Trending Stories
View All
Meridian Icy Fruits na Sanaa ya Michezo ya Sloti za Kidijitali
Meridian Icy Fruits ni mfano wa maendeleo ya michezo ya sloti ya mtandaoni inayochanganya sanaa ya muundo wa picha na teknolojia…
Vipers SC Kutwaa Ubingwa CECAFA Kagame Cup: Kocha Lavagne Atoa Onyo!
KIGALI, RWANDA — Kocha Mkuu wa Vipers SC ya Uganda, Denis Jean Lavagne, ametuma salamu za tahadhari kwa wapinzani wao…
Vita ya Kileleni Kundi A! Morocco na Algeria Kukipiga, Kenya na Senegal Kusaka Pointi za Kwanza
Baada ya kumalizika kwa mzunguko wa kwanza wa hatua ya makundi katika Mashindano ya Kombe la Mataifa ya Afrika kwa…
Simba Day 2026: FC Lupopo Kutua Bongo Kuikabili Simba SC Agosti 8
Klabu ya FC St Eloi Lupopo kutoka nchini DR Congo inatarajiwa kutua nchini Tanzania muda wowote kuanzia sasa kwa ajili…
Siku Zayoyoma Kuelekea UFC Fight Night Belgrade
Saa zinaendelea kuyoyoma huku mashabiki wa UFC duniani wakianza kuhesabu muda uliobaki kabla ya usiku mkubwa wa UFC Fight Night…
Tegisi Aanza Na Moto CECAFA Kagame Cup: Apigiwa Chapuo Kiatu Cha Ufungaji!
MSHAMBULIAJI mpya wa Singida Black Stars, Mathew Tegisi, ameanza kuwa gumzo katika Kombe la CECAFA Kagame baada ya kuonyesha makali…
Chasambi Afichua Sababu za Kutua Singida BS, Aingia Vita ya CECAFA Kagame
Kiungo mpya wa Singida Black Stars, Ladack Chasambi, amefunguka kuhusu sababu zilizomfanya achague kujiunga na miamba hiyo ya Singida, akitaja…
Mashujaa FC Yaingia Mkataba na Abdulmajid Mangalo Kutoka Pamba Jiji!
KIKOSI cha Mashujaa FC kipo katika hatua za mwisho kukamilisha usajili wa beki wa kati, Abdulmajid Mangalo, kutoka Pamba Jiji…
Kurejea kwa Neo Maema Simba Kwawapa Presha Wawili Hawa Msimbazi!
KUREJEA kwa kiungo mshambuliaji raia wa Afrika Kusini, Neo Maema, ndani ya kikosi cha Simba SC kunatarajiwa kuleta mabadiliko makubwa…
Sare za Simba CECAFA: Patrick Rweyemamu Afunguka Maandalizi ya Msimu Mpya
Uongozi wa klabu ya Simba SC umewataka mashabiki wa timu hiyo kutokuwa na wasiwasi wowote kufuatia matokeo ya sare mbili…
Meridianbet Yatoa Mwangaza Kwa Kaya Mbalimbali Buguruni
Meridianbet imeweka alama kubwa ndani ya mtaa wa Mivinjeni, kata ya Buguruni kwa kuendesha kampeni maalum ya kusaidia familia zenye uhitaji. Tukio…
Tengeneza Pesa na Mechi za Leo
Timu kibao leo hii zitakuwa uwanjani kusaka tiketi ya kushiriki michuano ya Ligi ya mabingwa msimu ujao. Wakali wa ubashiri…
Azam FC Yafunguka Mkataba wa Fei Toto: “Tupo Tayari Kufanya Biashara”
Uongozi wa klabu ya Azam FC umevunja ukimya na kuweka wazi msimamo wake kuhusu hatma ya kiungo mchezeshaji, Feisal Salum…
Usajili wa Simba SC Bado Haujafungwa: Ahmed Ally Afunguka
DAR ES SALAAM: MENEJA wa Idara ya Habari na Mawasiliano wa Simba SC, Ahmed Ally, ameweka wazi kuwa klabu hiyo…
Pamba Jiji Yamnyanya Beki wa JKT Tanzania, Abdulrahim Bausi Msimu Mpya
Klabu ya Pamba Jiji imeendelea kuimarisha kikosi chake kwa ajili ya msimu ujao wa ligi ili kurejesha ushindani wa hali…
Barbra Banda Aweka Rekodi Mpya WAFCON 2026: Afunga Mabao 4 Zambia Ikiiadhibu Misri 6-0
Nahodha na nyota wa timu ya taifa ya wanawake ya Zambia, Barbra Banda, anaendelea kuonyesha ukubwa wake katika soka la…