Home Habari za michezo ALI KAMWE:- LOLOTE LITAFANYIKA MWARABU AFE…TUNGULI RUKSA…DUA RUKSA… Habari za michezoHabari za YangaHabari za Yanga LeoMichezoMichezo BongoMichezo Soka la BongonewsyangaYanga SC ALI KAMWE:- LOLOTE LITAFANYIKA MWARABU AFE…TUNGULI RUKSA…DUA RUKSA… Share FacebookTwitterPinterestWhatsApp Ali kamwe :”tunaenda kwenye matawi yetu makubwa kabisa ya Yanga pale kwa Mtogole kuna tawi kubwa, Kariakoo hapa kuna tawi kubwa. Tutawaambia viongozi wa matawi kuwa kama kuna lolote wanaweza kufanya sisi tunawaruhusu wafanye ili mradi Yanga ishinde. Tunaenda kwenye matawi kuwaambia wafanye vyovyote vile, kama ni kusoma Dua sawa, na lolote wanaloona litatusaidia, lakini lazima mwarabu afe. “ – Ally Kamwe, Afisa Habari Yanga SC. SOMA NA HII MCHEZAJI STARS AKUMBWA NA MAJANGA HAYA UBELGIJI...ISHU NZIMA HII HAPA