Home Burudani MWAKINYO AZIDI KUPOROMOKA KIMATAIFA…HAYUPO TENA HATA KUMI BORA… BurudaniHabari za michezoMichezoMichezo BongoMichezo Soka la Bongonews MWAKINYO AZIDI KUPOROMOKA KIMATAIFA…HAYUPO TENA HATA KUMI BORA… Share FacebookTwitterPinterestWhatsApp KWENYE orodha ya mabondia 10 bora wa bara la afrika, kutoka madaraja yote ya uzito (P4P), taifa la Afrika Kusini limeongoza kwa kutoa mabondia 6. Wengine ni kutoka taifa la DR Congo, Namibia na Ghana, Huku mabondia wa Tanzania wakiwa hawapo hata 20 bora. Orodha hiyo ni kama ifuatavyo:- 1.Ilunga Makabu 2.Thabiso Mchunu 3.Jeremia Nakathila 4.Martin Bakole 5.Richard Commey 6.Thulani Mbenge 7.Azinga Fuzile 8.Jackson Chauke 9.Kevin Lerena 10.Zolani Tete 23.Tony Rashid 24.Hassan Mwakinyo 37.Ibrahim Class 85.Juma Choki 86.Twaha Kiduku 208. Mfaume Mfaume SOMA NA HII ZIKIWA ZIMESALIA SIKUU CHACHE LIGI KURUDI TENA...'PRINCE DUBE' KAIBUKA NA HILI KWA YANGA...ADAI YUKO TAYARI...