TANGU mwaka 2001 ambapo mechi za Ngao ya jamii zilianza kuchezea hapa nchini tayari zimechezwa mechi 11.
Yanga inaoongoza Kwa kucheza mechi nyingi ambazo ni nane na kuikimbiza Azam FC ambayo imecheza jumla ya michezo tano.
Pia imetwaa mataji mengi ambayo ni matano, Simba imetwaa mara nne, Azam FC Mtibwa zimeshinda mojamoja.
Yanga ni wababe wa kutwa taji la ngao ya jamii kwa sasa rekodi ambayo inawapasua kichwa Simba kwa sasa wakihaha kuivunja leo.
Sign in
Welcome! Log into your account
Forgot your password? Get help
Password recovery
Recover your password
A password will be e-mailed to you.