LATEST ARTICLES

KINDEGE CHA AVIATOR KINAENDELEA KUKUBEBA HADI USHINDI

0
Maisha yanataka ujanja na maamuzi ya haraka. Ukiwa nyuma kidogo tu, unapitwa. Lakini Meridianbet wamekuletea fursa kupitia Aviator, nafasi yako ya kurudi juu na...

MBEYA CITY YATUA KWA MAKOCHA WATATU KUMPATA MRITHI WA MAXIME

0
WAKATI Mbeya City ikirejea jijini Mbeya kichovu baada ya kukutana na kipigo kizito dhidi ya Yanga, vikao vimeanza kwa mabosi wa timu hiyo kujadili...

KOCHA COASTAL HESABU KUBWA ZIPO LIGI KUU MENGINE BONASI

0
BAADA ya kuwasha moto katika mechi mbili mfululizo, Kocha Mkuu wa Coastal Union, Fikiri Elias amesema licha ya kutinga robo fainali ya Kombe la...

BEKI MTIBWA SUGAR AKATAA UNYONGE

0
MECHI sita mfululizo ilizocheza Mtibwa Sugar bila kuonja ushindi, imewaamsha nyota wa timu hiyo na kutangaza mkakati mpya wa kumaliza michezo 12 ya Ligi...

POINTI 3 KUBAKI WAPI JUMAMOSI?

0
Chelsea vs Man United ndio mechi kubwa itakayopigwa siku Jumamosi hii katika dimba la Stamford Bridge huku nafasi ya kuondoka na ushindi akipewa The...

VITA YA RUANGWA, SIMBAYAJIPANGA KISAYANSI KUSAKA POINTI TATU

0
KOCHA wa Simba SC, Steve Barker, ameweka wazi msimamo wake kuelekea mchezo ujao wa Ligi Kuu Tanzania Bara, akisisitiza kuwa hataki kuona makosa madogo...

OKELLO AFUNIKA, WOTE WAPINZANI WAPUMULIA SHINGONI

0
KIUNGO mshambuliaji wa Young Africans SC, Allan Okello, ameendelea kuonyesha ubora wake katika msimu huu wa NBC Premier League kwa kuongoza orodha ya wachezaji...

MERIDIANBET YASIMAMA NA WAJANE IKIWAPA MATUMAINI MAPYA

0
Katika juhudi zake za kuleta mabadiliko chanya, Meridianbet imefanya ziara maalum ndani ya Kijitonyama Kisiwani kwa lengo la kusaidia wajane na familia zenye changamoto za...

NYOTA WA SIMBA KUREJEA WYDAD, WAYDAD YAFUNGA MILANGO

0
MSHAMBULIAJI  Selemani Mwalimu, anatarajiwa kurejea katika kikosi cha Wydad Athletic Club mwishoni mwa msimu huu baada ya kukamilisha muda wake wa mkopo ndani ya...

FABREGAS AIGEUZA COMO KUWA MASHINE YA USHINDI

0
Je unajua kuwa Cecs Fabregas amekuwa ni nguzo ya mafanikio kwa klabu ya Como 1907 na amekuwa na msaada mkubwa kwa kuwafanya baadhi ya...