LATEST ARTICLES
BAJEBER APONA, SIMBA YAONGEZA MAKALI KOMBE LA MUUNGANO
HABARI njema zimeanza kutanda ndani ya kikosi cha Simba SC kufuatia mshambuliaji wao hatari, Mohammed Bajeber, kurejea kwenye ushindani baada ya kuuguza majeraha kwa...
YANGA, AZAM KUONYESHANA UBABE KOMBE LA MUUNGANO KABLA YA DERBY YA MZIZIMA
PAMBANO la kusisimua linatarajiwa kufanyika Jumamosi, Aprili 25, 2026, ambapo Yanga SC watamenyana na Azam FC katika hatua ya nusu fainali ya Kombe la...
MAYANGA AWEKA WAZI SIRI KUBWA KUBAKI LIGI KUU, NIDHAMU NA USHIRIKIANO
KOCHA Mkuu mpya wa Mbeya City, Salum Mayanga, ameweka wazi mkakati wake wa kuisuka upya timu hiyo ili kuhakikisha inasalia salama katika Ligi Kuu...
MERIDIANBET YAZINDUA THE EXPANSE STOCK TRADE
Meridianbet inafuraha kutangaza uzinduzi wa mchezo wake mpya wa kisasa, The Expanse: Stock Trade, unaolenga kubadilisha namna wachezaji wanavyoshiriki katika michezo ya kimkakati.
Ukichanganya msisimko...
DALILI NJEMA, YANGA WAANZA KUSHTUKA
KOCHA Mkuu wa Simba SC, Steven Barker, amevunja ukimya kuhusu mchakato wa kuiunganisha timu yake mpya, akieleza wazi kuwa safari hiyo haikuwa rahisi kama...
DONGO ZITO, SIMBA WAIWASHA YANGA SC
MENEJA a Idara ya Habari na Mawasiliano wa Simba, Ahmed Ally, ameanza kuwarushia vijembe watani wao wa jadi, Yanga, akisisitiza kuwa kikosi chao hakina...
SIMBA KWENYE HATARI, MAFUNZO SC WAJIPANGA KUWASTUA MAPEMA
KOCHA wa Mafunzo SC, Haji Mwambwe, ameweka wazi dhamira ya timu yake kuelekea michuano ya Kombe la Muungano, akisisitiza kuwa lengo lao ni kuandika...
JE ELCHE ATAMZUIA ATLETICO MADRID
Leo tarehe 22 Aprili 2026, saa 8:00 usiku dimba la Martínez Valero mjini Elche kutakuwa na pambano la La Liga kati ya Elche na...
SIMBA YATINGA MUUNGANO KIVITA, BARKER ATOA SILAHA ZOTE
KOCHA Mkuu wa Simba, Steve Barker, amesema kikosi chake kipo tayari kwa changamoto ya mashindano ya Kombe la Muungano, akisisitiza kuwa maandalizi yao yamekamilika...
IBENGE AKIRI PRESHA YA SIMBA, YANGA, AAHIDI MAPINDUZI
KOCHA Mkuu wa Azam FC, Florent Ibenge amesema hatakubali tena timu yake kuwa daraja la mafanikio kwa Simba na Yanga katika michuano ya Kombe...

















