Trending Stories
View All
Waziri Junior Afunguka Kutua Mombasa United, Awaahidi Makubwa Wakenya
Mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania, Waziri Junior, aliyetua hivi karibuni katika klabu ya Mombasa United inayoshiriki ligi nchini Kenya, amewataka…
Singida Black Stars vs Simba SC: Rekodi, Vifaa na Baiskeli ya Sowah Kuibeba Simba?
Baada ya kuanza msimu kwa kishindo katika Ligi Kuu Tanzania Bara, miamba ya soka Simba SC kesho itakuwa na kibarua…
CECAFA Wanawake 2026: Yei Joint Stars, Mafunzo SC na Rayon Sports Kukiwasha Kigali
Kipenga cha kuanza kwa Mashindano ya Ukanda wa Afrika Mashariki na Kati (CECAFA) kufuzu Ligi ya Mabingwa Afrika kwa Wanawake…
“Mtalia Sana!” – Manqoba Atuma Onyo Kali Yanga Ikiichapa Coastal Union 4-1
Kocha Mkuu wa Yanga, Manqoba Mngqithi, ametoa onyo kali kwa watu wanaotafuta madhaifu ya timu hiyo, akisisitiza kuwa wataishia kuvuna…
Manqoba Mngqithi Aweka Wazi Mipango Yake Yanga Baada ya Kuisambaratisha Coastal Union 4-1
Kocha Mkuu wa Yanga SC, Manqoba Mngqithi, amesema kikosi chake bado kiko kwenye mchakato wa kujengwa na kuimarika zaidi, licha…
Yanga SC Yoikandamiza Coastal Union 4-1 na Kurejea Kileleni Ligi Kuu Bara
Mabingwa watetezi wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara, Yanga SC, wameendeleza kasi yao ya ushindi baada ya kuipa kipigo…
Polisi Tanzania Yaichapa JKT Tanzania 2-0, Yayeyusha Gundu la Siku 1193 Ligi Kuu
Baada ya kusubiri kwa siku 1,193—sawa na miaka mitatu, miezi mitatu na siku tano—hatimaye Polisi Tanzania imejipatia ushindi wake wa…
Girumugisha Afunguka Kurejea Yanga Baada ya Usajili wa Bilioni 14.6 Libya
Winga hatari raia wa Burundi, Jean Claude Girumugisha, ameacha milango wazi ya kujiunga na Mabingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara,…
Yanga vs Coastal Union: Mtihani Mwingine wa Mapema KMC Complex
Mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Yanga SC, leo wanashuka kwenye Uwanja wa KMC Complex, Mwenge jijini Dar es…
Ibrahim Jabaar Aomba Radhi Simba SC Baada ya Kadi Nyekundu Dhidi ya Pamba Jiji
KIUNGO machachari wa Simba SC, Ibrahim Jabaar, ameonyesha kiwango cha juu cha ukomavu na profeshenali baada ya kukubali kuwajibika kikamilifu…
Wheelchairs Zatua Kigogo Kwa Nguvu Ya Meridianbet
Mambo yamekuwa motomoto Hospitali ya Kigogo baada ya Meridianbet kufikisha msaada wa viti vya magurudumu kwa ajili ya kusaidia wagonjwa wenye…
Amua Ushindi Wako kwa Dau Lako
Je unajua kuwa unaweza ukapiga pesa na Meridianbet leo?. Timu kibao zenye Odds kubwa zipo kwaajili yako, ingia na usuke…
Ederson Afunguka Uhamisho Wake Kwenda Man United Ulivyovunjika
MANCHESTER, Uingereza – Kiungo machachari wa Atalanta, Ederson, amefichua kuwa mpaka sasa hajui sababu halisi iliyofanya uhamisho wake wa kujiunga…
Lionel Messi Afikisha Mabao 922: Aweka Rekodi Mpya Huku Akimkumbuka Baba Yake
MIAMI, MAREKANI – Mshambuliaji mahiri Lionel Messi amezidi kuandika historia kwenye ulimwengu wa soka baada ya kufikisha rasmi mabao 922…
Mfumo wa RB Leipzig: Jinsi Klabu Hii Inavyovuna Mamilioni ya Euro Sokoni
MUNICH, UJERUMANI: RB Leipzig ilianzishwa mwaka 2009—wakati huo, mmoja wa wachezaji wake wa hivi karibuni kuuzwa kwa mamilioni ya fedha,…
Yanga vs Coastal Union: Rekodi ya Miaka 12 Kuvunjwa KMC Complex Leo?
COASTAL Union leo inaingia kwenye Uwanja wa KMC Complex uliopo Dar es Salaam ikiwa na kibarua kizito cha kuvunja mwiko…