Uncategorized

SAMAKIBA ITADUMU MILELE

admin May 31, 2019 12:09 pm

NAHODHA wa timu ya Taifa, Mbwana Samatta amesema kuwa mpango wa kuisaidia jamii utakuwa ni wa kudumu kwa kuwa ni sehemu ya maisha kuwakumbuka wahitaji.

Samatta na Ali Kiba wameandaa mchezo maalumu wakiwa na kampeni yao inayokwenda kwa jina la nifuate na muunganiko wao unaitwa SAMAKIBA Foundation, Juni 2 watakuwa na mchezo uwanja wa Taifa.

Akizungumza na Saleh Jembe, Samatta amesema kuwa lengo ni kuwakumbusha wenye uwezo kuwajali wengine wa kipato cha chini.

“Tumefanya hivi kwa ajili ya kuwakumbusha wale wenye kipato kikubwa kuwakumbuka wengine ambao kipato chao ni cha chini pamoja na kuwajali wahitaji, tulianza mwaka jana na mwaka huu tunaendelea na itakuwa ni kila mwaka,” amesema Samatta.
KIBA ATAJA SABABU YA NIFUATE PROJECT, JUNI 2 KUWAKA TAIFA SIMBA WAFUNGUKA JUU YA KUMSAJILI AJIBU WA YANGA

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply