BAADA ya kupoteza kwa kufungwa mabaoa 3-1 dhidi ya Simba, Jana Uwanja wa Majaliwa shabiki wa Namungo amesema kuwa kwa hapo ambapo wamefikia wamejitahidi sana huku akimpa jina jipya Bernard Morrison
BAADA ya kupoteza kwa kufungwa mabaoa 3-1 dhidi ya Simba, Jana Uwanja wa Majaliwa shabiki wa Namungo amesema kuwa kwa hapo ambapo wamefikia wamejitahidi sana huku akimpa jina jipya Bernard Morrison