Trending Stories
View All
Meridianbet Sasa Ndani Ya Octagon Ya UFC
Agosti 1, 2026, Belgrade Arena itakuwa ulingo wa burudani ya ngumi na mateke. Kwa mara ya kwanza, UFC inaleta tukio…
Keletso Makgalwa Asajiliwa Simba SC: Mo Dewji Akamilisha Dili
Klabu ya Simba SC imeendelea kuonyesha umakini mkubwa katika dirisha la usajili baada ya kukamilisha usajili wa winga wa kimataifa…
Ndege ya Ndoto Ya Aviator Yazidi Kukimbiza Kwa Kupendwa
Julai imekuwa mwezi wa furaha kwa mashabiki wa kasino mtandaoni wanaotumia jukwaa la Meridianbet kushiriki michezo yao pendwa. Kuanzia tarehe 01…
Fenerbahce vs Górnik Zabrze: Vita vya Ana kwa Ana Uwanjani
Vita vya kati ya uwanja Mojawapo ya maeneo muhimu zaidi ya kuangalia ni jinsi kiungo cha kati cha Fenerbahce kitakavyoshindana…
Hussein Mihambo Ajiunga na Yanga kwa Sh200M
YANGA YAIMARISHA KIKOSI: Yamsajili Mshambuliaji Chipukizi Hussein Mihambo kwa Mkataba wa Miaka 4 Klabu ya Yanga imeendelea kuonyesha madhamira yake…
MO Dewji Na Magori Wakutana Simba SC: Mipango Ya Usajili 2026/27
DAR ES SALAAM — Rais wa Simba SC, Mohammed Dewji ‘MO’, amefanya kikao kizito cha kimkakati na Mwenyekiti wa Bodi…
KVZ Kagame Cup: Ujumbe Mzito Wa Waziri Pembe Kwa Mabingwa Wa Zanzibar
Waziri wa Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo Zanzibar, Riziki Juma Pembe, amewataka wachezaji wa timu ya KVZ FC kupambana kufa…
Mlandege FC Yafanya Mabadiliko Makubwa: Yatemema Nyota 18 Msimu wa 2026/27
Klabu ya Mlandege inayoshiriki Ligi Kuu Zanzibar (PBZ Premier League) imechukua hatua nzito ya kusuka upya kikosi chake kuelekea msimu…
Gwiji wa Liverpool na Newcastle Kevin Keegan Afariki Dunia Akiwa na Miaka 75
Ulimwengu wa soka umezama kwenye simanzi kufuatia kifo cha mchezaji na kocha wa zamani wa Liverpool, Hamburg, Southampton na Newcastle…
Nathan Chilambo Atua Simba SC Kuimarisha Beki Ya Kulia
SIMBA SC imeendelea kutuma ishara nzito kwa wapinzani wao kuelekea msimu mpya wa 2026/27 baada ya kukamilisha na kumtambulisha rasmi…
Sporting CP, Strasbourg: Mbinu Kuamua Mchezo wa Kirafiki
Kutokana na ratiba ya mechi za hivi karibuni za pande zote mbili, tunaweza kupata dalili nzuri za jinsi makocha Rui…
Ratiba Ya Kariakoo Derby 2026/27: Simba Vs Yanga Kukutana Mara 3
MSIMU wa 2026/27 unatarajiwa kuwa wa ushindani mkubwa na wa vuta-nikuvute kwa mashabiki wa soka nchini Tanzania, baada ya ratiba…
Ratiba NBC 2026/2027: Simba Vs Yanga Kukipiga Oktoba 10 Uwanja Wa Uhuru
Bodi ya Ligi Kuu Tanzania Bara (TPLB) leo Jumatatu, Julai 20, 2026, imetoa rasmi ratiba mpya ya Ligi Kuu ya…
Kelvin Nashon Afunguka Mwanzo Wake Simba SC: “Nimepokelewa Vizuri
Kiungo mpya wa Simba SC, Kelvin Nashon, ameanza maisha yake mapya ndani ya kikosi hicho kwa tabasamu na ari kubwa,…
Simba SC Yaanza Kambi Msimu Mpya: Matola Afunguka Hali Ya Wachezaji Na Usajili Mpya
Kikosi cha Simba SC kimeanza rasmi mazoezi na maandalizi ya msimu mpya wa 2026/27 baada ya wachezaji kurejea kambini kutoka…
Yanga Yamaliza Usajili 2026/27: Yaahidi Utambulisho Wa ‘Ghafla Bin Vuu’
Yanga Yamaliza Usajili Msimu wa 2026/27, Yaahidi Utambulisho wa Kushtukiza ‘Ghafla Bin Vuu’ Uongozi wa Klabu ya Yanga umeweka wazi…