Trending Stories
View All
Yanga Kukipiga na St. George Dar es Salaam: Maandalizi Yaiva Uwanja wa Uhuru!
Kikosi cha Yanga SC kinatarajiwa kushuka dimbani Ijumaa hii, Septemba 18, 2026, kwenye Uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam,…
Chilambo Aapa Azam FC: “Tuko Kwenye Mbio za Ubingwa, Azam Complex Hatuachi Pointi!”
BEKI wa kulia wa Simba SC, Nathaniel Chilambo, leo anatarajiwa kuwa kwenye wakati wa kipekee atakapovaana na waajiri wake wa…
Yanga Yatuliza Presha Aziz Ki Kutokosa Kariakoo Dabi Dhidi ya Simba
Klabu ya Yanga imetuliza presha ya mashabiki wake kuelekea mchezo wa Kariakoo Dabi dhidi ya watani wao wa jadi, Simba…
Kocha Mngqithi Amwagia Sifa Mzize Alivyorejea Yanga SC
Kocha Mkuu wa Yanga SC, Manqoba Mngqithi, ameeleza kufurahishwa kwake na kiwango cha kuvutia kilichoonyeshwa na mshambuliaji wake, Clement Mzize,…
Mngqithi Azungumzia Kadi Nyekundu ya Aziz Ki na Somo Kwa Yanga
Kocha Mkuu wa Yanga, Manqoba Mngqithi, ameeleza kuwa kadi nyekundu aliyoonyeshwa kiungo wake machachari, Stephane Aziz Ki, imekuwa chachu na…
Zawadi Kubwa Zimeletwa, Galaxy A26 Tatu Ziko Hatarini Kutua
Wapenzi wa michezo na burudani, safari hii Meridianbet imekuja na kitu cha ziada. Kuna simu tatu mpya kabisa za Samsung Galaxy…
Everton, Wolves Kukutana Kwenye Vita ya Raundi ya Tatu EFL Cup
Everton itakuwa mwenyeji wa Wolves katika mchezo wa raundi ya tatu ya Kombe la EFL carabao cup utakaopigwa leo Jumatano, Septemba…
Katwila Aeleza Sababu za Geita Gold Kufungwa na Yanga | Ligi Kuu
Kocha Mkuu wa Geita Gold, Zuber Katwila, amebainisha kuwa kikosi chake kilistahili kupata matokeo mazuri zaidi katika mchezo wao dhidi…
Kocha Ramajaa: Siri ya Naccoz Gym Kutoa Mabingwa wa Ngumi Tanzania
Ukitaka kujua maana halisi ya chuo cha ngumi za kulipwa nchini Tanzania, huna haja ya kutafuta tiketi ya kwenda Mexico…
Clement Mzize Afunguka Kurejea Uwanjani Yanga SC
MSHAMBULIAJI kijana na hatari wa Yanga SC, Clement Mzize, ameeleza furaha yake kubwa baada ya kufanikiwa kurejea uwanjani kufuatia kipindi…
Rekodi za CECAFA U-20: Kelvin John na Sydney Lokale Watikisa Historia
Wakati michuano ya Afrika Mashariki na Kati (CECAFA U-20) ikiendelea kutimua vumbi kwenye Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam, macho…
Dabi ya Mzizima: Nani Katisha Miongoni mwa Wachezaji Wapya wa Simba na Azam FC?
Dabi ya Mzizima si vita ya Simba SC na Azam FC pekee, bali ni pambano ambalo kila msimu huja na…
CECAFA U-20: Rwanda, Ethiopia, Kenya na Burundi Kupambana Uwanja wa Uhuru
MTAFARUKO wa kusaka tiketi ya kusonga mbele kwenye Michuano ya Afrika Mashariki na Kati (CECAFA U-20) unatarajiwa kuendelea Alhamisi ya…
Simba vs Coastal Union Leo: Mambo 5 Ya Kuzingatia Ligi Kuu Bara
MSHIKEMSHIKE wa Ligi Kuu Tanzania Bara unaingia raundi ya nne leo kwa mechi mbili za kukata na shoka, huku macho…
Yanga Yaijaza Geita Gold Machungu: Yawaadhibu Mtu 10 Uwanjani!
Young Africans (Yanga SC) imeendelea kuonyesha umwamba na utawala wake katika Ligi Kuu Tanzania Bara baada ya kuibuka na ushindi…
Pigo Yanga: Aziz Ki Kuikosa Dabi ya Kariakoo Dhidi ya Simba
Mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Yanga, wamepata pigo kubwa kuelekea mchezo wao wa Dabi ya Kariakoo dhidi ya…