LATEST ARTICLES
NI DAKIKA 90 TU, MKENYA AAMUA NANI MBABE
HATMA ya Simba na Yanga sasa ipo mikononi mwa mwamuzi kutoka Kenya, Dickes Mimisa Nyagrowa, atakayesimamia fainali ya Kombe la Muungano inayosubiriwa kwa hamu...
STOCK TRADE KUTOA FURSA MPYA KWA VIJANA KUPIGA PESA KIDIGITALI
Kama wewe ni kijana unayetafuta burudani yenye nafasi ya kushinda pesa, basi Meridianbet wamekuja na kitu kipya kinachoitwa Stock Trade. Huu ni ujuzi unaokuweka...
KAULI NZITO YA MANGUNGU YAIPA SIMBA MORALI KUBWA
KUELEKEA mchezo wa fainali ya kombe la Muungano kesho Visiwani Zanzibar, Mwenyekiti wa klabu ya Simba, Murtaza Mangungu amesisitiza hadhi ya kikosi chao hakin...
YANGA WAINGIA KIKATILI, BURUDANI KWA MASHABIKI, MAUMIVU KWA WAPINZNI
KOCHA Mkuu wa Yanga, Pedro Gonçalves, ameweka wazi dhamira ya kikosi chake kuelekea mchezo wa fainali kwa kusisitiza kuwa malengo waliyojiwekea tangu mwanzo wa...
SIMBA WAPAMBANA NA KIVULI CHA VIPIGO VYA ZAMANI
MENEJA wa Idara ya Habari na Mawasiliano wa Simba, Ahmed Ally, amesema timu yao inaingia kwenye fainali ya Kombe la Muungano ikiwa na presha...
VITA YA UBINGWA YAZIDI KUWAKA, YANGA WAJIPANGA KIMKAKATI
MENEJA wa kikosi cha Yanga, Walter Harrison amesema kuwa wamewasili Zanzibar wakiwa na lengo moja kuu la kutetea ubingwa wao wa Kombe la Muungano...
YANGA KUWAKOSA WAWILI DABI
WAKATI presha ya mchezo wa Kariakoo Dabi kwenye Fainali ya Kombe la Muungano ikizidi kupanda, benchi la ufundi la Yanga limetaja wachezaji wawili watakaowakosa.
Yanga...
OMBI LA MAN CITY LAKWAMA, WAPINZANI EPL WACHACHAMAA
LONDON, ENGLAND: MANCHESTER City wanaonekana kushindwa katika jitihada za kubadilishiwa ratiba ya mechi dhidi ya Crystal Palace na Bournemouth, licha ya kukabiliwa na mzigo...
MAMA MZAZI WA SPARK AFUNGUKA KAULI YA MWISHO YA MWANAWE
Mama mzazi wa marehemu mwanamuziki wa Bongo Fleva Selemani Ramadhan ‘Spack’, Mwanahawa Selemani amefunguka kauli ya mwisho aliyozungumza na mwanaye.
Akizungumza na Soka la Bongo...
LUKA MODRIC AUNGANA NA KINA SALAH, SIMONS
MILAN, ITALIA: SUPASTAA wa zamani wa Real Madrid na mchezaji bora wa dunia 2018, Luka Modric ameungana na mastaa wa Liverpool, Mohamed Salah na...

















