Kipindi cha Kwanza: Yanga 0-0 Gwambina FC
Uwanja wa Uhuru.
YANGA leo imeikaribisha Gwambian FC Uwanja wa Uhuru kwenye mchezo wa Kombe la Shirikisho.
Mshindi wa leo anapenya jumla mpaka hatua ya robo fainali kuendeleza mbio za kusaka ubingwa uliopo mikononi mwa Azam FC.
Mashabiki wamejitokeza Uwanja wa Uhuru kushuhudia pambano.
Sign in
Welcome! Log into your account
Forgot your password? Get help
Password recovery
Recover your password
A password will be e-mailed to you.