Home Habari za michezo HUYU HAPA NOVATUS DISMAS MTZ ANAYEWAPAGAWISHA WAZUNGU ULAYA…KAZI YAKE NI BALAAH NA...
Sign in
Welcome! Log into your account
Forgot your password? Get help
Password recovery
Recover your password
A password will be e-mailed to you.

Akitumika kwenye nafasi yake hiyo mpya ya beki ya kushoto, Novatus alicheza kwa dakika 84 wakati Zulte Waregem ikikumbana na kipigo cha mabao 3-0 dhidi ya Standard Liege wikiendi iliyopita na kuwa mchezo wake wa 14 msimu huu kwenye ligi ya Ubelgiji ambayo ni maarufu kama Jupiler Pro.

