MKWANJA ambao wameupata Yanga wa miaka 10 walioingia Yanga na Azam Media Yanga inakwenda kuwa na jeuri ya matumizi ya mkwanja ambao unawafanya wawe na mkwanja mrefu wa kusajili wachezaji bora kutoka Afrika Kusini, Zambia na hata nchi za Kiarabu ikiwa ni pamoja na Algeria.