BACCA AWATULIZA WANANCHI, SUBIRA, TUTARUDI TUKIWA HATARI

0
BEKI wa Yanga, Ibrahim Hamad maarufu kama Bacca, amewataka mashabiki wa timu hiyo kubaki wamoja na kuwa na subira kufuatia matokeo ya hivi karibuni...

KWANINI CHAMA HAKUPIGA PENALTI, MAAMUZI YA SIMBA KUCHUKUA UBINGWA WAZI

0
KIUNGO wa Simba SC, Clatous Chama, amefunguka sababu mbili kuu zilizomfanya aamue kutopiga penalti aliyopata timu yake katika fainali ya Kombe la Muungano na...

SHAKHTAR DONETSK KWENYE VITA YA KUISAKA FAINALI DHIDI YA CRYSTAL PALACE

0
Leo Alhamisi tarehe 30 Aprili saa 22:00 Uwanja wa Henryk Reyman huko Krakow, Poland, utakuwa Jukwaa la pambano la hatua ya nusu fainali ya...

IBRA CLASS, MAPAMBANO YA NANI MKALI SASA NO

0
BONDIA wa kulipwa wa Tanzania, Ibrahim Mgender maarufu kama Ibra Class, ameweka malengo ya kushinda mataji makubwa ya kimataifa baada ya kutwaa mikanda miwili...

UEFA YAFAFANUA SABABU YA ARSENAL KUNYIMWA PENALTI

0
SHIRIKISHO la Soka Ulaya (UEFA), limetoa ufafanuzi kuhusu tukio la utata lililopelekea Arsenal kunyimwa penalti katika mechi ya nusu fainali ya mkondo wa kwanza...

DABI YACHAFUKA MAPEMA, YANGA YAPEWA TAHADHARI

0
MENEJA wa Idara ya Habari na Mawasiliano wa Simba, Ahmed Ally, amesema ushindi walioupata dhidi ya Yanga katika fainali umefuta uteja wa kufungwa mara...

KIPIGO CHA SIMBA KIMETUFUMBUA MACHO, SASA NI VITA YA DABI PEDRO

0
BAADA ya kupoteza fainali ya Kombe la Muungano kwa kufungwa bao 1-0 na Simba katika Uwanja wa New Amaan Complex, Zanzibar, Kocha Mkuu wa...

KUTOKA WYDAD MPAKA HADI SIMBA, MWALIMU ATOA DARASA LA MECHI KUBWA

0
MSHAMBULIAJI wa Simba, Selemani Mwalimu, amesema uzoefu alioupata nje ya nchi umemjengea utulivu mkubwa katika mechi za presha, hali inayomsaidia kung’ara kwenye michezo mikubwa...

SIKINDE, BOGOSS MUSICA KUTIKISA FAINALI YA CHEZA KIDANSI AWARDS

0
IJUMAA hii katika eneo la Ngoreme Park Sinza Mori jijini Dar es Salaam, mashabiki wa muziki wa dansi wanatarajiwa kushuhudia kilele cha msimu wa...

KIPA SPURS AGEUKIA UDIJEI

0
LONDON, ENGLAND: ALIYEKUWA kipa wa Tottenham Hotspur, Alfie Whiteman, ameanza maisha mapya nje ya soka akiwa mkurugenzi wa filamu, mwigizaji, dijei (DJ) na mpiga picha...