Home Habari za michezo MECHI YA YANGA YAAHIRISHWA Habari za michezoMichezoMichezo BongoMichezo Soka la BongonewsUncategorizedYanga SC MECHI YA YANGA YAAHIRISHWA Share FacebookTwitterPinterestWhatsApp Mchezo wa Kirafiki kati ya Yanga na Mlandege uliopangwa kuchezwa leo saa 03:30 asubuhi huko Avic Town umeahirishwa. Kwa mujibu wa taarifa Yanga waliomba mchezo huo wa kirafiki lakini kutokana na ratiba ya Mlandege kubana wameamua kutocheza. SOMA NA HII SAKHO ASEMA HAYA KWA MARA YA KWANZA TANGUA AONDOKE SIMBA