KUTOKA TP MAZEMBE MPAKA SINGIDA KAMA UTANI
Klabu ya Singida Fountain Gate inatajwa kuwa ipo kwenye mazungumzo ya kina na aliyekuwa kiungo wa TP Mazembe ya DR Congo, Miche Mika anayekipiga katika…
Klabu ya Singida Fountain Gate inatajwa kuwa ipo kwenye mazungumzo ya kina na aliyekuwa kiungo wa TP Mazembe ya DR Congo, Miche Mika anayekipiga katika…
Fiston Mayele atakabiliana na Wakongomani wenzake wakati klabu yake ya Pyramids ikivaana na TP Mazembe katika mchezo wa kwanza wa hatua ya makundi ya Ligi…
Klabu ya Richards Bay inayoshiriki Ligi Kuu ya Afrika Kusini (Dstv Premiership) imezionya Klabu za Simba na TP Mazembe kuacha kumshawishi golikipa wao, Salim Magoola,…
Mmiliki wa Klabu ya TP Mazembe, Moise Katumbi amesema tumeingia makubaliano na Klabu ya Simba ili kushirikiana katika mambo mbalimbali yanayohusu mpira. Katumbi amesema makubaliano…
Gwiji wa Timu ya Taifa ya Zambia ‘Chipolopolo’ na TP Mazembe, kiungo fundi Rainford Kalaba ameiunga mkono Power Dynamos kuifunga Simba SC ya Tanzania wikendi…