Uwanja wa Uhuru:- Yanga 0-0 Polisi Tanzania
Kipindi cha kwanza
Oktoba 22
Ligi Kuu Bara
Dakika ya 40 Uwanja wa Uhuru, Moro anachezewa faulo na mpira unapigwa kuelekea kwa Polisi Tz
Dakika ya 36 Lamine Moro anaokoa hatari iliyopigwa na Marcel Kaheza
Kipindi cha kwanza kinaendelea kwa sasa baada ya dakika moja ya kupoza koo kukamilika.
Dakika moja kwa ajili ya kupoza koo na joto la Dar, Uwanja wa Uhuru.
Kona ya kwanza ilipigwa na Tuisila Kisinda kona ya pili Farid Mussa zote hazizai matunda.
Dakika ya 15: Bado ngoma ni ngumu kwa timu zote mbili Uwanja wa Uhuru.
Dakika ya 14:-Farid Mussa anampa Fei Toto
Yanga wanapiga kona ya pili
Kisinda anacheza faulo
YANGA ipo Uwanja wa Uhuru ikisaka pointi tatu mbele ya Polisi Tanzania