Trending Stories
View All
USHIRIKIANO WA BARKER NA UONGOZI WATAJWA KUIJENGA SIMBA YA SASA
MWENYEKITI wa Bodi ya Wakurugenzi wa Simba SC, Crescentius Magori, amesema mafanikio ya kikosi cha sasa yanatokana na ushirikiano mzuri…
TEGISI ATAMANI KUCHEZA NA FEI TOTO AZAM FC
STRAIKA wa Pamba Jiji, Mathaw Tegisi amesema moja ya ndoto zake katika soka la kulipwa nchini ni kuitumikia Azam, huku…
VIWANJA UGENINI KAA LA MOTO LIGI KUU BARA
WAKATI Yanga na Azam zikitibuliwa rekodi kwa kupoteza mechi za kwanza Ligi Kuu Bara, viwanja vya ugenini msimu huu vimeonekana…
SEIF KARIHE AFICHUA JAMBO MASHUJAA
NYOTA wa Mashujaa, Seif Karihe amekiri kukutana na ugumu wa ligi msimu huu akitoa matumaini kwa mechi tano zilizobaki kufufuka,…
PAMBA JIJI YAZOA BEKI NAMUNGO
PAMBA Jiji imeshamalizana na beki wa kushoto wa Namungo, Salehe Machupa, huku klabu hiyo ikimpa baraka zote. Kiwango cha beki…
ULE UTAMU WA CHAMPIONSHIP SASA UMEFIKIA PAZURI
UHONDO wa Ligi ya Championship umefikia hatua nzuri kwa sasa, ambapo leo Jumamosi itashuhudiwa mechi zote nane zikipigwa za raundi…
ZOMBIE APOCALYPSE NA MWENGE MPYA WA BURUDANI
Meridianbet inawasha mwenge mpya wa burudani kupitia mchezo wa Zombie Apocalypse, unaoendelea kuwavutia vijana wanaopenda changamoto na msisimko wa kasi ya…
SABABU YA LINGARD KUITWA JLINGZ YAFICHUKA
SANTOS, BRAZIL: SABABU ya kiungo Jesse Lingard kutumia jina la “JLingz” mgongoni mwa jezi yake imefichuka baada ya Corinthians kuibuka…
MALINDI YAHITAJI MIUJIZA KUBAKI ZPL
HALI iliyonayo Malindi hivi sasa inahitaji maombi kuona inasalia Ligi Kuu Zanzibar kutokana na kupoteza mechi mbili za karibuni dhidi…
RATIBA YAMUIBUA KOCHA MUEMBE MAKUMBI
KOCHA Mkuu wa Muembe Makumbi, Sheha Khamis, amesema ushindani wa msimu huu umekuwa mgumu zaidi ikilinganishwa na misimu iliyopita. Khamis…
SIMBA YAWEKA REKODI KALI, BARKER AENDELEA KUNG’ARA
KOCHA Mkuu wa Simba SC, Steve Barker, anaendelea kuweka rekodi ya kuvutia ndani ya klabu hiyo baada ya kuiongoza timu…
SERENGETI BOYS YAFUNGUA MLANGO WA DUNIA, TANZANIA YAANZA KUOGOPWA
USHINDI wa Serengeti Boys dhidi ya Misri umeendelea kuibua matumaini makubwa kwa timu hiyo ya taifa ya vijana chini ya…
NI NICE AU SAINT-ETIENNE KUCHEZA LIGI KUU 2026\27
Kadri muda unavyozidi kwenda ndipo joto linavyozid kupanda kwa timu za Nice na Saint-Etienne kwani wote wawili wanahitaji nafasi ya…
KOCHA MGOSI ASEMA MAKOSA YAMEISHA SASA NI UBINGWA
KOCHA Mkuu wa Simba SC, Mussa Mgosi, amesema kikosi chake kimejifunza masomo muhimu kutokana na makosa yaliyotokea katika michezo ya…
DIARRA AKITELEZA TU, KASSALI TAYARI KUMSHUSHA KILELENI
Mbio za kuwania tuzo ya kipa bora wa Ligi Kuu Tanzania Bara msimu wa 2025/26 zimechukua sura mpya huku ushindani…
AZIZ KI AITIKISA YANGA KWA KAULI YA KUREJEA TANZANIA
WAKATI tetesi za usajili zikizidi kushika kasi kuelekea dirisha lijalo la usajili, kiungo mshambuliaji wa Ittihad SC ya Libya, Stephane…