ZAMU YA MASHUJAA IMEFIKA LEO
Je unajua leo hii kitawaka kwenye michuano hii mikubwa Duniani inayoendelea?. Basi wakali wa kubashiri Tanzania nao wanakwambia kuwa nafasi ya kuondoka pesa ndefu bado…
Je unajua leo hii kitawaka kwenye michuano hii mikubwa Duniani inayoendelea?. Basi wakali wa kubashiri Tanzania nao wanakwambia kuwa nafasi ya kuondoka pesa ndefu bado…
TIMU ya Taifa ya wanawake ya Uganda chini ya umri wa miaka 17 imeibuka bingwa mpya wa michuano ya Afrika Mashariki na Kati (CECAFA) kwa…
KAIMU Kocha Mkuu wa Yanga, Abdihamid Moallin, amesema ingawa kuna sababu nyingi ambazo zingeweza kutolewa kama visingizio kutokana na mfululizo wa mechi zinazochezwa kwa muda…
KOCHA Msaidizi wa Azam, Kassim Liogope, amesema kitendo cha kukutana na Yanga kwa mara tano ndani ya msimu mmoja, kwao inawapa picha halisi ya mpinzani…
UONGOZI wa Simba umeamua kubadili mtazamo wake katika uendeshaji wa benchi la ufundi kwa kuweka mkazo kwenye utulivu na mwendelezo, hatua inayolenga kuhakikisha makosa ya…
UONGOZI wa Yanga umeanza rasmi harakati za kumrudisha kiungo mshambuliaji Stephane Aziz Ki kwa kuingia kwenye mazungumzo na klabu yake ya Al Ittihad ya Libya,…
SIMBA imeendelea kusaka kipa bora kila kona ya Afrika miongoni mwa makipa wanaowafuatilia kipa Mgaboni Loyce Mbaba anayekipiga Stella Abidjan ya Ivory Coast. Huyu anakuwa…
SAHAU kilichotokea Mwanza saa 70, zilizopita leo ni hadithi mpya kabisa kwa kocha Abdihamid Moallin wa Yanga anajua hatma ya ubingwa ipo mikononi wa Florent…
Football fans often come across different betting lines and numerical indicators when following match previews and predictions. For many beginners, these numbers may seem confusing…
BAADA ya Simba SC kukosa ubingwa kwa misimu minne mfululizo, Kocha Mkuu wa timu hiyo, Steve Barker, amesema kikosi chake kimejipanga kuhakikisha kinatwaa angalau taji…