Trending Stories
View All
Manqoba Atoa Maagizo Mazito Yanga Dhidi ya Gaborone United
Kocha Mkuu wa Yanga SC, Manqoba Mngqithi, amewataka washambuliaji na mabeki wake kuingia uwanjani wakiwa na umakini wa kiwango cha…
Magori Onyo Zito Simba vs Mighty Wanderers: “Msijisahau Ligi ya Mabingwa!”
Mwenyekiti wa Simba SC 🇹🇿, Crestuince Magori, amesisitiza kuwa kikosi chao hakipaswi kuwabeza Mighty Wanderers 🇲🇼 ya Malawi kuelekea mchezo…
Steve Barker Athibitisha Libasse Gueye Kuiva Simba SC vs Mighty Wanderers
Kocha Mkuu wa Simba SC, Steve Barker, ametoa ishara ya kumtumia mshambuliaji mpya, Libasse Gueye, katika mchezo wa marudiano wa…
Barker Aonya Simba SC: “Bado Hatujamaliza Kazi!” Yaahidi Vita Dar
Klabu ya Simba SC imerejea nchini ikitokea Malawi huku ikiwa na tabasamu la ushindi, lakini Kocha Mkuu Steve Barker amegoma…
Irene Uwoya Afunguka Kutokea Bodi ya Filamu: “Tunaitambua A-List Yetu Tu”
Kufuatia kuongezeka kwa vipindi vya mtandaoni vinavyoiga mfumo wa kipindi maarufu cha A-List, mwigizaji nguli nchini, Irene Uwoya, amevunja ukimya…
Simba SC vs Mighty Wanderers: Mnyama Kumaliza Kazi Dar es Salaam, Kutinga Hatua Inayofuata CAFCL!
Wekundu wa Msimbazi, Simba SC, wanatarajiwa kushuka katika dimba la Uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam kukipiga dhidi ya…
Barker Afichua Siri ya Ushindi wa Simba Malawi, Atoa Tamko Zito Marudiano Dar
KOCHA Mkuu wa Simba SC, Steve Barker, amewasifu wachezaji wake kwa kuonyesha uimara na uvumilivu mkubwa uliowawezesha kuondoka na ushindi…
Mighty Wanderers vs Simba SC: Kocha Mabedi Kurudisha Mapigo Dar
KOCHA Mkuu wa Mighty Wanderers ya Malawi, Patrick Mabedi, amesisitiza kuwa kikosi chake bado kina nafasi kubwa ya kugeuza matokeo…
Mngqithi Afichua Siri ya Yanga Kutoa Sare Botswana, Aahidi Usikubali Mchezo wa Marudiano
Mngqithi Afichua Sababu za Yanga Kutoa Sare Botswana, Aweka Wazi Mkakati wa Kusaka Ushindi Dar es Salaam Kocha Mkuu wa…
RUSHEIN AIBUA ‘SILAHA’ NZITO YA SIMBA KUIANGAMIZA MIGHTY WANDERERS BENJAMIN MKAPA
NAHODHA wa Simba SC, Rushein De Reuck, amefichua kuwa ushindi wa ugenini na nidhamu ya kulinda lango (clean sheet) ndiyo…
Dau Lako Sasa Kuzidishwa Hadi Mara 100,000 Kwa Pragmatic Play Drops & Wins 2026
Kama unatafuta sababu mpya ya kuongeza msisimko kwenye michezo ya kasino, Meridianbet imekuja na jibu kupitia Pragmatic Play Drops & Wins…
Udinese dhidi ya Lazio Kukipiga Ligi Kuu ya Serie A
Udinese watawakaribisha Lazio nyumbani kwao katika uwanja wa Bluenergy Stadium, katika mchezo unaotarajiwa kuwa na mvuto mkubwa mwanzoni mwa msimu mpya.…
Kwanini Mashabiki Wanagoma Kusahau Nyimbo za Zamani za Aslay?
Kama kuna jambo ambalo msanii Aslay hawezi kulikwepa pindi anapopanda jukwaani kwa sasa, basi ni kuimba nyimbo zake za zamani.…
Cyprian Kachwele Ajiunga na Kryvbas ya Ukraine Kwa Mkataba wa Miaka 4
MSHAMBULIAJI kijana na nyota wa kimataifa wa Tanzania, Cyprian Kachwele, ametambulishwa rasmi na klabu ya Kryvbas Kryvyi Rih inayoshiriki Ligi…
Q Chief: Hakuna Wa Kumfunika Kuimba Live Tanzania, Hata Diamond au Alikiba
HAKUNA WA KUMFUNIKA! Ndivyo anavyojiamini msanii mkongwe na maarufu wa Bongo Fleva, Abubakary Katwira ‘Q Chief’, anapozungumzia uwezo wake mkubwa…
Azam FC vs Namungo FC Leo: Kipimo cha Ibenge na Mgunda Ligi Kuu
Wakati klabu za Simba SC, Yanga SC, na Singida Black Stars zikipambana kutinga raundi ya pili ya michuano ya kimataifa,…