KUELEKEA kwenye mchezo wa kesho wa ngao ya jamii kati ya Simba na Azam FC uwanja wa Taifa kikosi cha Simba kitawakosa nyota wake watatu wa kikosi cha kwanza.
Wachezaji hao ni mlinda mlango Aishi Manula, kiungo Ibrrahim Ajib na mbrazil Wilker da Silver ambao wanasumbuliwa na majeruhi.
Mchezo huo unawakutanisha mabingwa wawili ambapo Simba ni bingwa wa Ligi Kuu Bara na Azam FC ni bingwa wa kombe a Shirikisho.
Sign in
Welcome! Log into your account
Forgot your password? Get help
Password recovery
Recover your password
A password will be e-mailed to you.