WILD 27 KASINO YENYE MAAJABU KIBAO….SHINDA NA MERIDIANBET..

0
Meridianbet

Kama unapenda sloti za matunda, basi chaguo lako limepata kiburudisho chenye hisia kali kiasi kwamba huwezi kusubiri kupoteza hata dakika moja bila kucheza kasino ya mtandaoni ya Meridianbet. Wild 27 ni sloti kutoka kasino ya mtandaoni iliyoandaliwa na mtayarishaji wa michezo ya kasino Fazi . Kwenye mchezo huu wa sloti, kwa msaada wa matunda matamu, unaweza kucheza bonasi mara mbili....

ODDS ZA UJANJA HIZI HAPA LEO HII…

0
Meridianbet

Ikiwa leo hii ni Jumamosi ya kwanza ya mwezi Mei wakali wa ubashiri wanakwambia hivi, endelea kubashiri na Meridianbet ujiweke kwenye nafasi ya kupiga mshindo wa maana. Mechi kibao za ushindi zipo hapa. EPL mechi zinatarajiwa kuendelea kibabe leo ambapo Everton atakipiga dhidi ya Ipswich ambapo mechi ya kwanza kukutana, wenyeji wlaiondoka na ushindi. Ikumbukwe kuwa nafasi ya kushinda pale...

NAFASI YA KUWA MILIONEA IKO HAPA NDANI YA ODDS HIZI KUTOKA MERIDIANBET…

0
Meridianbet

Ijumaa ya leo ni siku nzuri ya wewe kuondoka na mshindo wa maana ambapo wakali wa ubashiri Tanzania Meridianbet wanakwambia hivi, ingia kwenye akaunti yako na usuke jamvi hapa. EPL leo hii itaendelea kwa mchezo mmoja ambapo Manchester City watakuwa nyumbani kukiwasha dhidi ya Wolves ambao wapo nafasi ya 13 huku mechi ya mkondo wa kwanza kukutana timu hizi mbili...

BET BUILDER YA MERIDIANBET INAKUJA KUKUHAKIKISHIA USHINDI….HII HAPA…

0
Meridianbet

Wakali wa ubashiri Meridianbet, imewaletea wapenzi wa michezo huduma ya kipekee ya BET BUILDER. Huduma hii inawawezesha wateja kubashiri machaguo mbalimbali katika mchezo mmoja, kutoa nafasi ya kushinda kwa njia ya kipekee na kuongeza raha ya kubashiri kwa mashabiki wa michezo. Nini ni Bet Builder ya Meridianbet? BET BUILDER ni huduma ya kipekee inayotolewa na Meridianbet, inayowawezesha wateja kubashiri matukio mbalimbali...

HUKU SIO ODDS TU….MPAKA JAMII NI YETU SOTE….MERIDIANBET KIBINGWA ZAIDI…

0
Meridianbet

Katika kuendeleza dhamira yake ya kuchangia ustawi wa jamii na kugusa maisha ya Watanzania, kampuni inayoongoza kwa michezo ya kubashiri na kasino mtandaoni, Meridianbet, imefanya zoezi la kugawa vifaa vya kujifungulia (Maternity Kits) pamoja na diapers kwa watu wazima (Adult Diapers) kwa kina mama waliojifungua katika Hospitali ya Palestina, iliyopo Sinza jijini Dar es Salaam. Kampuni hiyo imekuwa mbele kabisa...

BAADA YA KUTINGA FAINAL KIBABE….HII HAPA NJIA YA SIMBA KUBEBA KOMBE KILAINIII…

0
Habari za Simba leo

KWA muda wa zaidi ya miaka 30, mashabiki wa Simba wamekuwa wakisubiri kwa hamu siku ambayo timu hiyo itaandika historia mpya katika ramani ya soka la Afrika. Hatimaye, siku hiyo imefika. Simba ilitinga fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika, Jumapili iliyopita huko Durban, Afrika Kusini baada ya miaka 32 ya kusubiri na sasa itavaana na RS Berkane kwenye mchezo wa...

HII HAPA CASINO YA KIBABE ..USHINDI UHAKIKA NDANI YA MERIDIANBET…

0
Meridianbet

Moja kati ya biashara nzuri na yenye mtaji mdogo ni uuzaji wa matunda, huhitaji kuwa na mamilioni ufanye uwekezaji bali unahitaji akili tu ya namna ya kuweka dau lako. Meridianbet Kasino ya Mtandaoni kuna huu mchezo wa Matunda unaitwa Sticky 777. Shinda Mamilioni kwa kujisajili na Meridianbet. Alama kubwa zaidi kwenye sloti hii ya kasino ya mtandaoni ni Sticky 777...

FT: HIZI HAPA DK 90 ZA VAR ZILIVYOIHAKIKISHIA SIMBA MABILIONI…ILIBAKI HIVI 🤏TU…

0
Habari za Simba leo

Sare ya bila kufungana dhidi ya Stellenbosch ugenini kwenye Uwanja wa Moses Mabhida, Durban Afrika Kusini leo Aprili 27, 2025 imeivusha Simba kwenda hatua ya fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika ikibebwa na ushindi wa bao 1-0 ilioupata katika mechi ya kwanza nyumbani Jumapili iliyopita. Stellenbosch ambao katika mechi nyingi za mashindano hayo wamekuwa wakicheza kwa kutegemea mashambulizi ya kushtukiza,...

YA MWAKA 93 KUJIRUDIA SIMBA…? HIZI HAPA DK 90 ZA SAUZI ZILIVYOUA HISTORIA YA YANGA….

0
Habari za Simba leo

KLABU ya Simba ya Tanzania imeandika historia mpya baada ya kufuzu fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika kwa mara ya pili katika historia yao. Simba imefuzu baada ya kutoka sare tasa (0-0) dhidi ya Stellenbosch FC ya Afrika Kusini kwenye mchezo wa marudiano uliochezwa katika Uwanja wa Moses Mabhida, mjini Durban, Afrika Kusini. Simba imetinga hatua hiyo kwa faida ya ushindi...

DAKIKA CHACHE BAADA YA KUTINGA FAINAL CAF….RAIS SAMIA ATIA ‘NGUVU’ SIMBA….

0
Habari za Simba leo

TIMU ya Simba imefanikiiwa kwenda Fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika baada ya sare ya bila kufungana na wenyeji, Stellenbosch katika mchezo wa marudiano wa Nusu Fainali jioni ya leo Uwanja wa Moses Mabhida Jijini Durban, Afrika Kusini. Simba wananufaika na ushindi wa 1-0 kwenye mchezo wa kwanza wa Jumapili iliyopita Uwanja wa New Amaan Complex, Zanzibar, bao pekee la...