KMC YAPATA POINTI BAADA YA SIKU 70

0

WABURUZA mkia katika msimamo wa Ligi Kuu Bara, KMC, hali yao sio nzuri huku wakiendelea kupambana kuepuka kushuka daraja. Katika mapambano hayo, Aprili 14, 2026,...

JE NI BAYERN AU REAL MADRID KWENDA NUSU FAINALI YA UEFA?

0

Nusu Fainali hiyo inanukia leo kwenye michuano ya Ligi ya Mabingwa Ulaya. Timu mbili zenye majina makubwa Duniani zinatarajia kuvaana haswa kutafuta nafasi ya...

MINZIRO MTIHANI MKUBWA MBELE YA SIMBA LEO, SHEIKH AMRI ABEID

0

KOCHA  Fred Felix ‘Minziro’ anakabiliwa na mtihani mzito katika kibarua chake kipya cha kuinoa Fountain Gate, akitarajiwa kuanza rasmi majukumu yake kwa presha kubwa...

SIMBA YASISITIZA USHINDI KILA MECHI KUIFIKIA YANGA

0

NAHODHA  wa Simba, Shomari Kapombe, amesisitiza umuhimu wa timu yake kuhakikisha inapata ushindi katika kila mechi wanayocheza, ikiwa ni sehemu ya mkakati wa kupunguza...

USIJIFUNGIE NDANI NDANI, NJOO TWENDE ANGANI NA PLANET POWER SLOTS

0

Kama umechoshwa na michezo ya kawaida isiyo na matokeo, basi badilisha upepo na Planet Power Slots kutoka Meridianbet. Hapa ni safari ya kipekee ya kupanda...

SOWAH AINGIA MATATANI SIMBA, ASHUSHWA U-20 NA KUTOZWA FAINI

0

MSHAMBULIAJI wa Simba, Jonathan Sowah, amechukuliwa hatua za kinidhamu kwa kushushwa kucheza na kufanya mazoezi katika timu ya vijana ya U-20, sambamba na kutozwa...

DIARRA AREJEA, KAMWE AIBUA HAMASA KABLA YA MBEYA CITY

0

KIPA namba moja wa Yanga SC, Djigui Diarra, amemaliza adhabu yake ya kufungiwa mechi tatu na sasa anatarajiwa kurejea kikosini katika mchezo ujao wa...

MAKOCHA WAKUBWA KUPIMANA NGUVU ROBO FAINALI UCL

0

Michezo ya leo ya UEFA Champions League haitakuwa tu ya wachezaji bali pia vita ya mbinu kati ya makocha wanaotafuta nafasi ya kutinga nusu...

SIMBA YASUBIRI RATIBA KWA JEURI, YAAPA KUVUNJA REKODI ROBO FAINALI

0

MENEJA  wa Idara ya Habari na Mawasiliano wa Klabu ya Simba SC, Ahmed Ally, amesema kuwa kwa sasa kikosi hicho kinasubiri kwa hamu ratiba...

SIMBA WATINGA SOKONI, WAMLENGA NYOTA WA MADEAMA

0

UONGOZI wa klabu ya Simba unaendelea kujiimarisha kuelekea msimamo ujao kwa kuanza kuweka rada zake kwa wachezaji wenye uwezo mkubwa barani Afrika. Imeelezwa kywa kuwa...