LATEST ARTICLES
TAKWIMU ZINAONGEA NA VIJANA WANASHINDA NA MERIDIANBET
Kama wewe ni kijana unayependa kuona matokeo halisi kabla ya kuchukua hatua, basi Meridianbet ina kila sababu ya kukuvutia. Ndani ya robo ya kwanza...
NSAJIGWA ASAKA POINTI TATU ZA KWANZA KWA TRA UNITED
BAADA ya Kocha Mkuu wa Tanzania Prisons, Shedrack Nsajigwa kuiongoza timu hiyo katika mechi sita sawa na dakika 540 bila kuonja ushindi, kesho Ijumaa...
MAKONDA ASISITIZA UMAKINI WA WAAMUZI LIGI KUU BARA
WAZIRI wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Paul Makonda, ameitaka Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) na wadau wa soka nchini kuongeza umakini katika...
MASTAA YANGA WAFICHWA ZANZIBAR, SABABU YATAJWA
SIKU moja baada ya kikosi cha Yanga kukubali kichapo cha bao 1-0 kutoka kwa watani zao wa jadi, Simba katika fainali ya Kombe la...
ANICET OURA AISHTUA SIMBA
MWENYEKITI wa Bodi ya Wakurugenzi ya Simba, Crescentius Magori amesema ukiacha kitendo cha kufuruhishwa na namna wachezaji wa timu hiyo walivyopambana na kuichapa Yanga...
KIPIGO CHA SIMBA CHAZUA WITO WA UMOJA NDANI YA YANGA
MSEMAJI wa Yanga SC, Ali Kamwe, amewataka mashabiki wa timu hiyo kuwa watulivu na kuendelea kuiunga mkono timu yao licha ya matokeo ya hivi...
ASHLEY YOUNG KUSTAAFU SOKA MWISHONI MWA MSIMU
IPSWICH, ENGLAND: ALIYEKUWA nahodha wa Manchester United na winga wa zamani wa timu ya taifa ya England, Ashley Young, ametangaza rasmi kuwa atatundika daruga...
RONALDO AZUNGUMZA KWA MARA YA KWANZA ISHU YA KUSTAAFU
RIYADH, SAUDI ARABIA: GWIJI wa soka duniani, Cristiano Ronaldo, amekiri kwa mara ya kwanza kuwa mwisho wa safari yake ya soka umeanza kukaribia, huku...
BARKER CHINI YA PRESHA, SIMBA WAKITAKA MAKUBWA AFRIKA
UONGOZI wa klabu ya Simba umempa kazi nzito kocha wake, Steve Barker, baada ya kuweka wazi kuwa bado hawajaridhishwa na kiwango cha kikosi hicho...
BACCA AWATULIZA WANANCHI, SUBIRA, TUTARUDI TUKIWA HATARI
BEKI wa Yanga, Ibrahim Hamad maarufu kama Bacca, amewataka mashabiki wa timu hiyo kubaki wamoja na kuwa na subira kufuatia matokeo ya hivi karibuni...

















