MZEE wa Utopolo ameweka wazi kwamba suala la Yanga kumuuza mchezaji wao Tuisila Kisinda aliyeuzwa nchini Morocco ni pigo huku akitupa dongo kimtindo kuhusu usajili wa timu hiyo kwa ajili ya msimu wa 2021/22.
MZEE wa Utopolo ameweka wazi kwamba suala la Yanga kumuuza mchezaji wao Tuisila Kisinda aliyeuzwa nchini Morocco ni pigo huku akitupa dongo kimtindo kuhusu usajili wa timu hiyo kwa ajili ya msimu wa 2021/22.