Home Blog
Aliyekuwa MENEJA Mkuu wa Simba, Dimitar Pantev, ametoa kauli iliyoashiria kuumizwa na matokeo ya kupoteza mechi mbili za kwanza hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika, huku akitaja mambo matatu yaliyochangia hilo.
Simba imeanza hatua hiyo ya makundi kwa...
MASHABIKI wa Simba bado hawaamini kilichoikuta timu hiyo katika mechi za kimataifa msimu huu ikiwa hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika.
Simba imeshacheza mechi mbili za Kundi D na zote imepoteza mbele ya Petro Atletico de Luanda ya...
Huu ni msimu wa ushindi na Meridianbet imeamua kuweka moto wa ziada kwa wapenzi wa kasino mtandaoni. Kupitia promosheni mpya ya “Paa na Super Heli, Shinda Samsung A26,” kila mchezaji anaingia kwenye mbio kali za kuvuna simu mpya ya...
MSIMBAZI hali si shwari tangu ilipofanya Mkutano Mkuu wa mwaka Jumapili iliyopita na kisha timu hiyo kupoteza mechi ya pili mfululizo ya Kundi D ya Ligi ya Mabingwa Afrika mbele ya Stade Malien ya Mali iliyomponza Dimitar Pantev kufutwa...
YANGA imemaliza mechi mbili za hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika ikiwa nafasi ya pili katika msimamo wa kundi B, ikikusanya pointi nne iliposhinda dhidi ya FAR Rabat na sare kwa JS Kabylie, huku ikiwa imara katika...
Je unajua kuwa ukipiga *149*10# unaweza ukajishindia Samsung A26?. Mechi kibao za kukupatia pesa zipo hapa huku nafasi ya kushinda zawadi hiyo ya simu janja ikiwa nje kabisa.
Katika msimu huu ambapo kila mtu anatafuta fursa ya kupata kitu cha...
AZAM FC kwa sasa vichwa viko chini wakiuguza maumivu ya kupoteza mechi mbili za kwanza za makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika, lakini mashabiki wa klabu huenda wakatuliza presha kutokana na kauli iliyotolewa na kocha mkuu, Florent Ibenge akisema...
Mwaka huu, Meridianbet wanakuleta Holiday Drops – Christmas Edition, kampeni inayokufanya uwe shujaa wa michezo na mshindi wa zawadi bila kujua ni lini itakukuta! Kuanzia 01.12.2025 hadi 08.01.2026, kila mzunguko kwenye michezo maalum ni fursa ya kupata zawadi za...
Ni Jumatano ya kibabe kabisa na tulivu ambayo imekuja kwaajili ya kubadili maisha yako. Timu kibao zipo uwanjani kuwania pointi 3 huku wewe ukiwania mkwanja wa maana. Ingia kwenye jamvi akaunti yako na ubeti sasa.
COPA ITALIA hatua ya 16...
MASHABIKI wa Yanga wana furaha vilevile mabosi wao, siri ni moja tu ni kwamba kikosi cha timu hiyo kilivyobadilika, lakini kocha Pedro Goncalves mwenyewe humwambii kitu kuhusu wachezaji.
Kocha Pedro amesema kuwa amekielewa kikosi cha timu hiyo na kwamba sasa...









