Home Uncategorized LIVE:YANGA 0-0 AZAM FC

LIVE:YANGA 0-0 AZAM FC


Zinaongezwa dakika 2
Dakika ya 45 zinakamilika hakuna timu iliyoona lango
Dakika ya 38 Haule anapewa huduma ya kwanza
Dakika ya 33 Idd anapaisha nje kidogo ya 18
Dakika 31 Fei Toto anafanya jaribio haizai matunda
Dakika ya 30 Yanga wanapiga kona inaokolewa wanapata kona nyingine dakika ya 31 inaokolewa
Dakika ya 24, Metacha Mnata anaokoa mashuti mawili ya Djod ndani ya 18
Dakika ya 21, Molinga anapaisha kichwa angani
Dakika ya 20 Sibomana anapiga faulo baada ya Nchimbi kuchezewa na Idd, inaokolewa na Haule
Dakika ya 15 Molinga anafanya jaribio linaokolewa na Haule, kipa wa Azam
Dakika ya 13 Sibomana anapiga kona ya Kwanza kwa Yanga inaokolewa na Haule
Dakika ya 12 Azam FC wanakosa bao ndani ya 18
Dakika ya 10 Kipagwile anapaisha akiwa ndani ya 18, Azam wanapiga kona ya pili haizai matunda 
Dakika ya 08 Djod anapeleka mashambulizi Yanga
Dakika ya 05 Yondani anampa Kaseke
Uwanja wa Taifa: Yanga 0-0 Azam FC
Kipindi cha kwanza

SOMA NA HII  WAZIR JUNIOR AFIKIRIA KIATU CHA UFUNGAJI BORA BAADA YA KUFUNGA BAO LA KWANZA MBELE YA KMC

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here