Tag: Simba SC
YACOUBA AWAPIGA KIJEMBE SIMBA…”TUTAWAPIGA HADI HAO WANAOJIITA SIMBA
ILIANZA Yanga. Ilisafiri hadi Highland Estate, Mbarali mkoani Mbeya kucheza na Ihefu katika mechi ya Ligi Kuu Bara ikiwa haijapoteza mechi 49, ikalala mabao...
USAJILI WA SIMBA WASHTUA…KOCHA MPYA ASHIKILIA MAFAILI YA MASTAA HAWA
KOCHA Mkuu wa Simba Robert Oliveira ‘Robertinho’ anachofanya kwa sasa kwa kila mchezo anaocheza uwe wa kimataifa au wa ndani anakuwa na kazi nyingine...
MAYELE NA INONGA WAPIGWA BENCHI…TIMU YA TAIFA YA CONGO
Timu ya Taifa ya Congo inashuka Dimbani kujaribu kuibua matumaini ya kufuzu kwa Michuano ya AFCON2023.
Congo ambao tayari wamecheza michezo miwili katika Kundi I,...
MOHMMED HUSSEIN “TSHABALALA” NA KIBU DENNIS…WAPIGWA OUT SIMBA
Wachezaji tegemeo ndani ya kikosi cha Simba, Kibu Denis na Mohammed Hussein 'Tshabalala' wanatarajiwa kuukosa mchezo dhidi ya Raja Casablanca.
Simba ambayo ipo nafasi ya...
MNAWASIFIA SANA MAMELODI SUNDOWNS…WATAPIGWA NA SIMBA MSHANGAE
Awali ya yote ningependa ku-declare interest kuwa nawataka Masandawana.
Twende kwenye mada, imezuka mijadala mingi sana mitandaoni hususani kwa baadhi ya wachambuzi wakisema kuwa Mamelodi...
YANGA NA SIMBA… ZIMETUHAKIKISHIA KUPELEKA TIMU 4 KIMATAIFA MSIMU UJAO
Makamu wa Rais wa Klabu ya Yanga, Arafat Haji amesema kitendo cha kuingiza timu mbili kwenye robo fainali ya michuano ya Ligi ya Mabingwa...
BODI YA LIGI YAZIPIGIA SALUTI SIMBA NA YANGA… WADHAMINI WAMWAGA MANOTI
Kitendo cha klabu za Simba na Yanga kufanya vizuri kwenye michuano ya kimataifa kimeelezwa kuwa kinaongeza umaarufu wa Ligi Kuu Tanzania Bara.
Hilo limeelezwa na...
ULE MGOLI WA CHAMA WACHAGULIWA…GOLI BORA LIGI YA MABINGWA
Goli la Mchezaji wa Simba SC, Clatous Chama alilofunga dhidi ya Horoya kwa kupitia mpira wa kutenga limeteuliwa kuwa bora kati ya magoli yote...
SIMBA NA YANGA HAKUNA MBABE…TAMBO ZIMEISHA MIDOMONI
Mchezo wa Ligi Kuu ya Wanawake Tanzania (Serengeti Lite Women's Premier League #SLWPL) kati ya Yanga Princes na Simba Queens umemalizika katika Dimba la...
CHAMA:- KUFIKA ROBO FAINALI ILIKUWA LAZIMA…TUMEELEKEZA NGUVU HATUA INAYOFUATA
Baada ya kutinga hatua ya robo fainali Ligi ya Mabingwa Afrika mastaa wa Simba wamekula kiapo kuhakikisha wanafanya vizuri zaidi hatua inayofuata ili kuendelea...