LATEST ARTICLES

Habari za Michezo leo

KWA HILI LA MANARA…HAPANA KWA KWELI….NI ZAIDI YA USALITI…

0
DIWANI wa Kata ya Kariakoo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Haji Manara ametoa kauli yenye kujirudia ambayo tafsiri yake ya moja kwa moja ni...
Habari za Yanga leo

KUELEKA MUUNGANO CUP LEO….AKILI YA PEDRO HUKO YANGA NI MOJA TU AISEEE….

0
YANGA imetua kisiwani Zanzibar tayari kwa kutetea Kombe la Muungano, lakini ilipogusa ardhi ya hapa tu kuna kauli kaitoa kocha wa timu hiyo, Pedro...
Habari za Michezo leo

MAJABU YA HARY KANE …BAYEN WAKIBEBA UBINGWA WA 35 BUNDESLIGA….

0
WAMEBEBA tena! Bayern Munich walitwaa ubingwa wa Ligi Kuu Ujerumani (Bundesliga), mwishoni mwa wiki baada ya kuichapa VfB Stuttgart mabao 4-2, ukiwa ni wa...
Habari za Michezo leo

VIWANGO VYA UBORA CAF…SIMBA ZIIII…KUTOKA NO 5 MPAKA 11….YANGA MHHHH…..

0
BAADA ya Simba kuwa na msimu mgumu katika michuano ya kimataifa 2025-2026, imejikuta ikiporomoka kwenye orodha ya viwango vya ubora vya klabu iliyotolewa na...

SUPER HELI KUWAPA WABASHIRI FURSA YA KWENDA NA TEKNOLOJIA

0
Mvua zikiwa zinaendelea kunyesha jijini, kuna msisimko mpya unaoenea mitaani, Meridianbet wameleta fursa ya kipekee kwa wachezaji wote. Samsung Galaxy A26 mpya iko kwenye mzunguko wa...

SIMBA, YANGA ZATUPIWA DONGO SAKATA LA CHOBWEDO

0
UONGOZI wa TRA United umeibuka na kuweka mambo hadharani kufuatia taarifa zilizoenea zikimhusisha nyota wao, Ramadhan Salum maarufu kama ‘Chobwedo’, na tetesi za kusaini...

KIBABAGE KUREJEA KWA KISHINDO, SIMBA YAJIANDAA MUUNGANO

0
MENEJA wa Simba, Patrick Rweyemamu, amefunguka kuhusu hali ya beki Nickson Kibabage, akieleza kuwa mchezaji huyo anaendelea vizuri kiafya na anatarajiwa kuwa sehemu ya...

DIARRA AIKIMBIZA SIMBA, KASSALI AACHWA MBALI VITA YA MAKIPA

0
KIPA wa Yanga, Djigui Diarra, ameendelea kuonyesha ubora wa hali ya juu msimu huu, akimwacha nyuma mlinda mlango wa Simba, Mahamadou Kassali, katika vita...

SIMBA SC WAJIPANGA KIUME KABLA YA DERBY, WAWEKA MIPANGO MIZITO ZANZIBAR

0
KIKOSI cha Simba SC kimeweka wazi kuwa kiko tayari kwa mchezo wa Kariakoo Derby wakati wowote, kikisisitiza kuwa maandalizi yao hayayumbi licha ya ratiba...

CRYSTAL PALACE YAWAALIKA WESTHAM MCHEZO EPL

0
Uwanja wa Selhurst Park, London Leo tarehe 20 kuanzia saa 22:00 utakuwa jukwaa la pambano la kusisimua la derby ya London kati ya Crystal...