LIGI Kuu Tanzania Bara, Ligi Daraja la Kwanza, Ligi ya Wanawake na masuala yote ya michezo yanayohusisha mjumuiko ya watu imesitishwa kuanzia leo na Serikali.
Sababu kubwa ya kufanya hivyo ni kupambana na ugonjwa wa Corona.
LIGI Kuu Tanzania Bara, Ligi Daraja la Kwanza, Ligi ya Wanawake na masuala yote ya michezo yanayohusisha mjumuiko ya watu imesitishwa kuanzia leo na Serikali.
Sababu kubwa ya kufanya hivyo ni kupambana na ugonjwa wa Corona.