Dakika 45 zinakamilika inaongezwa dk 1
Paul Peter anapewa huduma ya kwanza
Dakika ya 40 Tuisila Kisinda anafunga Goooal kwa Yanga
Dakika ya 39 Yanga wanapata penalti
Dakika ya 36 Dante anapewa huduma ya kwanza
Dakika ya 36 Fei Toto anapeleka mashambulizi kwa Kaseja
Dakika ya 29 Yanga inapata faulo karibu na 18
Dakika ya 26 Hassan Kabunda Gooool nje ya 18 na anaonyeshwa kadi ya njano
Dakika ya 20 Kaseja anaanzisha mashambulizi
Dakika 15 zimekamilika bila timu kufungana, Kenny Ally alifanya jaribio kwa Mnata ila ilikuwa ni offtarget
Dakika ya 13 Metacha Mnata anaanzisha mashambulizi kwenda kwa Kaseja
Dakika ya 9 Fei Toto anachezewa faulo na Emmanuel Mvuyekure
Dakika ya 8 Fei Toto anapoteza pasi
Dakika ya 6 Yanga wanaanzisha mashambulizi
Dakika ya 3 Deus Kaseke alipiga faulo haikuwa matunda.
Dakika ya 1 KMC walipiga kona haikuzaa matunda
OKTOBA 25, Uwanja wa CCM Kirumba
KMC 0-0 Yanga
Mwamuzi wa kati ni Ramadhan Kayoko