LATEST ARTICLES
AL AHLY WATAMBULISHA KIKOSI DHIDI YA YANGA
KLABU ya Al Ahly ya Misri imetangaza rasmi kikosi chake kitakachocheza dhidi ya Yanga ya Tanzania katika mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika, hatua...
DILUNGA AUNGANA NA MZAMIRU TRA
KIUNGO wa zamani wa Simba na JKT Tanzania, Hassan Dilunga amekamilisha dili la kujiunga na TRA United akiungana na Mzamiru Yassin waliyecheza pamoja wakiwa...
SIMBA KUSHUSHA KIUNGO KUTOKA LIGI YA CAMEROON
SOKA LA BONGO Imepata taarifa za ndani kutoka Simba kwamba klabu hiyo imemalizana na kiungo mshambuliaji, Iñno Jospin Loemba kutoka Colombe Sportive du Dja...
SIMBA YAMALIZANA NA MASHINE MBILI
UONGOZI wa Klabu ya Simba unaelezwa kuwa upo hatua za mwisho kukamilisha usajili wa wachezaji wawili wapya, kiungo mshambuliaji Iñno Jospin Loemba pamoja na...
NANI KUKUPATIA PESA KWENYE EUROPE LEAGUE?
Pesa iko nje nje leo hii kwenye mechi za Europa ndani ya Meridianbet kwani kila kitu unachotaka kipo hapa kuanzia Odds kubwa, machaguo zaidi...
TVBET KUBADILI DAKIKA NAFASI NDANI YA MERIDIANBET
Kwa muda mrefu, michezo ya kasino mtandaoni imekuwa ikichezwa kwa ratiba ngumu zinazowapa shida wale wanaotamani kucheza. Meridianbet imechagua kuvunja mtazamo huo kwa kuileta TVBET,...
HALI YA HEWA SIO KIKWAZO KWA WACHEZAJI, ETUTU
DAKTARI wa klabu ya Yanga, Moses Etutu, ameweka wazi kuwa benchi la afya la timu hiyo linaendelea kufanya kazi kubwa kuhakikisha wachezaji wanazoea na...
BARKER ANA SIRI ZA ESPERANCE
BENCHI la ufundi la Simba linaloongozwa na Kocha Mkuu, Steve Barker, limeanza kwa umakini mkubwa maandalizi ya kiufundi kuelekea mchezo muhimu dhidi ya Esperance...
SIMBA ITAAMKA NA KUSONGA MBELE, CHAMA
LICHA ya Simba SC kutokuwa na mwanzo mzuri wa msimu, kiungo mshambuliaji wa klabu hiyo, Clatous Chama, amesema bado hakuna sababu ya kukata tamaa...
STRAIKA PRISONS ATUA COASTAL
ALIYEKUWA mshambuliaji wa maafande wa Tanzania Prisons, Abdulkarim Segeja, amekamilisha usajili wa kujiunga na Coastal Union kwa mkataba wa miezi sita utakaomweka ndani ya...

















