KIKOSI cha Simba kinachotarajiwa kuanza leo Uwanja wa Mkapa katika mchezo wa Ngao ya Jamii dhidi ya Yanga.
Mchezo unatarajiwa kuanza saa 11:00 jioni ambapo ni mchezo wa ufunguzi wa Ligi Kuu Bara inayotarajiwa kuanza kutimua vumbi Septemba 27, kikosi kitakuwa namna hii:-
Aishi Manula
Shomari Kapombe
Joash Onyango
Pascal Wawa
Mohamed Hussein
Sakho
Kanoute
Rarry Bwalya
Taddeo Lwanga
Chris Mugalu