LATEST ARTICLES
KAPOMBE APIGA MEZA ANGOLA, TUSAHAU YALIYOPITA
NAHODHA wa Simba SC, Shomari Kapombe, ameweka wazi kuwa kipaumbele kikubwa kwa sasa ndani ya kikosi hicho ni kupigania nembo ya klabu katika kila...
GUMBO AHAIDI, MORALI JUU KAMBINI YANGA
UONGOZI Yanga SC umeweka wazi kuwa kikosi cha timu hiyo kipo katika hali nzuri ya kisaikolojia na kiufundi kuelekea mchezo muhimu wa kesho Jumamosi...
MSIBA MOROCCO BUBA AMUACHA PEDRO NJIA PANDA
NYOTA mpya wa Yanga, Buba Jammeh, anatarajiwa kutua nchini Tanzania kusubiri kikosi cha timu hiyo kitakaporejea kikitokea Morocco, ambako kipo kwa ajili ya mchezo...
AHOUA AREJEA TANZANIA, MOTO CAF WAWAKA ZANZIBAR
ALIYEKUWA kiungo wa Klabu ya Simba, Jean Charles Ahoua ambaye kwa sasa anakipiga katika klabu ya CR Belouizdad ya Algeria, tayari yupo nchini kwa...
MANGUNGU AVUNJA UKIMYA SIMBA, HATUJIUZULU
MWENYEKITI wa Klabu ya Simba na Makamu Mwenyekiti wa Bodi, Murtaza Mangungu, amesema uongozi wa klabu hiyo unaendelea kutekeleza majukumu yake kama inavyoelekezwa na...
FOUNTAIN YAHAMIA SHEIKH AMRI ABEID
MABOSI wa Fountain Gate wamefikia uamuzi wa kuhamishia mechi zote za nyumbani za timu hiyo za Ligi Kuu na mashindano ya ndani kwenye Uwanja...
MMILIKI WA MBEYA KWANZA APIGA MKWARA
MMILIKI wa Mbeya Kwanza, Yusuph Kitumbo, amesema hana mpango wowote wa kuiuza timu hiyo kwa sasa kama inavyodaiwa, baada ya hivi karibuni kuibuka taarifa...
ZAMU YA KIBU DENIS KUSEPA SIMBA,WAARABU WATIA PESA
Muda wowote kuanzia sasa, Simba itakamilisha makubaliano ya kumuuza mshambuliaji Kibu Denis kwenda Al Nasr ya Libya.
Chanzo kutoka ndani ya klabu hiyo kimeithibitishia Mwananchi...
BADILI UAMUZI WAKO KUWA USHINDI NA SOPER HELI
Katika michezo ya ubashiri, tofauti kubwa haipo kwenye bahati pekee bali kwenye uamuzi. Meridianbet inaleta Super Heli Premium, mchezo wa kasino wa kisasa unaokupa udhibiti...
PEDRO AWEKA DUA KWA BUBA MOROCCO
KOCHA mkuu wa Yanga, Pedro Goncalves, ameonyesha utulivu na imani kubwa baada ya kumtaja winga mpya, Buba Jammeh, katika kikosi kilichosafiri kuelekea Rabat, Morocco,...

















