AZAM FC jana imeinyoosha Alliance FC ya Fred Minziro kwa ushindi wa bao 1-0.
Mchezo huo uliochezwa Uwanja wa Uhuru ulikuwa na ushindani mkubwa ambapo Alliance walikuwa wakipambana
kufuta uteja mbele ya Azam FC.
Kwenye mchezo wa kwanza uliochezwa Uwanja wa Nyamgana, Azam FC iliinyoosha mabao 5-0 Alliance jambo lililokuwa likiwatesa Alliance.
Bao pekee la ushindi kwa Azam FC lilifungwa na Frank Domayo baada ya mlinda mlango wa Alliance kuutema mpira akiwa ndani ya 18.
Sign in
Welcome! Log into your account
Forgot your password? Get help
Password recovery
Recover your password
A password will be e-mailed to you.