Home Burudani MWAKINYO AZIDI KUPOROMOKA KIMATAIFA…HAYUPO TENA HATA KUMI BORA…

MWAKINYO AZIDI KUPOROMOKA KIMATAIFA…HAYUPO TENA HATA KUMI BORA…

Hassan Mwakinyo

KWENYE orodha ya mabondia 10 bora wa bara la afrika, kutoka madaraja yote ya uzito (P4P), taifa la Afrika Kusini limeongoza kwa kutoa mabondia 6.

Wengine ni kutoka taifa la DR Congo, Namibia na Ghana, Huku mabondia wa Tanzania wakiwa hawapo hata 20 bora.

Orodha hiyo ni kama ifuatavyo:-
1.Ilunga Makabu

2.Thabiso Mchunu

3.Jeremia Nakathila

4.Martin Bakole

5.Richard Commey

6.Thulani Mbenge

7.Azinga Fuzile

8.Jackson Chauke

9.Kevin Lerena

10.Zolani Tete

23.Tony Rashid

24.Hassan Mwakinyo

37.Ibrahim Class

85.Juma Choki

86.Twaha Kiduku

208. Mfaume Mfaume

SOMA NA HII  ZIKIWA ZIMESALIA SIKUU CHACHE LIGI KURUDI TENA...'PRINCE DUBE' KAIBUKA NA HILI KWA YANGA...ADAI YUKO TAYARI...

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here