BONASI YA KIBABE KUTOLEWA UKIBASHIRI NA GG&3+…
Je unajua kuwa Jumanne ya leo unaweza ukajipatia bonasi ya kibabe ndani ya Meridianbet kwenye mtanange huu wa Nusu Fainali ya Kombe la Dunia kati ya Fluminense vs Chelsea. Bashiri kwa GG&3+ na upate bonasi ya uhakika hapa. Kila timu inatupia jicho kucheza Fainali ya michuano hii ambayo safari hii imekuja kwa njia nyingi kabisa ikishirkisha vilabu kadhaa kutoka mabara...
BAADA YA DEAL LA MOKWENA KUSHINDIKANA….KOCHA MPYA YANGA HUYU HAPA…JAMAA NI MASTER..
MEZANI kwa mabosi wa Yanga kwa sasa kuna majina mawili ya makocha wanaopigiwa hesabu, mmoja aje kuinoa timu hiyo kuziba nafasi ya Miloudi Hamdi aliyetua Ismailia ya Misri, lakini kuna jambo linaloweza kuwa na faida kwa klabu hiyo mara atakaposhuka kocha Mfaransa. Hamdi aliyeipa Yanga mataji matatu ndani ya siku 148 alizokaa na timu hiyo tangu Februari 4 hadi Julai...
MASHINE MPYA YA MABOA YANGA HII HAPA….DILI LAKE MPAKA SASA LIPO HATUA HII…
PALE Jangwani mambo ni moto! Mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Bara wako mawindoni wakikamilisha kamilisha ishu zao za usajili kwa ajili ya msimu ujao wa mashindano, ambapo wameapa kwamba wanataka kuanzia walipoishia hapa nchini kwa kukomba kila kitu, lakini kule nje wakaupige mwingi Ligi ya Mabingwa Afrika. Kama unakumbuka kauli ya rais wa klabu hiyo, Hersi Said aliyoitoa mbele za...
TZS BILIONI 1.5 ZIPO MEZANI, JIUNGE NA LUCKY RUSH TOURNAMENT YA MERIDIANBET LEO
Kampuni namba moja ya ubashiri nchini Tanzania, Meridianbet, inawakaribisha wapenzi wa michezo ya kasino mtandaoni kwenye Lucky Rush Tournament, mchezo wa kipekee ambapo jumla ya TZS bilioni 1.5 zinagawiwa kwa washindi. Kuanzia tarehe 27 Juni hadi 3 Agosti 2025, kutakua na mashindano ya leaderboard matano na yatatoa fursa ya kushinda kwa wachezaji wote. Kila mzunguko wa mashindano una zawadi ya...
JIPATIE SPIN ZA BURE KILA SIKU KWENYE WILD WHITE WHALE NA MERIDIANBET…
Meridianbet inakukaribisha kwenye promosheni ya kipekee ya Wild White Whale kwa mwezi wa Julai 2025. Kuanzia tarehe 1 hadi 31 Julai, wachezaji wana fursa ya kupata spin 50 za bure kila siku kwa kukamilisha spin 100 kwenye mchezo huu wa kasino. Ili kushiriki, unahitaji tu kuwa na akaunti halali ya Meridianbet na kufanya deposit kwenye akaunti yako. Mara tu unapofanikiwa...
PAKUONGEWA NGUVU SIMBA NI HAPA….WACHEZAJI WAKUONGEZWA WATAJWA…
SIMBA imemaliza msimu wa nne mfululizo bila ubingwa wa Ligi Kuu Bara wala Kombe la Shirikisho (FA), jambo lililowakata stimu kuanzia viongozi, wachezaji, mashabiki, wapenzi na wanachama wa klabu hiyo, lakini kuna akili moja ameitoa kocha wa zamani wa klabu hiyo inayoweza kuwabeba. Simba ilimaliza katika nafasi ya pili katika Ligi Kuu Bara nyuma ya Yanga iliyotetea taji kama ilivyofanya...
WANAOPIGWA PANGA YANGA HAWA HAPA….JINA LA CHAMA LAWEKEWA ‘FAILI’ MAALUMU….
MABOSI wa Yanga wakishirikiana na benchi la ufundi la klabu hiyo, wameanza kupiga hesabu la kufyeka mastaa sita wa timu hiyo, wakiwamo wazawa watano na mmoja wa kigeni, huku kiungo mshambuliaji, Clatous Chama ikielezwa amewagawa mabosi hao juu ya uamuzi wa kumtema au kumbakisha kikosini. Yanga iliyoweka rekodi ya aina yake msimu wa 2024-2025 kwa kubeba jumla ya mataji matano,...
JIPATIE SAMSUNG A25 MPYA KWA KUCHEZA AVIATOR…
Kampuni inayoongoza kwa michezo ya ubashiri nchini Tanzania, Meridianbet, imezindua promosheni kabambe kwa wateja wake wote. Kupitia mchezo unaopendwa sana wa Aviator, sasa wachezaji wote wana nafasi ya kipekee kujishindia simu mpya kabisa aina ya Samsung A25, kwa kushiriki tu katika mchezo huo maarufu wa kasino mtandaoni. Katika promosheni hii, unacheza Aviator kama kawaida na unapata nafasi ya kujishindia simu...
REAL MADRID VS B. DORTMUND KUJAZA KIBUBU CHAKO LEO NA GG&3+ ..
Nusu Fainali kali nyingine kupigwa leo majira ya saa 5:00 usiku ambapo Real Madrid chini ya Alonso atakiwasha dhidi ya Borussia Dortmund ambaye yupo chini ya kocha mkuu Kovac. Bashiri mechi hii na GG&3+ ushinde mkwanja mara mbili zaidi. Promosheni hii imekuja maalumu kabisa kwa wateja wake wa Meridianbet ambao wanatumia Kampuni hiyo kufanya ubashiri, lakini safari hii wamepewa ruksa...
MERIDIANBET YAJA NA LOOT LEGENDS, SAFARI YA WIKI 10 YA USHINDI MKUBWA….
Meridianbet inakuletea ofa ya kipekee ya LOOT Legends, promosheni ya wiki 10 ya mashindano ya leaderboard yenye zawadi ya jumla ya hadi TZS 1.5 bilioni. Kuanzia tarehe 30 Juni hadi 7 Septemba 2025, wachezaji wataweza kucheza sloti pendwa na kupanda juu kwenye leaderboard kwa nafasi ya kushinda hadi TZS 30 milioni pesa taslimu bila masharti ya kubetia tena (wager-free). Kila...