Trending Stories
View All
MERIDIANBET YAZITILIA WEPESI KAYA MBALIMBALI ZA TANDALE
Wakati maisha yakiendelea kuwa changamoto kwa baadhi ya familia Tandale, Meridianbet imeingia kwa mtindo tofauti kabisa, si kama mgeni, bali kama…
DAKIKA TATU ZAMUUMIZA BARAZA
KOCHA wa Pamba Jiji, Francis Baraza, ameonyesha kuumizwa na matokeo ya mchezo dhidi ya Azam baada ya kikosi chake kupoteza…
NSAJIGWA AANZA MIKWARA TANZANIA PRISONS
BAADA ya kukosa ushindi katika michezo tisa aliyosimamia, hatimaye Kocha Mkuu wa Tanzania Prisons, Shadrack Nsajigwa ameonja pointi tatu za…
EL HADJI DIOUF KUTUMIKIA ADHABU GEREZANI
DAKAR, SENEGAL: Nyota wa zamani wa Liverpool, El Hadji Diouf ameamriwa kutumikia hukumu ya kifungo kilichokuwa kimesimamishwa baada ya kushindwa…
WATAKAOCHEZA NDONDO ZANZIBAR FAINI SH 100,000
SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Zanzibar (ZFF), imesema mchezaji yeyote wa Ligi Kuu Zanzibar (ZPL) atakayecheza mashindano ya ndondo, ataadhibiwa…
POINTI TATU ZAMTIBULIA HESABU GUARDIOLA
BAADA ya Hausung FC kupokwa pointi tatu na mabao matatu, ila kocha wa kikosi hicho, Selemani Kitunda Simota ‘Guardiola’ amesema…
KILA PEMBE NI VITA, MAPAMBANO YA ASTON VILLA DHIDI YA LIVERPOOL LEO
Patashika nguo mkuchanika Leo Ijumaa Mei 15, 2026 saa 22:00, uwanja wa Villa Park utashuhudia pambano la kipa wawili bora…
TOURE AWEKA WAZI, SIMBA SC HAKUNA MZAHA NA MBIO ZA UBINGWA
Beki wa Simba SC, Ismael Olivier Toure, amesema mchezo wa jana dhidi ya Mashujaa FC ulikuwa na uzito mkubwa sana…
YANGA SC, NDOTO YA MIAKA 90 YAKARIBIA KUTIMIA UWANJA BINAFSI WAANZA KUOTA JUA
KWA takribani miaka 90 sasa, klabu ya Young Africans S.C. imebeba ndoto kubwa ya muda mrefu ya kumiliki uwanja wake…
FEI TOTO AWAACHA DUBE, CHAMA KWENYE PRESHA YA MABAO
KIUNGO mshambuliaji wa Azam FC, Feisal Salum ‘Fei Toto’, amesema hana presha yoyote wala ushindani binafsi katika mbio za kuwania…
KOCHA WA RS BERKANE ATUA KWENYE HESABU ZA YANGA
UONGOZI wa Yanga SC unaendelea na mchakato wa kutafuta mrithi wa aliyekuwa kocha wa timu hiyo, Pedro, huku jina la…
HUU SIO MUDA WA KUSHANGILIA HII VITA BADO, AHMED ALLY
MENEJA wa Idara ya Habari na Mawasiliano wa Simba SC, Ahmed Ally amesema timu hiyo imepiga hatua kubwa katika mbio…
ALGERIA YASAKA REKODI MPYA KOMBE LA DUNIA 2026
CONSTANTINE, ALGERIA: TIMU ya taifa ya Algeria inajipanga kurejesha heshima yake katika soka la Afrika na dunia ikiweka malengo ya…
ANGEL NYIGU ALIVYOWAHESHIMISHA ZUCHU NA DIAMOND
KATI ya dansa wa kike wanaofanya vizuri kwa sasa hapa nchini, ni pamoja na Angel Nyigu ambaye ametumika kuzipamba video…
UBINGWA LIGI KUU ZANZIBAR, JKU NA UHAMIAJI KUPIGANA VIKUMBO
MECHI kati ya Uhamiaji na JKU itakayochezwa leo jioni kwenye Uwanja wa Mao B kisiwani Unguja, itakuwa yenye ushindani wa…
DABI YA KISASI NA MABINGWA WPL
NI zamu ya mabinti, baada ya mechi ya watani wa jadi ya kaka zao Simba na Yanga iliyotoka kwa sare…