Home Blog
KIKOSI cha Yanga kinaendelea kujiandaa na mchezo utakaopigwa keshokutwa dhidi ya JKT Tanzania huku, nahodha msaidizi, Dickson Job akiwatega mabosi wake kutokana na kuanza kuhesabu siku kabla ya mkataba alionao kumalizika. Ofa kadhaa zimeanza kumiminika kwa mchezaji huyo jambo linalowapa...
Wakati unatawala anga kupitia mchezo wa Super Heli unapata fursa ya kunyeshewa na mvua ya kifalme kupitia promosheni ya (Royalty Showers) ambayo inaendelea kupitia mchezo wa Super Heli na wateja wana fursa kujishindia maokoto kupitia promosheni hii. Wakati huu ambao...
Meridianbet wanakwambia kuwa nafasi ya wewe kuibuka na mkwanja wa maana ipo leo ambapo timu kibao Duniani zinaendelea. Ingia kwenye akaunti yako na usuke jamvi lako la maana hapa. Anza kusuka jamvi Uingereza leo hii ambapo kuna mchezo mmoja wa...
MAKOSA yaliyofanywa na winga, Ladaki Chasambi dakika ya 75 kwa kurudisha vibaya mpira kwa golikipa, Mussa Camara, yameifanya Simba kupata sare ya bao 1-1 dhidi ya wenyeji Fountain Gate katika mechi ya Ligi Kuu Tanzania Bara iliyochezwa kwenye Uwanja...
MAMA wa msanii wa Bongo Flava na mjasiriamali, Hamisa Mobeto, Shufaa Rutiginga amesema mwanaye huwa hamfichi jambo lolote ikiwamo mahusiano yake na amekuwa mshauri wake kwenye kila jambo, huku akikiri kuna posa zimemfikia. Kumekuwa na stori kwenye mitandao ya kijamii...
ACHANA na matokeo ya mechi za jana na juzi ikiwa fungua dimba raundi ya 17 kwa Ligi Kuu Bara, kama hujui ni kwamba Simba ndio timu pekee iliyopata penalti nyingi kuliko yoyote ikiwa nazo saba huku zote ikiweka kambani. Yaani...
LICHA ya kupeleka ombi la kuvunja mkataba ili aondoke klabuni kwa kilichoelezwa amepata ofa nono kutoka CR Belouizdad ya Algeria, lakini kuna mambo kadhaa nyuma ya pazia katika dili la kocha Sead Ramovic kusepa Yanga ikiwa ni siku 82...
UKISIKIA kata mti panda mti, ndicho kilichofanywa na Yanga baada ya mabosi wa klabu hiyo kushtushwa na uamuzi wa ghafla wa kocha Sead Ramovic aliyeomba kuvunja mkataba kisha juzi Jumanne akawaaga wachezaji na maofisa wengine wa timu. Hata hivyo, chapu...
Hatimaye sakata la wachezaji watatu nyota wa timu ya Singida Black Stars (SBS) kupewa uraia wa Tanzania, limetinga kortini. Wakili Peter Madeleka amefungua kesi ya kikatiba akidai utoaji huo wa uraia ulikiuka Katiba ya Tanzania. Kesi hiyo ya kikatiba imesajiliwa Mahakama...
Sloti ya Dream Catcher inakamata ndoto zako kiurahisi sana kwa kubashiri namba za maajabu, kuna namba 40 unapaswa upatie namba zipi zitatokea baada ya gurudumu la mzunguko kusimama. Kasino ya mtandaoni ya Meridianbet inakupa nafasi ya kufukuzia ndoto zako wakati...
329,001FansLike
12,344FollowersFollow
16,900SubscribersSubscribe

EDITOR PICKS