Home Habari za michezo KUHUSU MATUSI YA KAMWE MGUNDA JANA….ALIYEMTUMA AHOJIWA…NI CEO AU ENG HERS..?

KUHUSU MATUSI YA KAMWE MGUNDA JANA….ALIYEMTUMA AHOJIWA…NI CEO AU ENG HERS..?

Afisa Habari wa Yanga SC Ally Kamwe

Ameandika Mchambuzi Willson Oruma;

“Nimeamka nipo najaribu ku reflesh kwenye Social media Pages za Yanga Africa Kwamba pengine nitaona Kauli za kujitenga ni hizi kauli taka Mwili za Afisa habari

Lakini so far bado Sijaoana Kitu.Lau Pengine bado ni asubuhi niwape Muda? Kama itapita hii siku nisipoona ndo nitaamini Kweli Kamwe ametumwa na Rais Eng Hersi SAID Amtukane Juma Mgunda

Ametumwa na CEO na Secretariat Amtukane Juma Mgunda

Mashabiki wa Yanga Africa wameulizwa Kati ya JUMA MGUNDA na ANDAZI wachague nini? Wamechagua ANDAZI

Juma MGUNDA ni Kocha wa team ya Taifa ya Tanzania.Hii unatuma Ujumbe gani kwa Bakari Nondo Mwamnyeto, Ibrahim Bacca, Dickson Job, Kibwana Shomari, Mudathir Yahaya,Sure Boy.Kwamba Kocha wao ni ANDAZI tu?

Comrade umefikiria Shida watakayoipta Watoto wa Mwalimu JUMA MGUNDA Shuleni? Baba Yenu ni ANDAZI tu.Huu usumbufu kwa hawa Watoto ulikuwa na Ulazima Gani?

Nimeona Umeomba Msamaha that was very Good Lakini baada ya Post ya Kuomba msamaha umepost mara 4 hivi za haraka haraka.Hii ni Dharau,hukumaanisha kwenye huu Msamaha .Maana yake Kwa mtu ambae amepita kwenye page saa moja tu Baadae ni ngumu Kuona Msamaha wako kwa Mwalimu MGUNDA

Na nafikiri Busara na heshima ingekuwa vizuri zaidi Msamaha wako ungeomba kupitia njia Ile Ile ambayo ulitumia Kumtukana na Kumdhalilisha Mwalimu MGUNDA.Uchukue Mic uombe radhi Comrade

Halafu najiuliza Kwani kuwa Afisa habari wa Yanga Africa na Wehu vina Uhusiano Gani? Manake huyu sio wewe Kabisa Comrade.Huyu ni mara 10 ya KALIKONJI

This was too low Comrade.Unahamasisha Mechi ya YANGA AFRICA dhidi ya USM ALGER.Hapa Mwalimu JUMA MGUNDA amefikaje Yani?

Mbona tayari Idara yako inafanya vitu vikubwa ambavyo Kwa Umri Wangu wa kuwa kwenye Mpira Sijawahi kuviona vikifanyika Yanga Africa.Umeigeuza Idara yako ya habari Kuwa Pesa

Sasa huku kwa LENGAI OLE NASHA unaenda Wapi Comrade?

Yes Kuna UTANI WA JADI ambao unakubalika.Lakini Hizi Taka Mwili ni Ujinga na Haikubaliki.

SOMA NA HII  MUONEKANO WA UKURASA WA MBELE GAZETI LA CHAMPIONI IJUMAA

3 COMMENTS

  1. Wilson ni mmoja wa wapumbavu ambao wanatafuta issue za kuchambua mtu personally kuliko kuchambua mpira. Ni upumbavu wa kiwango cha lami wa kutaka kumuingiza Rais wa Yanga na CEO wa Yanga kwenye hoja yake.

    Katika vitu anavyovipenda huyu mpuuzi ni hoja yeyote itakayohusu Yanga. Yanga walivyopata udhamini wa HEIR alikosoa, GSM walipotaka kuwa wadhamini wenzake wa ligi kuu alikosoa.
    Hersi alipoweka dhamira ya kugombea urais alikosoa, Yanga ilipotoa draw na timu ya Tunisia Dar alikosoa.

    Mimi kati ya Wilson oruma na andazi nitachagua andazi, hata hii blogu ya kipumbavu ambayo unatoa mileage kwa huyu mpuuzi kueneza sumu zake na andazi tutachagua andazi

  2. SO BIASED WHEN IT COME TO THE ISSUE INVOLVING YOUNG AFRICAN . AHMED ALLY ALIWAHI KUIFANANISHA YANGA NA MAITI, YOU MAINTAINED SILENCE. YANGA NI NANI SI TIMU NA UONGOZI HADI MASHABIKI. IS THERE ANY SIMBA PERSON FEOM MANAGEMENT COMMENT ON THAT OR CONDEMING IT. WHY ALYS YOUNG AFRICAN.

  3. ACHENI UMANDAZI. KUJITAFUTIA UMARUFU KUPITIA YANGA. MJIFUNZE KUBALANCE STORY. OTHERWISE MTAENDELEA KUONEKANA HOVYO. KAMWE IS ABOVE 18 NA ALISHAOMBA RADHI HIZI GUBU ZA NINI. INJINIA MNAMTAKA WA NINI. AACHE KUSHUGHULIKA NA MAMBO MAKUBWA YA CLUB AJE KUDISCUSS UPUUZI TENA MTENDAJI ASHAOMBA RADHI. WHY MNATAKA KUIFANYA ILE STATEMENT NI YA YANGA. SHAME UPON YOU.