admin
KUHUSU DILI LA BIL 3.5 KWA MZIZE NA AZIZI KI KUTUA...
KLABU ya Wydad Athletic ya nchini Morocco imeendelea kuwasilisha maombi ya kutaka kumnunua mshambuliaji wa Yanga, Clement Mzize, lakini sasa imeongeza ikisema pia inahitaji...
KUHUSU USAJILI DIRISHA DOGO….YANGA WATANGAZA SIKU YA KUANIKA MASTAA WAPYA….
KLABU ya Yanga imesema kuwa itawatangaza wachezaji wake iliyowasajili kipindi hiki cha dirisha dogo, itakaporejea nchini kutoka Mauritania ambako jana usiku waliibuka na ushindi...
KUHUSU KUTOKUWA NA KIKOSI CHA KWANZA RASMI…MASTAA SIMBA WAFICHUA YA FADLU…
HATIMAYE baadhi ya wachezaji wa Simba wametoa siri ya Kocha Mkuu wa timu hiyo, Fadlu Davids, kupenda kuwachezesha wote, badala ya kutegemea kundi la...
BAADA YA KUWA ‘MCHOMAJI’ KWA MECHI ZA HIVI KARIBUNI….CHE MALONE AANGUA...
BEKI wa kati wa Simba, Che Malone leo amewaomba radhi mashabiki wa timu hiyo kutokana kosa alilolifanya jana kwenye mchezo wa Kombe la Shirikisho...
SI AHOUA WALA PACOME…SIMBA ,YANGA HAKUNA WA KUMCHEKA MWENZAKE…UKWELI HUU...
LIGI Kuu Bara imesimama huku ikiwa zimeshachezwa jumla ya mechi 124 zilizokusanya mabao 265 yakiwamo 110 yaliyofungwa na nyota wa kigeni 47 na mengine...
ALIYEFELISHA DILI LA MANZOKI AITIBULIA TENA SIMBA KUIPATA MASHINE HII YA...
KAMA ulidhani ilimpozuia straika Cesar Lobi Manzoki misimu miwili iliyopita ilitokea kwa bahati mbaya, basi umekosea kwani klabu ya Vipers imeendelea kuibania Simba.
Simba ambayo...
KUHUSU KUVUNJIWA MKATABA…BALEKE AISHIKA YANGA KOONI….HUU HAPA MSIMAMO WAKE….
YANGA imekuwa ikitajwa kutaka kumtema mshambiliaji Jean Baleke, lakini inaelezwa hadi sasa mambo bado magumu kutokana na kuwepo kwa vipengele vinavyoufanya mkataba baina yao...
GIANT WILD GOOSE PAGODA NI SLOTI BORA YA KASINO……
Giant Wild Goose Pagoda ni mchezo wa sloti kwenye kasino ya mtandaoni yenye nguzo tano zilizopangwa katika mistari minne na ina njia 50 za...
ONGEZA KIPATO CHAKO NA SLOTI YA MINI POWER ROULETTE NDANI YA...
Chaguo ni lako kukamilisha ndoto zako kwa njia ya rahisi, kazi ya Meridianbet kasino ya mtandaoni ni kukuletea michezo mingi na sloti za kijanja...
SAA KADHAA KABLA YA KUMALIZANA NA AL HILAL….DICK JOB ‘ATOA MAKUCHA’...
KIKOSI cha Yanga tayari kipo Mauritania tayari kwa ajili ya pambano la raundi ya tano la Ligi ya Mabingwa Afrika kwa Kundi A dhidi...