Home Uncategorized MASTAA WATANO WA SIMBA NJE KIKOSI CHA KWANZA LIGI IKIREJEA

MASTAA WATANO WA SIMBA NJE KIKOSI CHA KWANZA LIGI IKIREJEA

IKIREJEA Ligi Kuu Bara mastaa watano ndani ya Simba hawatakuwepo kikosi cha kwanza:- Clatous Chama kiungo mshambuliaji yupo Zambia.

Francis Kahata kiungo mshambuliaji yupo Kenya.

Meddie Kagere yupo Rwanda ni mshambuliaji. 

Luis Misquissone kiungo mshambuliaji yupo zake Msumbiji.

Sharaf Shiboub yupo zake Sudan ni kiungo mshambuliaji.

Nyota hawa wapo nje ya nchi na mipaka yao imefungwa hivyo ni ngumu Kurejea haraka na hata wakiweza Kurejea karantini inawahusu kwa muda wa siku 14 kutokana na Janga la Virusi vya Corona .

SOMA NA HII  SPORTIPESA SIMBA WIKI YAENDELEA LEO NAMNA HII