Pool table

MTANZANIA KULAMBA BILIONI 1.7 KISA POOL TABLE TU…ISHU NZIMA IKO HIVI…

0
Mchezaji wa Pool table, Abdallah Hussein anayeiwakilisha Tanzania kwenye Mashindano ya Pool table yanayoendelea nchini China amefuzu kuingia kwenye hatua ya wachezaji 64 bora...
KOCHA TAIFA STARS:- NATEGEMEA UGANDA WATABADILIKA KATIKA MECHI HII...LAZIMA WAFE KIFO CHA MENDE

KOCHA TAIFA STARS:- NATEGEMEA UGANDA WATABADILIKA KATIKA MECHI HII…LAZIMA WAFE KIFO CHA MENDE

0
KAMBI ya timu ya taifa, Taifa Stars imezidi kunoga baada ya mabeki wawili wa pembeni wa Simba, Shomary Kapombe na Mohammed Hussein 'Tshabalala' kuongezwa...
TIKETI ZATOLEWA BURE KWA MASHABIKI LEO...MECHI YA TAIFA STARS VS UGANDA

TIKETI ZATOLEWA BURE KWA MASHABIKI LEO…MECHI YA TAIFA STARS VS UGANDA

0
KILA mmoja hawezi kuamini kile ambacho Stars watakifanya leo wakati watakapokuwa wakivaana na Uganda kwenye mchezo wa kufuzu kwa fainali za Kombe la Mataifa...
MTAALAMU WA YANGA SC...ATEKWA NA WALIBERIA...APATIWA MISHENI YA SIRI

MTAALAMU WA YANGA SC…ATEKWA NA WALIBERIA…APATIWA MISHENI YA SIRI

0
UBORA iliyonayo Yanga kwa sasa unavuma sio hapa Tanzania tu, bali hadi katika mataifa mengine ya Afrika na sasa Shirikisho la Soka Liberia limekubali...
 wachezaji kupambana na kutupatia ushindi ndio maana tumeweka bonasi hiyo ili kuwapa motisha na hali ya upambanaji zaidi. Kwa upande wetu viongozi tunaendelea kuihudumia timu na kuhakikisha wachezaji wetu wanafanya kazi katika mazingira rafiki na mengine tumewaachia benchi la ufundi," alisema. Polisi imecheza mechi 25, ikishinda nne, sare saba na kupoteza 14 ikiwa na pointi 19 na kwenye mechi tano ilizosalia itavaana na Singida Big Stars, Ihefu, Mtibwa Sugar, Simba na Azam.

POLISI TANZANIA WAOGESHWA MANOTI…MWINYI ZAHERA ASHANGAZWA!!

0
Kikosi cha Polisi Tanzania kimeendelea kujinoa kuhakikisha kinajinasua mkiani mwa Ligi Kuu, huku mastaa wa timu hiyo wakiwekewa mamilioni mezani ili wapambane na kuipusha...
YANGAKULITETEA TAJI LAO...TUMEWAACHA POINTI NYINGI WANAOTUFATA...TUNAPAMBANIA MATAJI YOTE

YANGA YAMFUTA KAZI KOCHA WAO MKUU…KOCHA WA MUDA AKABIDHIWA TIMU

0
BAADA ya Yanga Princess kuonekana kusuasua kwenye Ligi ya Wanawake (WPL) msimu huu hatimaye viongozi wamefikia makubaliano ya pande zote mbili kuvunja mkataba na...
KIUNGO MNIGERIA AWAGOMEA SIMBA...MABOSI WACHANGANYIKIWA

KIUNGO MNIGERIA AWAGOMEA SIMBA…MABOSI WACHANGANYIKIWA

0
Wakati Kiungo wa Simba raia wa Nigeria, Victor Akpan akiendelea kusaka namba katika kikosi cha Ihefu, ameiomba klabu yake impeleke Coastal Union. Akpan alisajiliwa na...
MANARA AMTAFUTIA TIMU ULAYA FEISAL SALUM "FEI TOTO"...ALIAHIDIWA MIL 300...A-Z CHANZO CHA KUISALITI YANGA

MANARA AMTAFUTIA TIMU ULAYA FEISAL SALUM “FEI TOTO”…KULIPWA MIL 300…

0
Sakata la kiungo wa Yanga Feisal salum 'Fei Toto' limezidi kushangaza wengi baada ya kuibuka kwa mzee Sunday Manara ambaye amefunguka kila kitu kuhusu...
MAGAZETI: SIMBA YAVAMIA KAMBI YA TAIFA STARS...MORRISON AMEZUA JIPYA YANGA HILI HAPA

MAGAZETI: SIMBA YAVAMIA KAMBI YA TAIFA STARS…MORRISON AMEZUA JIPYA YANGA HILI HAPA

0
March 28, 2023,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za nyuma za Magazeti ya leo Tanzania
MAGAZETI: YANGA SC YAFANYA USAJLI..NABI AAGIZA WINGA HATARI KUTOKA MALI...PHIRI ATIBUA MIPANGO SIMBA

MAGAZETI: YANGA SC YAFANYA USAJLI…NABI AAGIZA WINGA HATARI KUTOKA MALI…PHIRI ATIBUA MIPANGO SIMBA

0
March 28, 2023,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za nyuma za Magazeti ya leo Tanzania