Azam FC

Browse all posts in this category.

Azam FC

KISA YANGA, SIMBA, NADO AITWA AZAM FC

UONGOZI wa Azam FC, umeanza mazungumzo ya kumuongezea mkataba mpya winga wake Idd Seleman ‘Nado’ wakati huu wa sasa kufikia ukomo mwishoni…

Jun 25, 2026
Azam FC

MAO AWEKA MALENGO MAKUBWA AZAM FC

KIUNGO mkabaji wa Azam FC, Himid Mao baada ya kusaini mkataba mpya wa mwaka mmoja, ames-ema matarajio yake msimu ujao ni kuongeza…

Jun 23, 2026
Azam FC

AZAM FC, LUPOPO ZAMSAKA BEKI MKONGO

MABOSI wa Azam FC wamehamishia nguvu zao katika kuimarisha safu ya ulinzi baada ya kuanza mazungumzo ya kumsajili beki wa kati wa…

Jun 8, 2026
Azam FC

MKENYA AINGIA ANGA ZA AZAM FC

UONGOZI wa Azam FC unaendelea na mchakato wa kuboresha kikosi hicho kwa ajili ya msimu ujao, ambapo kwa sasa inafuatilia saini ya…

Jun 7, 2026
Azam FC

FLORENT IBENGE AIGOMEA MALI

DILI la kocha Mkuu wa Azam FC Florent Ibenge kwenda Mali limebuma, huku sababu kubwa ikitajwa ni bosi huyo kugoma kwenda nchini…

Jun 3, 2026
Azam FC

AZAM YAMFUATA STAA SERENGETI BOYS

AZAM FC imeanza mchakato wa kumuwania mshambuliaji wa Serengeti Boys na Kagera Sugar, Luqman Ali, kwa ajili ya msimu ujao. Luqman ameendelea…

Jun 1, 2026