Home Blog
KLABU ya Yanga imesema tayari imempata Kocha Mkuu atakayeifundisha timu hiyo kwa msimu ujao wa mashindano, lakini haitomtangaza hadi hapo itakapomaliza zoezi la usajili ambalo yeye ndio analisimamia.
Ofisa Habari wa Klabu hiyo, Ali Kamwe, alisema kazi iliyokuwepo sasa ni...
Klabu ya Simba imetajwa kuwa mbioni kuinasa saini ya beki wa kushoto wa JKT Tanzania, Karim Mfaume Bakari, ili kumsaidia Mohamed Hussein 'Tshabalala' msimu ujao wa mashindano.
Uhitaji wa beki huyo unaendeleza mpango wa klabu hiyo kutaka kuchukua wachezaji kadhaa...
MOJA ya kazi iliyofanywa na kikao cha Bodi ya Wakurugenzi pamoja na Bodi ya Ushauri chini ya Mwenyekiti, Mohamed Dewji, hivi karibuni ni kupitia ripoti ya Kocha Mkuu, Fadlu Davids, kuwapa watu majukumu ya kusaka wachezaji watakaojaza maeneo yaliyoainishwa...
KIPYENGA cha usajili tayari kimepulizwa. Kikimaanisha kwamba klabu mbalimbali zimeingia sokoni kusaka nguvu mpya tayari kwa msimu ujao wa michuano mbalimbali.
Yanga, Simba pamoja na Azam na Singida Black Stars ni miongoni mwa timu zilizowekeza nguvu kubwa kwenye usajili zikiangalia...
KLABU kongwe nchini, Simba na Yanga, zimetembeza panga kwa upande wa wachezaji wa kimataifa kuelekea msimu mpya, huku zikilenga kuboresha vikosi vyao zaidi kwa ajili ya malengo makubwa kwenye michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika, imefahamika.
Simba na Yanga zipo...
HUKU ikitaja sababu tatu za kumrejesha golikipa, Aishi Manula kundini baada ya kumpoteza kwa kipindi cha miaka minane, uongozi wa Azam FC, umesema ujio wa Aishi Manula katika klabu hiyo ni pendekezo la Kocha Mkuu Florent Ibenge.
Klabu hiyo ilimtangaza...
KLABU ya Simba imesema kwa sasa viongozi wake wa ngazi ya juu wamekuwa na vikao kila siku kwa ajili ya usajili na kupanga mikakati kabambe kwa ajili ya msimu ujao, huku ikithibitisha rasmi kuwa imembakisha Kocha Mkuu, Fadlu Davids...
Mwaka uliopita, Chama cha Umoja wa Vilabu Afrika (ACA) chini ya uongozi wa Eng. Hersi Said, kilifanikiwa kushawishi CAF kutoa dola 50,000 kwa kila klabu iliyoshiriki Ligi ya Mabingwa Afrika (CAF CL) na Kombe la Shirikisho (CAF CC) katika...
Nyingine tena kutoka kwa wakali wa michezo ya Ubashiri nchini. Meridianbet wanaonyesha kuwa wao ni zaidi ya burudani kwa kuja na promosheni kali kupita kawaida. Kupitia mchezo maarufu wa kasino mtandaoni wa Super Heli, sasa unaweza kujishindia simu mpya...
Kama unapenda michezo ya kasino mtandaoni au unataka kuijaribu kwa mara ya kwanza, huu hapa ni mchongo wa mwezi: kuwa rubani wa maisha yako kupitia mchezo wa Aviator kutoka Meridianbet.
Kuanzia Julai 1 hadi mwisho wa mwezi, Meridianbet wana promosheni...