LATEST ARTICLES

Habari za Yanga

KUHUSU TUHUMA ZA KUUZA MECHI YANGA…FEI TOTO AIBUKA NA HILI JIPYA…AKUMBUSHIA YA MAMA YAKE..

0
Kiungo wa Yanga SC, Feisal Salum (Fei Toto) amesema alifikia uamuzi wa kuvunja mkataba na klabu hiyo kutokana na manyanyaso aliyokuwa akiyapata kutoka kwa...
Meridianbet

SASA IMEKUWA RAISI ZAIDI…SHINDA MPAKA MIL 5 PAPO HAPO KUPITIA CASINO YA MERIDIANBET..

0
Mchezo wa Poker Hold’em Meridianbet kasino ya mtandaoni wameanzisha promosheni kwa msimu huu wa Kiangazi baada ya ligi nyingi kumalizika, ili kuendelea kuwapa hela...
Tetesi za Usajili Bongo

MABOSI AZAM HAWATAKI MCHEZO ASIEE…MPANGO WAO WA KUSHUSHA VITASA VYA AL HILAL HUU...

0
Mabosi wa Azam FC wamebadili gia angani na kutuma ofa katika klabu ya Al Hilal juu ya kuangalia uwezekano wa kupata huduma ya Lamine...
Tetesi za Usajili simba

SIMBA WAZIDIWA TENA….WAKOSA KIPA LA KIMATAIFA KIZEEMBEEE KABISA…ISHU IKO HIVI…

0
Ni rahisi kusema Simba wamezidiwa tena ujanja baada ya kipa wanayedaiwa kumtaka Washington Arubi kutoka Marumo Gallants kusaini mkataba wa kuichezea timu nyingine. Arubi alionyesha...
Tetesi za Usajili Yanga

HATIMA YA MAYELE NA YANGA IKO HIVI…ATAKA MSHAHARA WA MILI 53 KWA MWEZI…ADA YA...

0
Siri imefichuka! hivyo ndiyo unavyosema kusema baada ya taarifa kutoka Afrika Kusini kueleza kiwango cha mshahara ambacho mshambuliaji wa Yanga, Fiston Mayele anataka apewe...
Kocha Mkuu wa Simba SC, Mbrazili Robertinho

ROBERTINHO:- SIMBA INAJULIKANA MPAKA BRAZILI…WATU WAIZUNGUMZIA SANA KULE…

0
Robert Oliveira, Kocha Mkuu wa Simba amesema kuwa anahitaji maboresho zaidi kwenye kikosi hicho ili kuongeza ushindani ndani ya timu hiyo. Raia huyo wa Brazil...
Habari za Simba

BAADA YA MAMBO KUWA SI MAMBO ….KANOUTE NAYE ASEPA SIMBA…ATAKA MAMILIONI KURUDI TZ….

1
Simba ina kazi kubwa mbele yake, wakati inapambana kusajili mastaa wapya wa kuongeza nguvu kikosini, ina mtihani wa kumbakiza kiungo wao mkabaji Sadio Kanoute...
Habari za Yanga

FEI TOTO:- GSM ANAINGIZA PESA KWA KIPAJI CHANGU…ANADHARAU SANA YULE…

0
Kiungo mshambuliaji wa Yanga, Feisal Salum 'Fei Toto' amesema kuwa mdhamini wa klabu hiyo, Ghalib Said Mohammed (GSM) amekuwa akimdharau ikiwa ni pamoja na...
Habari za Yanga

WAKATI WAARABU WAKITAJWA KUMTAKA MAYELE….BOSI YANGA AONYESHA JEURI YA PESA…

0
Makamu wa Rais wa klabu ya Young Africans Arafat Haji, amewaondoa wasiwasi Mashabiki na Wanachama wa Klabu hiyo kuhusu mustakabali wa Mshambuliaji kutoka DR...
Habari za Simba SC

KUHUSU USAJILI MPYA MSIMBAZI…MBRAZILI AWACHIMBA BITI MABOSI ZAKE…ATAKA MASTAA WAWILI WAWILI…

0
Kocha Mkuu Simba SC, Roberto Oliviera ‘Robertinho’ ameweka wazi msimamo wake kwa kuwaambia mabosi wa timu hiyo kuwa katika mapendekezo yake ya usajili anahitaji...