Zaidi ya Mamilioni Yapo Kwaajili Yako
Je unajua kuwa leo huenda ikawa ni siku yako ya bahati?. Kama hujajua basi mimi ndio nakujuza, ingia kwenye akaunti yako na uweke dau lako…
Je unajua kuwa leo huenda ikawa ni siku yako ya bahati?. Kama hujajua basi mimi ndio nakujuza, ingia kwenye akaunti yako na uweke dau lako…
KIUNGO mchezeshaji na mzoefu wa Simba SC, Clatous Chama, ametuma ujumbe mzito kwa mashabiki wa klabu hiyo baada ya kuweka wazi kuwa kikosi chao kimejipanga…
Klabu ya Yanga SC imeweka wazi kuwa kilele cha Tamasha la Wiki ya Mwananchi kinachotarajiwa kufanyika Jumapili, Agosti 9, 2026, kitaambatana na mchezo wa kirafiki…
HATMA ya mshambuliaji Selemani Mwalimu ndani ya kikosi cha Simba imeanza kuwa kwenye sintofahamu, baada ya klabu hiyo kuripotiwa kuwasilisha ofa kwa Wydad AC ya…
Mshambuliaji wa kimataifa wa Burundi, Mossi Nduwumwe, amekamilisha rasmi uhamisho wake kutoka klabu ya Singida Black Stars na kujiunga na mabingwa wa soka nchini Algeria,…
Kuna msemo maarufu nchini Rwanda unaosema ‘Umutima ntushobora gukunda impande ebyiri icyarimwe’—moyo hauwezi kupenda pande mbili kwa wakati mmoja. Msemo huu unajidhihirisha wazi kwa mastaa…
Kichwa cha Habari: Stand United Yaweka Wazi Mipango ya Usajili na Kambi: Watamba Kurejea Upya Championship! Uongozi wa klabu ya Stand United ‘Chama la Wana’…
MADRID, HISPANIA – Miamba ya soka nchini Hispania, Real Madrid, imefikia makubaliano ya kumsajili winga machachari wa RB Leipzig, Yan Diomande, katika dili la kufuru…
DAR ES SALAAM: Kiungo mshambuliaji wa kimataifa kutoka Afrika Kusini, Neo Maema, anatarajiwa kuwasili nchini leo kukamilisha kurejea kwake katika klabu ya Simba SC kwa…
Mabingwa wa Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara, Yanga SC, wanajiandaa kuanza rasmi safari yao ya kusaka heshima kwenye michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika…