Ameanza langoni mechi 10 amefungwa mabao matatu kati ya manne ambayo Yanga imefungwa msimu wa 2020/21.
Uwanja wa CCM Kirumba alifungwa bao moja na Hassan Kabunda wakati KMC 1-2 Yanga.
Uwanja wa Mkapa amefungwa mabao mawili ilikuwa Yanga 1-1Simba ni Joash Onyango alimtungua na Yanga 1-1 Namungo, Stephen Sey alimtungua.
Anaitwa Metacha Mnata kipa namba moja wa Yanga.