Trending Stories
View All
Uswizi Yatinga Robo Fainali Kwa Matuta, Kobel Ageuka Shujaa
VANCOUVER, CANADA: Kipa Gregor Kobel ameibuka shujaa wa Uswisi baada ya kuiongoza timu hiyo kutinga robo fainali ya Kombe la Dunia…
Barabara Za AFCON Mbioni Kukamilika
BARABARA zinazoelekea katika Mji wa AFCON uliopo Fumba, zinatarajiwa kukamilika Desemba mwaka huu kwani mradi huo unategemewa kufungua fursa za…
KVZ Yajinoa Kagame Cup 2026
MABIGWA wa Ligi Kuu Zanzibar (ZPL) msimu wa 2025-2026, KVZ, imeanza mazoezi rasmi ya kujinoa kwa ajili ya michuano ya…
Sarakasi TOC Bado Zamoto, Thadeo Avunja Ukimya, Mtaka Asubiri Ripoti
WAKATI Leonard Thadeo akivunja ukimya baada ya kutangazwa kuwa rais wa Kamati ya Olimpiki Tanzania (TOC), Anthony Mtaka amesema anasubiri…
Yanga Yazidi Kukumbwa Na Vikwazo Katika Usajili Wa Kombo
UONGOZI wa timu TRA United umeingia kwenye kinyang’anyiro cha kuwania saini ya nahodha wao, Nasri Kombo, baada ya kuonyesha nia…
Fadlu Aikataa Yanga, Maongezi Yagonga Mwamba
ALIYEKUWA Kocha Mkuu wa Simba SC, Davis Fadlu, ameshindwa kujiunga na Yanga SC baada ya mazungumzo baina ya pande hizo…
Singinda Black Stars Yafanya Usafi, Aucho Yamkuta
UONGOZI wa Singida Black Stars unaendelea na mipango ya kukifanyia maboresho makubwa kikosi hicho kuelekea msimu mpya wa mashindano, huku…
Simba, Yanga Wapewe Tahadhari! Azam Yatenga Bilioni 8
KATIKA kuhakikisha wanaingia kwa nguvu msimu wa 2026/27, uongozi wa Azam FC umetenga bajeti ya takribani Sh bilioni 8 kwa…
Switzerland dhidi ya Colombia Nani kwenda Robo Fainali
Katika mechi nne zilizopita kati ya timu hizi, Colombia inaongoza kwa ushindi wa mbili, huku Switzerland ikiwa na ushindi mmoja…
Nkeng Awekwa Katika Mpango Wa Simba Kagame, Barker Atamani Huduma Yake
WAKATI mazungumzo kati ya Simba SC na mshambuliaji wa Stade Malien ya Mali, Taddeus Nkeng, yakiendelea kushika kasi, nyota huyo…
Hazisubiri, Diamond Jackpot Inabadilisha Kila Dakika Kuwa Fursa
Katika ulimwengu wa leo ambapo vijana wanatafuta njia za haraka za kubadilisha maisha yao, burudani imechukua sura mpya kabisa. Meridianbet…
Trump Apongeza FIFA Kwa Kupindua Adhabu Ya Balogun
Rais wa Marekani, Donald Trump, ameishukuru FIFA kwa kusimamisha utekelezaji wa adhabu ya kadi nyekundu aliyopewa mshambuliaji wa Marekani, Folarin…
Haaland Alivyoikatili Brazil Kombe La Dunia
Brazil imeaga fainali za Kombe la Dunia 2026 baada ya kufungwa mabao 2-1 na Norway katika mchezo wa hatua ya…
Winga Mganda Anukia Azam
UONGOZI wa Azam FC, uko katika hatua za mwisho za kukamilisha usajili wa winga raia wa Uganda, Hassan Mubiru kutokea…
Dodoma Jiji Yajipanga Upya Kwa Josiah
UONGOZI wa Dodoma Jiji unatarajia kuanza mazungumzo mapya hivi karibuni na kocha mkuu wa kikosi hicho, Amani Josiah kwa ajili…
Mubesh Ataja Siri Ya Ubingwa Ureno
BAADA ya kubeba ubingwa wa Iber Cup nchini Ureno, Kocha wa TDS Akademi, Adam Mubesh amesema ushindani walioupata kwenye mashindano…