Trending Stories
View All
France, Morocco Wakutana Tena Baada ya Qatar 2022
Saa za kusisimua zinakaribia. Alhamisi hii, tarehe 9 Julai 2026, medani ya Gillette Stadium jijini Foxborough itageuka jukwaa la mojawapo…
England Yahaha Kumzuia Erling Haaland
MIAMI, MAREKANI: BEKI wa England, Marc Guehi amesema anafurahia changamoto ya kumkabili mshambuliaji hatari wa Norway, Erling Haaland, lakini rekodi…
Panga La Yanga Laanza Kutema Wachezaji, Wanne Waelekea Singida
UONGOZI wa Yanga umeanza kufanya maboresho ya kikosi kuelekea msimu wa 2026/27 baada ya kufanya tathmini ya wachezaji na kuamua…
Samatta Bado Anahitajika, Karia Aweka Wazi Hatua Inayofuata
RAIS wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Wallace Karia, amesema watazungumza na mshambuliaji Mbwana Samatta kuhusu uamuzi wake…
Yanga Waanze Kujipanga, Beki Simba Aeleza Nguvu Mpya Msimu Ujao
BEKI wa Simba SC, Rushein De Reuk, ametuma ujumbe mzito kwa wapinzani wao kuelekea msimu wa 2026/27 akisema mafanikio ya…
Hatma Ya Maema Yawagawa Barker Na Viongozi Simba
WAKATI hatma ya kiungo Neo Maema ndani ya Simba ikiendelea kuwa gumzo, kocha mkuu Steve Barker ameibua mjadala mpya baada…
Superkompyuta Yatabiri England Kutolewa Na Argentina Messi Kubeba Tena Kombe La Dunia
LONDON, ENGLAND: Superkompyuta iliyotengenezwa na kampuni ya ubashiri ya British Gambler imetabiri kuwa ndoto za England kutwaa Kombe la Dunia…
Mbeya City Uhakika Ligi Kuu, Prisons Acha Tusubiri Dakika 180 Nyingine
Matokeo ya 0-0 yameihakikishia Mbeya City kubaki Ligi Kuu ya NBC kwa msimu ujao wa 2026-2027 kufuatia awali kushinda mabao…
Ligi Kuu Bara Kuanza Agosti 14
WAKATI ikisubiriwa ratiba ya Ligi Kuu ya NBC kwa msimu ujao 2026-2027 itangazwe ili kila timu ifahamu inaanzia wapi, taarifa…
Big Win Battle Kuikutanisha Burudani, Ushindani na Fedha
Kuna nyakati ambapo burudani inabadilika na kuwa zaidi ya mchezo. Hiyo ndiyo hali inayoshuhudiwa sasa kupitia Big Win Battle ya Meridianbet,…
Kisa Singida BS, Azam Yahaha Kwa Kitambala
AZAM inahaha kumrudisha kundini mshambuliaji wake, Jephte Kitambala ambaye amebakiza hatua chache kumalizana na Singida Black Stars iliyomchukua kwa jeuri…
Khalid Aucho Apata Dili Kenya
KIUNGO wa zwa Singida Black Stars, Khalid Aucho, baada ya kumaliza mkataba wake, imeelezwa amepata ofa kutoka timu mbili za…
Yao Aweka Masharti Kabla Ya Kuamua Hatma Yake
BEKI wa kimataifa wa Yanga, Yao Kouassi, huenda akawa mmoja wa wachezaji watakaotikisa dirisha hili la usajili baada ya kumalizika…
Tumia Bet Builder Upate Odds Kubwa na Meridianbet Leo
Je umepata taarifa kuhusu BET BUILDER?, Hii ni moja ya chaguo ambalo kwasasa litamba kwenye soko la ubashiri kwani ukitengeneza…
Arbeloa Aula Fulham
LONDON, England: KLABU ya Fulham imemtangaza rasmi Alvaro Arbeloa kuwa kocha wake mpya kwa mkataba wa miaka mitatu, akichukua nafasi…
Camavinga Kutimkia Man City
MADRID, Hispania: KIUNGO Eduardo Camavinga ni mmoja wa wachezaji wanaotajwa wanaweza kuondoka Real Madrid CF katika dirisha hili la usajili akitajwa…