Trending Stories
View All
INFANTINO APUUZIA UTATA, AKIMTETEA TRUMP KOMBE LA DUNIA 2026
MEXICO CITY, MEXICO: Ukimsikiliza Rais wa FIFA, Gianni Infantino, unaweza kudhani utata uliozunguka Kombe la Dunia 2026 katika siku za…
SIMBA YAVUNJA UKIMYA KUHUSU FEI TOTO, YATOA KAULI NZITO
MENEJA wa Idara ya Habari na Mawasiliano wa Simba SC, Ahmed Ally, amesema klabu hiyo ingependa kuwa na kiungo wa…
SIMBA YAMLIPA SH.120M MSIMU, ASAINI MKATABA WA MIAKA MIWILI
KIUNGO Bakari Msimu ameamua kujiunga na Simba kwa mkataba wa miaka miwili baada ya kushawishiwa na ofa nono inayodaiwa kufikia…
TAHADHARI KALI KWA MASHABIKI WANAOSAFIRI KOMBE LA DUNIA
WASHINGTON, Marekani: MASHABIKI wa soka watakaosafiri kwenda kushuhudia Kombe la Dunia 2026 nchini Marekani wametakiwa kubeba pasipoti muda wote kutokana na…
MAKOCHA WAKABILIWA NA MAAMUZI MAGUMU YA VIKOSI KOMBE LA DUNIA
MEXICO CITY, MEXICO: HOMA ya Kombe la Dunia sasa imeikumba dunia huku timu kutoka nchi 48 zikiwa njiani au ndani…
MOALLIN ACHEKELEA MABAO YA DUBE,DEPU
KUNA ukame uliowapitia washambuliaji wawili wa Yanga, Prince Dube na Laurindo Aurelio ‘Depu’ sasa jamaa wametupia huko timu za taifa…
BURUDANI, BAHATI NA USHINDI NDANI YA GATES OF LOVE
Kuna michezo ambayo unacheza kwa burudani, na kuna michezo ambayo hukupa sababu ya kutabasamu zaidi. Gates of Love kutoka Meridianbet imejengwa kuleta…
DAR LEOPARDS KUKIWASHA TAMASHA LA RAGA
IKIWA zimebaki siku chache kabla ya kuanza kwa Tamasha la Touch Rugby Tournament, waandaaji wa mashindano hayo, Dar Leopards RFC…
YANGA, SIMBA, TRA UNITED ZIMEKULA KIBANO CHA TPLB
BODI ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) imeendelea kuonyesha makali yake katika kusimamia nidhamu baada ya kutoa adhabu mbalimbali kwa wachezaji,…
NANI KUTWAA TUZO YA GOLDEN BOOT KOMBE LA DUNIA….?
LONDON, ENGLAND: KOMBE La Dunia 2026 litakuwa mashindano makubwa zaidi kuwahi kufanyika, likishirikisha mataifa 48 nchini Marekani, Canada na Mexico.…
SAUDI ARABIA KUTESTI MITAMBO MBELE YA SENEGAL
Mchezo huu wa kirafiki unawakilisha mgongano wa kuvutia kati ya timu ya Saudi Arabia inayowakilisha Asia na Senegal wawakilishi wa…
BARCA YAACHANA NA RASHFORD, SANCHO AKITEMWA MAN UNITED
BARCELONA, HISPANIA: BARCELONA imeripotiwa kusitisha mpango wa kumsajili Marcus Rashford na sasa mshambuliaji huyo wa England atarejea Manchester United baada…
ENGLAND YATUMIA WAKE, WAPENZI KUWAPA WACHEZAJI UTULIVU MAREKANI
WAKE na wapenzi wa wachezaji wa timu ya taifa ya England tayari wameshawasili Marekani wakiwa na ‘mahasibandi na maboifredi’ wao…
KOCHA WA MATAJI AFRIKA AINGIA KWENYE MPANGO MKAKATI WA YANGA
KLABU ya Yanga SC imefikia hatua za mwisho katika mchakato wa kusaka kocha mkuu mpya, huku jina la kocha mwenye…
BAJABER AAHIDI MAKUBWA SIMBA BAADA YA KUPONA MAJERAHA
MSHAMBULIAJI wa Simba, Mohammed Bajaber, amesema bado hajafikia kiwango chake bora licha ya kuanza kurejea uwanjani baada ya kusumbuliwa na…
JULIO ATAMBA ASEMA ANAIJUA YANGA KULIKO WENGI
KOCHA Mkuu wa Mashujaa FC, Jamhuri Kihwelo ‘Julio’, amesema hana presha yoyote kuelekea mchezo dhidi ya Yanga, akieleza kuwa historia…