SIMBA: KAMBI YA MOROCCO IPO VIZURI,JEZI MPYA KUTAMBULISHA

0
UONGOZI wa Simba umeweka wazi kuwa kila kitu kuhusu kambi na maandalizi ya msimu wa 2021/22 yanakwenda sawa.Kaimu Ofisa Habari wa Simba, Ezekiel Kamwaga...

HII HAPA TIMU MPYA MATAJIRI WA LIGI DARAJA LA KWANZA INAYOTAKA KUMSAJILI HAMIS...

0
DTB FC inayoshiriki Ligi Daraja la Kwanza, imethibitisha nia yao ya kumrudisha nchini straika maarufu Mrundi, Amissi Tambwe.Tambwe aliyewahi kucheza katika klabu za Simba...

YANGA KAMILI GADO KWA MSIMU UJAO, KAZI INAENDELEA

0
 YANGA inaendelea na maandalizi kwa ajili ya msimu wa 2021/22 ikiwa ipo nchini Morocco na imewajumuisha wachezaji wake wapya pamoja na wale waliokuwa katika...

VIDEO: LUIS KUFANYIWA VIPIMO AL AHLY, NABI AKOSHWA NA DJUMA NA MULOKO

0
LUIS Miquissone atua Al Ahly kufanyiwa vipimo, Nasreddine Nabi akoshwa na Djuma na Jesus Muloko.  

SIMBA KUYAKOSA MABAO 42 NDANI YA LIGI KUU BARA MAZIMA

0
 MABINGWA watetezi wa Ligi Kuu Bara, Simba msimu ujao watayakosa mabao yao 42 ndani ya ligi baada ya nyota ambao walihusika katika mabao hayo...

CRISTIANO RONALDO:REKODI YANGA NA REAL MADRID IMEANDIKWA

0
MSHAMBULIAJI, Cristiano Ronaldo amesema kuwa kwa sasa habari yake ndani ya Real Madrid imeshaandikwa jambo ambalo linaleta ugumu kwa nyota huyo kuweza kurejea hapo...

AZAM FC SERA YAO MPYA NI MWENDO WA KIMYAKIMYA

0
 UONGOZI wa Azam FC umesema kuwa msimu huu watakua na mwendo wa toauti tofauti na msimu mpya hivyo sera yao ambayo wameizindua itawafanya wafanye...

MUONEKANO WA UKURASA WA MBELE GAZETI LA CHAMPIONI JUMATANO

0
 MUONEKANO wa ukurasa wa mbele gazeti la Championi Jumatano,  usipange kukosa nakala yako 800.

JEMBE LA KAZI YANGA LAANZA MATIZI, MANULA ANAJUA SHUGHULI YAKE

0
 BALAMA Mapinduzi, kiungo mshambuliaji wa Yanga tayari ameshaanza mazoezi mepesi kwa ajili ya kujiweka sawa na msimu ujao wa 2021/22.Nyota huyo ambaye anakumbukwa na...

VIDEO: KIKOSI CHA SIMBA KIPYA MSIMU WA 2021/22 ACHA KABISA

0
LIGI Kuu Bara inatarajiwa kuanza Septemba 29 na Septemba 25 unatarajiwa kuchezwa mchezo wa Ngao ya Jamii. Simba ni miongoni mwa timu ambayo imefanya usajili...