LATEST ARTICLES

IBRA CLASS, MAPAMBANO YA NANI MKALI SASA NO

0
BONDIA wa kulipwa wa Tanzania, Ibrahim Mgender maarufu kama Ibra Class, ameweka malengo ya kushinda mataji makubwa ya kimataifa baada ya kutwaa mikanda miwili...

UEFA YAFAFANUA SABABU YA ARSENAL KUNYIMWA PENALTI

0
SHIRIKISHO la Soka Ulaya (UEFA), limetoa ufafanuzi kuhusu tukio la utata lililopelekea Arsenal kunyimwa penalti katika mechi ya nusu fainali ya mkondo wa kwanza...

DABI YACHAFUKA MAPEMA, YANGA YAPEWA TAHADHARI

0
MENEJA wa Idara ya Habari na Mawasiliano wa Simba, Ahmed Ally, amesema ushindi walioupata dhidi ya Yanga katika fainali umefuta uteja wa kufungwa mara...

KIPIGO CHA SIMBA KIMETUFUMBUA MACHO, SASA NI VITA YA DABI PEDRO

0
BAADA ya kupoteza fainali ya Kombe la Muungano kwa kufungwa bao 1-0 na Simba katika Uwanja wa New Amaan Complex, Zanzibar, Kocha Mkuu wa...

KUTOKA WYDAD MPAKA HADI SIMBA, MWALIMU ATOA DARASA LA MECHI KUBWA

0
MSHAMBULIAJI wa Simba, Selemani Mwalimu, amesema uzoefu alioupata nje ya nchi umemjengea utulivu mkubwa katika mechi za presha, hali inayomsaidia kung’ara kwenye michezo mikubwa...

SIKINDE, BOGOSS MUSICA KUTIKISA FAINALI YA CHEZA KIDANSI AWARDS

0
IJUMAA hii katika eneo la Ngoreme Park Sinza Mori jijini Dar es Salaam, mashabiki wa muziki wa dansi wanatarajiwa kushuhudia kilele cha msimu wa...

KIPA SPURS AGEUKIA UDIJEI

0
LONDON, ENGLAND: ALIYEKUWA kipa wa Tottenham Hotspur, Alfie Whiteman, ameanza maisha mapya nje ya soka akiwa mkurugenzi wa filamu, mwigizaji, dijei (DJ) na mpiga picha...

SIMBA YABEBA KILA KITU WAISHIA MAKOFI

0
SIMBA SC wamehitimisha kwa kishindo michuano ya Kombe la Muungano, si tu kwa kutwaa ubingwa bali pia kwa kutikisa jukwaa la tuzo kwa kuvuna...

BAO LA MWISHO LAWAVUNJA MOYO MASHABIKI, SIMBA WATAMBA

0
SIMBA imetwaa ubingwa wa Kombe la Muungano baada ya kuibuka na ushindi mwembamba wa bao 1-0 dhidi ya Yanga katika fainali iliyopigwa Uwanja wa...

MERIDIANBET YATOA MSAADA WENYE USTAWI MWANANYAMALA

0
Wakati hospitali nyingi zikikabiliana na ugumu wa mahitaji ya kila siku ya wagonjwa, wakati mwingine vitu vidogo ndivyo vinavyobadilisha hali nzima ya mgonjwa. Hilo ndilo...