? Get help
Password recovery
Recover your password
A password will be e-mailed to you.