LATEST ARTICLES

SIMBA YATINGA MUUNGANO KIVITA, BARKER ATOA SILAHA ZOTE

0
KOCHA Mkuu wa Simba, Steve Barker, amesema kikosi chake kipo tayari kwa changamoto ya mashindano ya Kombe la Muungano, akisisitiza kuwa maandalizi yao yamekamilika...

IBENGE AKIRI PRESHA YA SIMBA, YANGA, AAHIDI MAPINDUZI

0
KOCHA Mkuu wa Azam FC, Florent Ibenge amesema hatakubali tena timu yake kuwa daraja la mafanikio kwa Simba na Yanga katika michuano ya Kombe...

SIMBA KWENYE HATARI, PEDRO AANZA KUUNDA KIKOSI KIPYA

0
KOCHA Mkuu wa Yanga, Pedro Goncalves ameanza rasmi kukisuka kikosi chake kuelekea mchezo mkubwa wa Kariakoo Derby dhidi ya Simba, akilenga zaidi kuimarisha safu...

0
MANCHESTER, ENGLAND: INGAWA Erling Haaland ndiye aliyefunga bao la ushindi katika ushindi wa mabao 2-1 wa Manchester City dhidi ya Arsenal, Jumapili iliyopita, sasa...

0
Leicester, England: Leicester City imeshuka daraja kwa mara ya pili mfululizo hadi League One, takribani muongo mmoja tu baada ya kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu...

BADO TANO, VITA YA KUSHUKA EPL ILIVYOANZA KUKOLEA

0
LONDON, ENGLAND: KUANZIA maumivu ya Jumamosi iliyopita hadi ahueni fulani wiki hii! Huu umekuwa ni msimu mgumu kwa mashabiki wa Tottenham Hotspur, lakini baada...

MFUPA ULIOMSHINDA MACKY APEWA MAYANGA

0
UONGOZI wa Mbeya City umekata mzizi wa fitina kwa kumtangaza rasmi aliyekuwa kocha wa Mashujaa FC, Salum Mayanga, kuchukua nafasi ya Mecky Maxime, huku...

MPANGO MKUBWA YANGA WAANZA KUFICHUKA, USAJILI WENYE KISHINDO WAPANGWA MAPEMA

0
UONGOZI wa klabu ya Yanga inayosimamiwa na Rais Hersi Said wameingia  sokoni mapema kuelekea msimu wa 2026/27, ikiwa na lengo la kuimarisha kikosi chake...

SIMBA WAITAKA YANGA ZANZIBAR NA BARA

0
UONGOZI a klabu ya Simba umeweka wazi dhamira yao kubwa kuelekea michuano ya Kombe la Muungano,  Visiwani Zanzibar, wakisisitiza lengo lao si kutwaa ubingwa...

HATARI KUBWA YANGA, UTI WA MGONGO WATIKISWA

0
UONGOZI wa klabu ya Yanga unakabiliwa na wakati mgumu katika juhudi za kuwashawishi baadhi ya nyota wake kusalia ndani ya kikosi hicho kuelekea msimu...