SASA NI KITU BAADA YA KITU, YANGA WALIAMSHA MKUDE AIKATAA JEZI YA FEI TOTO, DAR,

0

Habari mwanamichezo mwenzangu kutoka Dar es salaam leo ni asubuhi nyingine nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika magazeti ya michezo

JEMBE ASEC IMEBAKI SAA TU, UTAMBULISHO WAKE YANGA KUTIKISA

0

Habari mwanamichezo mwenzangu kutoka Dar es salaam leo ni asubuhi nyingine nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika magazeti ya michezo

WAKATI SHABAN DJUMA AKIENDELEA KUZILA ….CHUMA HIKI HAPA KINATUA TZ KUMRITHI PALE YANGA…

0
Tetesi za usajili Yanga

Uongozi wa Mabingwa wa Soka Tanzania Bara Young Africans leo Jumanne (Julai 11) ulitarajiwa kumpokea beki wa kulia wa ASEC Mimosas ya vory Coast, Kouassi Atohoula, kwa ajilí ya kukamilisha shughuli ya Kusaini mkataba, kisha kutambulishwa rasmi kama mrithi wa Djuma Shaban. Chanzo kutoka Young Africans kimeeleza kuwa, tayari nyota huyo ameshakamilisha kila kitu kwa ajili ya kutua klabuni hapo,...

HIZI HAPA SABABU ZA CAF KUBADILISHA JINA LA MASHINDANO YA SIMBA…

0
Habari za Yanga leo

Shirikisho la Soka Barani Afrika (CAF) limebadilisha jina la Michuano yake mapya, lakini Rais, Patrice Motsepe amesisitiza yatakuwa na neema kubwa ya mkwanja, huku Simba SC ikiwa mshiriki pekee kutoka ukanda wa Afrika Mashariki na Kati ‘CECAFA’. Awali Michuano hiyo ambayo pendekezo la awali ni kushirikisha timu nane, yanayoanza Oktoba yalipangwa kuitwa Super League lakini sasa yatajulikana kama African Footbal...

HUU HAPA UKWELI WA DILI LA NGOMA NA SIMBA…KWANINI HAJATAMBULSIHWA MPAKA SASA ..?

0
Tetesi za Usajili Simba

Imefahamika kuwa uongozi wa Klabu ya Simba umepanga kumtambulisha kiungo wao mpya kutoka DR Congo, Fabrice Luamba Ngoma kama mchezaji wa mwisho kutokana na kuamini kuwa ndio usajili ambao utatikisa zaidi msimu huu. Ngoma anaripotiwa kuvunja mkataba wake na Al Hilal Omdurman ya Sudan kutokana na ligi kusimama kufuatia machafuko yanayoendelea nchini humo, lakini hata hivyo klabu hiyo imekuja juu...

PAMOJA NA KUSEPA ZAKE BONGO….HIVI NDIVYO YANGA INAVYOZIDIA KUMPAISHA NABI KIMATAIFA…

0
Habari za Yanga leo

Aliyekuwa Kocha Mkuu wa Klabu ya Yanga SC ,Nasreddine Nabi ameorodheshwa na Mtandao wa Foot-African.com kwenye orodha ya Makocha waoanowania Tuzo ya Kocha Bora wa Mwaka wa Afrika. Msimamo ulivyo mpaka sasa 1. Walid Regragui (Morocco): 36% 2. Aliou Cissé (Sénégal): 29% 3. Abdelhak Benchikha (USM Alger): 21% 4. Nasreddine Nabi (Young Africans): 13% Nabi akiwa Kocha wa Yanga msimu uliopita alikuwa na mafanikio makubwa...

WAKATI SIMBA NA AZAM WAKISHUSHA VIFAA VYAO…ENG HERSI KATIKISHA KICHWA KISHA AKASEMA HAYA…

0
Habari za Yanga

Wakati vilabu vya Simba, Azam FC na Singida wakiendelea kutangaza sajili zao kila kunapokucha. Hali ni tofauti kwa Klabu ya Yanga ambao mpaka sasa wamemtangaza mchezaji mmoja tu kujiunga na Klabu hiyo, tena mzawa Nickson Kibabage kutoka Singida FG. Mashabiki wa Yanga wanaonekana kuwa na wasiwasi huku ikizingatiwa Klabu hiyo imeachana na nyota wake kadhaa. Sasa Rais wa Klabu ya Yanga Injinia...

WAKATI SIMBA WAKITAMBA NA BEKI WAO MCAMEROON…YANGA WAMESHUSHA CHUMA HIKI CHA KAZI…

0
Gift Fred atambulishwa Yanga

Beki wa timu ya taifa ya Uganda (Uganda Cranes) Gift Fred amejiunga na Mabingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara Yanga SC. Beki huyo mahiri amesaini mkataba wa miaka mitatu Ijumaa kutokana na Prosper Agency ambaye alisimamia mchakato wa uhamisho (usajili). Gift ambaye amekuwa nahodha katika klabu ya SC Villa alionyesha kiwango kizuri msimu uliopita Jogoos walipojaribu kushinda taji la ligi na...

KUHUSU SIMBA KUMSAJILI MAYELE….AHMED ALLY KAIBUKA NA JIPYA HILI…AGUSIA KUSEPA KWA BALEKE..

0
Habari ya Simba SC

Baada ya taarifa kusambaa za kuondoka kwa Mshambualiaji kinara wa Simba SC, Jean Baleke huku ikisemekana ameachana na Timu hiyo, Meneja wa Habari wa Simba SC Ahmed Ally kupitia ukurasa wake wa Instagram ameandika; "Naona mnafurahia taarifa za kuondoka Baleke Niwataarifu tuu Baleke atarejea hivi punde baada ya kupata hati mpya ya kusafiria ( Passport) na atajiunga na timu Uturuki kwa...

SASA NI KAMA BUREE TU….PATA MPAKA 15,000 KILA UNAWEKA MKEKA WAKO NDANI YA MERIDINABET..

0
Meridianbet

Eeh Bwana eeh Meridianbet kwa kushirikiana na kampuni ya Selcom wamekuja na bonge la ofa kwa wewe mteja wa Meridian ambaye umekua ukibashiri na kucheza micheza ya kasino mitandaoni. Ni Hivi unatakiwa kuweka kiasi cha shilingi 15,000 au zaidi kwenye akaunti yako ya Meridianbet kupitia Selcom na ukacheza michezo mbalimbali ya Kasino Mitandaoni ambapo unaweza kupata bonasi ya michezo yenye...