LATEST ARTICLES
SIMBA YATINGA MUUNGANO KIVITA, BARKER ATOA SILAHA ZOTE
KOCHA Mkuu wa Simba, Steve Barker, amesema kikosi chake kipo tayari kwa changamoto ya mashindano ya Kombe la Muungano, akisisitiza kuwa maandalizi yao yamekamilika...
IBENGE AKIRI PRESHA YA SIMBA, YANGA, AAHIDI MAPINDUZI
KOCHA Mkuu wa Azam FC, Florent Ibenge amesema hatakubali tena timu yake kuwa daraja la mafanikio kwa Simba na Yanga katika michuano ya Kombe...
SIMBA KWENYE HATARI, PEDRO AANZA KUUNDA KIKOSI KIPYA
KOCHA Mkuu wa Yanga, Pedro Goncalves ameanza rasmi kukisuka kikosi chake kuelekea mchezo mkubwa wa Kariakoo Derby dhidi ya Simba, akilenga zaidi kuimarisha safu...
BADO TANO, VITA YA KUSHUKA EPL ILIVYOANZA KUKOLEA
LONDON, ENGLAND: KUANZIA maumivu ya Jumamosi iliyopita hadi ahueni fulani wiki hii! Huu umekuwa ni msimu mgumu kwa mashabiki wa Tottenham Hotspur, lakini baada...
MFUPA ULIOMSHINDA MACKY APEWA MAYANGA
UONGOZI wa Mbeya City umekata mzizi wa fitina kwa kumtangaza rasmi aliyekuwa kocha wa Mashujaa FC, Salum Mayanga, kuchukua nafasi ya Mecky Maxime, huku...
MPANGO MKUBWA YANGA WAANZA KUFICHUKA, USAJILI WENYE KISHINDO WAPANGWA MAPEMA
UONGOZI wa klabu ya Yanga inayosimamiwa na Rais Hersi Said wameingia sokoni mapema kuelekea msimu wa 2026/27, ikiwa na lengo la kuimarisha kikosi chake...
SIMBA WAITAKA YANGA ZANZIBAR NA BARA
UONGOZI a klabu ya Simba umeweka wazi dhamira yao kubwa kuelekea michuano ya Kombe la Muungano, Visiwani Zanzibar, wakisisitiza lengo lao si kutwaa ubingwa...
HATARI KUBWA YANGA, UTI WA MGONGO WATIKISWA
UONGOZI wa klabu ya Yanga unakabiliwa na wakati mgumu katika juhudi za kuwashawishi baadhi ya nyota wake kusalia ndani ya kikosi hicho kuelekea msimu...

















