Trending Stories
View All
MBINGWA YANGA WAANZA MAPEMA USAJILI MKUBWA WA MSIMU UJAO
Yanga SC wameanza kwa kasi kuweka msingi wa kikosi chao kuelekea msimu ujao, baada ya kufungua mazungumzo ya awali yanayomhusisha…
SIMBA SC YAANZA OPERESHENI ALAMA 15, YAREJEA KAMBINI KWA VITA YA UBINGWA
BAADA ya mapumziko mafupi, kikosi cha Simba SC kinatarajiwa kurejea kambini kesho (Jumatatu) kuanza maandalizi ya mwisho kuelekea michezo mitano…
NJIA YA KNICKS KUREJEA FAINALI BAADA YA MIAKA 27
NEW YORK, MAREKANI: BAADA ya kusubiri kwa miaka 27, hatimaye New York Knicks imerejea katika ngazi kubwa zaidi ya mpira wa…
MASHABIKI WA ARSENAL, PSG WAZICHAPA
BUDAPEST, HUNGARY: MASHABIKI wa Arsenal wamepigana na wenzao wa PSG katika mitaa ya Budapest, Hungary, kabla ya fainali ya Ligi ya…
KUTOKA UBINGWA WA PELE HADI HEADBUTT YA ZIDANE
MIAMI, MAREKANI: WAKATI fainali za Kombe la Dunia 2026 zikibakiza takriban wiki tatu na ushee, mambo ni moto! Tayari timu za…
WPL KUNA MOTO UNAWAKA
LIGI Kuu ya Wanawake (WPL) inaendelea Mei 31, 2026 kwa mechi sita, lakini macho ya wengi yataelekezwa Uwanja wa KMC…
MERIDIANBET YATOA TABASAMU WODINI ILI KUJENGA KESHO BORA
Meridianbet imeendelea kuonyesha mfano wa kuigwa kupitia miradi yake ya kijamii. Hatua yake ya kutoa vyandarua kwa Hospitali ya Mabwepande ni sehemu…
SINGIDA BS YAWEKEWA SH50 MIL KWA MBAPPE
UONGOZI wa Singida Black Stars umeanza rasmi mazungumzo ya kumpata mshambuliaji wa Mlandege FC ya Zanzibar, Mussa Hassan Simba ‘Mbappe’…
KOCHA MUEMBE MAKUMBI AONA JAMBO
KOCHA Mkuu wa Muembe Makumbi, Sheha Khamis amesema ushindani wa Ligi Kuu Zanzibar (ZPL) msimu huu 2025-2026 umekuwa mgumu zaidi…
RATIBA LIGI KUU BARA YAWAGAWA WADAU
KITENDO cha Ligi Kuu Bara kumalizika Juni 30, 2026 badala ya Mei 2026 kama ilivyopangwa awali, kimeibua mjadala mkubwa kwa…
MESSI WA CHUGA ANUKIA ULAYA
UONGOZI wa Fountain Gate FC umepokea barua kutoka timu mbalimbali Ulaya ili kumpata kiungo mshambuliaji nyota wa kikosi hicho, Juma…
JE ARTETA AU ENRIQUE KUONDOKA NA TAJI LEO,….?
Dunia inaenda kushuhudia pambano la aina yake kabisa kwenye Fainali ya Ligi ya Mabingwa kule Ulaya ni PSG vs Arsenal.…
YANGA YATINGA SOKONI KWA HASIRA, YAMLENGA NYOTA WA AZAM FC
KLABU ya Yanga inaendelea kuweka mikakati kabambe ya kuimarisha kikosi chake kuelekea msimu ujao wa mashindano ya ndani na kimataifa,…
SIMBA WAFUNGUKA KUSAKA STRAIKA MPYA WA KUONGEZA MAKALI YA USHAMBULIAJI
UONGOZI wa Simba SC umeweka wazi kuwa unaendelea na mchakato wa kuimarisha kikosi chake kuelekea msimu ujao wa mashindano, huku…
TETESI ZA MAYELE ZATIKISWA, KAMWE AFUNGUKA KILICHO NYUMA YA PAZIA
MSEMAJI wa Yanga, Ali Kamwe, ametoa kauli kuhusu mipango ya usajili wa msimu ujao huku kukiwa na tetesi zinazomhusisha aliyekuwa…
MWEZI MGUMU KWA YANGA, LIGI NA KOMBE VYATOA MTIHANI MKUBWA
KIKOSI cha Yanga kinatarajiwa kurejea kambini rasmi Jumatatu, Juni 1, 2026, kwa ajili ya kujiandaa na michezo ya mwisho ya…