Trending Stories
View All
SIMBA SC WAMVIZIA KIUNGO NYOTA WA STELLENBOSCH FC
Klabu ya Simba SC inatajwa kuwa imeweka mpango maalum wa kuimarisha kikosi chake katika dirisha lijalo la usajili, ambapo sasa…
LOEMBA ATAKA MATAJI SIMBA
KIUNGO wa Simba, Inno Loemba, amesema ameanza vizuri maisha yake ndani ya kikosi hicho tangu alipojiunga akitokea Colombe ya Cameroon,…
MSUVA AZUNGUMZA ISHU YA KUSTAAFU SOKA
WAKATI wengi wakianza kuhesabu siku za mwisho za mastaa waliovuka miaka 30, mshambuliaji wa Kimataifa wa Tanzania, Simon Msuva, ameeleza…
SIMBA YAPAMBANA HADI MWISHO, YALENGA KULA SAHANI MOJA NA YANGA
MENEJA wa Habari na Mawasiliano wa Simba SC, Ahmed Ally, amesema klabu hiyo bado ina imani kubwa ya kutimiza malengo…
OFA NONO YAMVUTIA DUBE, YANGA KATIKA WAKATI MGUMU
KLABU ya Al Ahly Benghazi ya Libya imeanza mazungumzo ya kutaka kumsajili mshambuliaji wa Yanga, Prince Dube, ambaye kwa sasa…
MUTALE AONDOKA SIMBA SC BAADA YA MKATABA KUVUNJWA
NYOTA wa kimataifa raia wa Zimbabwe, Joshua Mutale ameacha rasmi klabu ya Simba SC baada ya pande zote mbili kufikia…
MWEZI WA ZAWADI KUBWA NDANI YA MERIDIANBET
Mwezi huu Meridianbet imeamua kuwazawadia mashabiki wa kasino kupitia SmartSoft Spin & Win Instant Prizes Tournament yenye zawadi za fedha za papo…
PENALTI YA MOKOENA YAIPATIA AFRIKA KUSINI POINTI MUHIMU KOMBE LA DUNIA
Afrika Kusini ‘Bafana Bafana’ imepata pointi ya kwanza katika fainali za Kombe la Dunia 2026 baada ya kulazimisha sare ya…
MADAI YA KUBETI YAMPONZA ELYE WAHI KOMBE LA DUNIA
TORONTO, CANADA: MSHAMBULIAJI wa Ivory Coast, Elye Wahi mwenye umri wa miaka 23 amezuiwa kuingia Canada hivyo ataukosa mchezo wa Kombe…
DAKIKA MBILI ZA MAAJABU YANGA YREJEA KILELENI
DAKIKA mbili za maajabu zimetosha kuirudisha tena Yanga kileleni kibabe baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 2-0, dhidi ya…
SWITZERLAND USO KWA USO NA BOSNIA AND HERZEGOVINA
Mchezo wa michuano yenye hadhi ya kubwa ya kidunia 2026 kati ya Switzerland na Bosnia and Herzegovina unaotarajiwa kupigwa leo…
SIMBA YAPIGWA FAINI YA SH10 MILIONI WAMUZI WAFUNGIWA
KAMATI ya uendeshaji na usimamizi wa Ligi ya Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) imechukua hatua mbalimbali za kinidhamu dhidi…
KILICHOZIPUNGUZA MAKALI JKT, ABCC, SRELIO BDL
LIGI ya Kikapu Dar es Salaam (BDL) inazidi kushika kasi huku timu kongwe zikijikuta zikisuasua zikiwamo JKT, ABC na Srelio.…
CLARA LUVANGA AREJEA TWIGA, MASAKA NJE TENA
KOCHA wa kikosi cha Timu ya Taifa ya Wanawake ‘Twiga Stars’, Bakari Shime ameita majina 34 ya wachezaji watakaoingia kambini…
HATUTADHARAU MTU, AHMED AWEKA WAZI MPANGO WA SIMBA
MENEJA wa Habari na Mawasiliano wa Simba SC, Ahmed Ally, amesema kikosi hicho kinaendelea kuamini kuwa kina uwezo wa kutwaa…
SIKU NGUMU KWA CHRISTIAN RONALDO, HAITOSAHAULIKA
Jana katika Houston Stadium, uwanja ulijaa kelele za “Siuu! Siuu!” kila Ronaldo alipogusa mpira. Lakini baada ya dakika 20 za…