SAUL Niquez nyota wa Atletico Madrid alipachika bao pekee la ushindi mbele ya Liverpool dakika ya nne kwenye hatua ya 16 bora ya mchezo wa Ligi ya Mabingwa Ulaya uliokamilika kwa Atletico kushinda bao 1-0.
Jitihada za Liverpool ambao ni Mabingwa watetezi ziligonga mwamba kwani wapinzani wao walikaza mwanzo mwisho na kujilinda.
Mchezo wa marudio unatarajiwa kuchezwa Machi 11 Uwanja wa Anfield.
Jurgen Klopp, Kocha Mkuu wa Liverpool amesema kuwa mashabiki wa Atletico Madrid wajitokeze kwa wingi Anfield bila kukosa.
Sign in
Welcome! Log into your account
Forgot your password? Get help
Password recovery
Recover your password
A password will be e-mailed to you.