Home Uncategorized LEO LIGI KUU BARA RATIBA INAKWENDA KWA MTINDO HUU

LEO LIGI KUU BARA RATIBA INAKWENDA KWA MTINDO HUU

 


LEO Oktoba 3, Ligi Kuu Tanzania Bara inaendelea ikiwa ni raundi ya tano, mechi nne zitapigwa viwanja vinne tofauti kusaka pointi tatu itakuwa namna hii:-


Gwambina v Ihefu, majira ya saa 8:00 mchana, Uwanja wa CCM Kirumba.


Namungo v Mwadui FC majira ya saa 10:00 joni, Uwanja wa Majaliwa.


Mbeya City v Tanzania Prisons, Uwanja wa Sokoine, majira ya saa 10:00.

Yanga v Coastal Union, majira ya saa 1:00 usiku, Uwanja wa Mkapa. 

SOMA NA HII  BEKI STARS AKUBALI KUSAINI DILI JIPYA NDANI YA YANGA

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here