Home Blog
Kiungo wa Yanga SC, Feisal Salum (Fei Toto) amesema alifikia uamuzi wa kuvunja mkataba na klabu hiyo kutokana na manyanyaso aliyokuwa akiyapata kutoka kwa uongozi, ikiwemo kuzushiwa kwamba ameuza mechi.
Akizungumza kupitia Clouds FM, Fei Toto amesema tangu aliposaini mkataba...
Mchezo wa Poker Hold’em
Meridianbet kasino ya mtandaoni wameanzisha promosheni kwa msimu huu wa Kiangazi baada ya ligi nyingi kumalizika, ili kuendelea kuwapa hela wateja wake unaambiwa cheza sloti na michezo ya kasino kama Poker Texas Hold’em ujinyakulie mkwanja...
Mabosi wa Azam FC wamebadili gia angani na kutuma ofa katika klabu ya Al Hilal juu ya kuangalia uwezekano wa kupata huduma ya Lamine Jarjou na Makabi Lolepo baada ya kuona dili la kumleta nyota wa Marumo Gallants, Ranga...
Ni rahisi kusema Simba wamezidiwa tena ujanja baada ya kipa wanayedaiwa kumtaka Washington Arubi kutoka Marumo Gallants kusaini mkataba wa kuichezea timu nyingine.
Arubi alionyesha kiwango cha juu wakati Marumo Gallants walipovaana na Yanga kwenye hatua ya nusu fainali ya...
Siri imefichuka! hivyo ndiyo unavyosema kusema baada ya taarifa kutoka Afrika Kusini kueleza kiwango cha mshahara ambacho mshambuliaji wa Yanga, Fiston Mayele anataka apewe ili atue Kaizer Chiefs.
Mayele amekuwa kwenye ubora wa hali ya juu msimu huu akiwa amemaliza...
Robert Oliveira, Kocha Mkuu wa Simba amesema kuwa anahitaji maboresho zaidi kwenye kikosi hicho ili kuongeza ushindani ndani ya timu hiyo.
Raia huyo wa Brazil amesema kuwa Simba ni timu kubwa ambayo inajulikana kila kona ya dunia hivyo ni muhimu...
Simba ina kazi kubwa mbele yake, wakati inapambana kusajili mastaa wapya wa kuongeza nguvu kikosini, ina mtihani wa kumbakiza kiungo wao mkabaji Sadio Kanoute aliyetoa sharti gumu la kuendelea kuchezea klabu hiyo.
Taarifa ya uhakika inasema Kanoute kamaliza mkataba na...
Kiungo mshambuliaji wa Yanga, Feisal Salum 'Fei Toto' amesema kuwa mdhamini wa klabu hiyo, Ghalib Said Mohammed (GSM) amekuwa akimdharau ikiwa ni pamoja na kutopokea simu zake wala kujibu ujumbe wake wa simu.
Fei Toto amesema hayo wakati akihojiwa na...
Makamu wa Rais wa klabu ya Young Africans Arafat Haji, amewaondoa wasiwasi Mashabiki na Wanachama wa Klabu hiyo kuhusu mustakabali wa Mshambuliaji kutoka DR Congo Fiston Kalala Mayele, ambaye anadaiwa kuwindwa na baadhi ya Klabu za BArani Afrika.
Kufanya vizuri...
Kocha Mkuu Simba SC, Roberto Oliviera ‘Robertinho’ ameweka wazi msimamo wake kwa kuwaambia mabosi wa timu hiyo kuwa katika mapendekezo yake ya usajili anahitaji kuona kila nafasi iwe na zaidi ya wachezaji wawili wenye viwango vya kuzidiana.
Robertinho ametoa kauli...