RUBY PLAY KUJA NA USHINDI KABAMBE NDANI YA MERIDIANBET….
Kasino mtandaoni sasa ni kituo kikuu cha burudani kwa wapenzi wa michezo ya kubashiri, na Meridianbet imechukua hatua ya kusisimua kwa kuwaletea wachezaji wake mtoaji mpya wa huduma ya michezo ya sloti, Ruby Play. Hatua hii inafungua mlango wa ulimwengu wa kipekee, ambapo teknolojia ya kisasa, mandhari ya kuvutia, na ubunifu wa hali ya juu vinakuletea burudani isiyo na kikomo. Ruby...
MASHINE MBILI MPYA SIMBA HIZI HAPA….’MAJAMAA’ YANAPIGA KAZI HATARI…..
SIMBA inaendelea kujifua kambini jijini Cairo, Misri chini ya kocha Fadlu Davids, lakini kuna mashine mbili mpya zinasubiriwa huko ili kuungana na wenzao walitangulia mapema. Awali Simba ilipiga kambi ya mazoezi ya maandalizi ya msimu mpya katika mji wa Ismailia, kisha ikahamia Cairo ilipo kwa sasa ikiwa imeshacheza mechi kadhaa za kirafiki za kujipima nguvu, lakini kuna mastaa wawili wanadaiwa...
BAADA YA KUMALIZANA NA CHAN….TSHABALALA APEWA SIKU 5 YANGA….FOLZ HACHEKI NA MTU …..
KAMBI ya Yanga imezidi kunoga kule Avic Town, Kigamboni Dar es Salaam, lakini jana ilikuwa katika mapumziko flani mafupi na kazi itaendelea leo Jumatatu, huku kocha wa timu hiyo, Romain Folz akitoa msimamo mzito ambao mabosi wa klabu wameafikiana nayo. Yanga iliamua kuahirisha safari ya kwenda Misri kuweka kambi ya maandalizi ya msimu mpya baada ya kocha Folz kuvutiwa na...
YANGA ….CHANZO CHA SOWAH KUTOKUCHEZA DABI YA KWANZA MSIMU HUU…UKWELI HUU HAPA…
Mshambuliaji mpya wa Simba, Jonathan Sowah, ataikosa mechi ya Ngao ya Jamii dhidi ya Yanga itakayopigwa Septemba 16, 2025 kwenye Uwanja wa Benjamini Mkapa, Dar es Salaam. Hii ni baada ya kufungiwa kufuatia kadi nyekundu aliyoonyeshwa kwenye mchezo wa fainali ya Kombe la Shirikisho la CRDB msimu uliopita wakati akiwa na Singida Black Stars walipocheza na Yanga. Kwa mujibu wa kanuni...
FADLU AIFUMUA SIMBA UPYAAA…..MASTAA SABA WAPYA SIO POA….KIBU , AHOUA MHHHH…..
MZIKI wa Simba unaosukwa huko Misri, umeibua jambo jipya kutokana na nyota saba kuonekana kufumua kikosi cha kwanza ambacho awali kilikuwa kinampa jeuri Kocha Mkuu, Fadlu Davids. Fadlu ambaye anaingia msimu wa pili kuinoa Simba, alikuwa na wakati mzuri 2024-2025 kwani licha ya kutotwaa taji lolote, lakini kuna mabadiliko makubwa yametokea hasa kwenye ushindani katika Ligi Kuu Bara na michuano...
MERIDIANBET KUKUPATIA USHINDI MNONO LEO….
Katika kuendelea kuhakikisha kuwa Meridianbet haikuachi hivi hivi, Jumatatu ya leo wameamua kukupatia ODDS za kibabe kwenye mechi zote za leo. Nani kuondoka na ushindi leo?. Tandika jamvi lako na ushinde sasa. LALIGA kule Hispania inatarajiwa kuendelea Athletic Bilbao atamenyana vikali dhidi ya Rayo Vallecano ambao mechi iliyopita walishinda, huku mwenyeji wao akishinda pia. Hivyo zinakutana timu mbili ambazo zinataka...
NAFASI YA UBINGWA NA LOOT LEGENDS KUTOKA MERIDIANBET…..
Meridianbet imekuja na kitu kikubwa, ni LOOT Legends, promosheni ya kibabe inayoendelea hadi tarehe 7 Septemba 2025. Hii sio promosheni ya kawaida, ni nafasi ya kugawana TSH 1.5 Bilioni taslimu kwa wachezaji wote wa sloti. Hakuna longolongo, ni pesa safi zinazokungojea. Kila wiki, kuna TSH 150 Milioni mezani kwa washindi. Unachotakiwa kufanya ni kujisajili kisha cheza mizunguko yako kwa kianzio...
JE UNAJUA KUWA ODDS ZA KIBABE ZIPO MERIDIANBET?…
ODDS KUBWA na machaguo zaidi ya 1000 yapo Meridianbet siku ya leo, tandika jamvi lako la uhakika leo kwani EPL, SERIE A, LALIGA, na zingine kibao zipo kwaajili yako. Ingia kwenye akaunti yako na utandike jamvi lako sasa. Ligi kuu ya Italia SERIE A kurejea leo rasmi kwa mechi kali kweli kweli Napoli ataanza ligi ugenini dhidi ya Sassuolo Calcio...
TIKETI YAKO YA BAHATI, PLAYSON SHORT RACES IMEANZA….
Meridianbet inawasha moto na Playson Short Races, fursa ya kipekee ya kushiriki katika mbio za kasino mtandaoni zinazokuletea mamilioni ya pesa taslimu kila siku. Hii sio tu mchezo, ni nafasi yako ya kujipiga kifua, kuonyesha uwezo wako kwenye michezo ya kasino, na kutembea kifua mbele kama bingwa aliyefanikiwa kujipatia ushindi mkubwa. Kila unpotimu usiku wa kuanzia saa 4:00 hadi 8:50,...
OHHHHOOO..MAMBO YAMEIVA HUKO….SIMBA vs YANGA MSIMU HUU MAPEMA TU…UTAMU UKO HAPA…
HUKO mtaani na katika mitandao ya kijamii kuna kelele nyingi za mashabiki wa soka wakitamani siku ziende haraka ili washuhudie Dabi ya Kariakoo ya kwanza kwa msimu wa 2025-2026. Ndiyo, Simba iliyomaliza nafasi ya pili Ligi Kuu Bara, italazimika kuvaana na Yanga iliyobeba mataji yote msimu uliopita kuanzia Ngao ya Jamii, Ligi Kuu hadi Kombe la Shirikisho (FA). Mechi hiyo ni...