Trending Stories
View All
Simo Dladla Afichua Eneo Yanga Inalotakiwa Kurekebisha Haraka Baada ya Kuichapa St George
Kocha Msaidizi wa Yanga SC, Simo Dladla, amefichua eneo nyeti ambalo Mabingwa hao watetezi wanapaswa kulifanyia kazi kwa haraka zaidi,…
Kila Mzunguko Wa Fortune Farm Kukupa Hadithi Yake
Wapenzi wa kasino wana sababu mpya ya kuongeza msisimko kwenye burudani yao. Fortune Farm ya Meridianbet imewasili kama shamba la bahati linalochanganya…
Tottenham, Aston Villa, Nani Kubeba Pointi Tatu
Ni siku nyingine tena ya kushuhudia miamba kibao ikishuka dimbani leo kwenye Ligi kuu ya EPL. Je ni Arsenal kujihakikishia…
Mngqithi Aanza Mahesabu Ya Simba: Yanga Kutupa Karata Dhidi Ya St George
Kocha Mkuu wa Yanga, Manqoba Mngqithi, ameanza kunoa silaha zake mapema kuelekea pambano linalosubiriwa kwa hamu kubwa la Kariakoo Derby…
Clara Luvanga: Kuvunja Rekodi ya Dunia ni Mtihani Mkubwa Washington Spirit
Mshambuliaji mpya wa klabu ya Washington Spirit nchini Marekani, Mtanzania Clara Luvanga, ameweka wazi kuwa usajili wake uliovunja rekodi ya…
Kocha Djibouti U20 Alengwa na Vijana Wake CECAFA: “Tumerudi na Uzoefu na Somo”
TIMU ya Taifa ya vijana chini ya miaka 20 ya Djibouti imeaga rasmi mashindano ya CECAFA U-20 baada ya kupoteza…
Safari Mpya Ya Kasino Yaanzishwa Na Chicago Gold 2
Wakati wapenzi wa kasino wakisubiri burudani mpya, Meridianbet imekuja na jibu lenye msisimko na kufurahisha. Chicago Gold 2, toleo jipya kutoka Games…
Ikram Said: Uhamiaji FC Wapo Tayari Kutwaa Ubingwa Zanzibar
Kiungo mkabaji wa Uhamiaji FC, Ikram Said Ally, ameeleza kuwa kujiunga na miamba hiyo ya Zanzibar ni miongoni mwa mafanikio…
Waziri Makonda Asambaratisha Mchakato wa Jezi Mpya Taifa Stars, Auundia Tume Mkataba
Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo imegomea rasmi na kutotambua matangazo ya jezi mpya za Timu za Taifa za…
Monza Kukutana na Sassuolo, Serie A
Tukiwa bado tunaendelea na mitanange ya ligi mbalimbali, leo hii kuna mechi za kukata na shoka. Klabu Monza itakuwa mwenyeji…
Lionel Messi Aweka Rekodi Mpya Inter Miami: Mabao 100 na Mataji Kibao!
LIONEL Messi amebadilisha kabisa historia ya Inter Miami tangu alipojiunga na klabu hiyo mwaka 2023. Wakati Messi anawasili, Gonzalo Higuaín…
Kylian Mbappé Afunguka Uhusiano Wake na Wachezaji wa Real Madrid
Mshambuliaji nyota wa Real Madrid, Kylian Mbappé, ameweka wazi mtazamo wake kuhusu uhusiano kati ya wachezaji wa klabu hiyo nje…
TFF Yaweka Wazi Ratiba ya Taifa Stars, Serengeti Boys na Timu za Taifa 2026
Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limeweka wazi ratiba pamoja na mipango mizito ya timu mbalimbali za taifa zinazokabiliwa na michezo…
Mapacha wa Kariakoo: Vita ya Simba na Yanga Uwanja wa Uhuru
Mapacha wa Kariakoo wanaendelea kutoa burudani ya aina yake mtaani kupitia tabia zao za kuigana, hasa kwenye maamuzi ya viwanja…
Ngorongoro Heroes vs Ethiopia: Ngorongoro Heroes Yaikabili Ethiopia Kusaka Nusu Fainali CECAFA U-20
Timu ya Taifa ya Tanzania ya vijana chini ya miaka 20, Ngorongoro Heroes, kesho Jumamosi inatarajia kushuka katika Uwanja wa…