LATEST ARTICLES

KUHUSU POSA YA AZIZ KI KWA HAMISA….UKWELI HUU HAPA….MAMA MZAZI AFUNGUA A-Z….

0
Habari za Yanga leo

MAMA wa msanii wa Bongo Flava na mjasiriamali, Hamisa Mobeto, Shufaa Rutiginga amesema mwanaye huwa hamfichi jambo lolote ikiwamo mahusiano yake na amekuwa mshauri wake kwenye kila jambo, huku akikiri kuna posa zimemfikia. Kumekuwa na stori kwenye mitandao ya kijamii kuhusu nyota wa Yanga, Stephanie Aziz Ki kutaka kumuoa Hamisa na tayari ameshapeleka posa kwa mama yake na mama wa...

PAMOJA NA SARE JANA….SIMBA HII KWA MAGOLI YA PENATI SIO POA AISEE😆😆…YANGA MHHHH…

0
Habari za Simba leo

ACHANA na matokeo ya mechi za jana na juzi ikiwa fungua dimba raundi ya 17 kwa Ligi Kuu Bara, kama hujui ni kwamba Simba ndio timu pekee iliyopata penalti nyingi kuliko yoyote ikiwa nazo saba huku zote ikiweka kambani. Yaani kwa kifupi kila timu inayocheza na Simba ni lazima iwe na tahadhari ya kufanya madhambi langoni mwake, kwani Mnyama haachi...

KUMKATAA CHAMA, SPORTPESA…MAMBO YALIYOIFANYA YANGA KUMPIGA CHINI RAMOVIC FASTA…

0
Habari za Yanga SC

LICHA ya kupeleka ombi la kuvunja mkataba ili aondoke klabuni kwa kilichoelezwa amepata ofa nono kutoka CR Belouizdad ya Algeria, lakini kuna mambo kadhaa nyuma ya pazia katika dili la kocha Sead Ramovic kusepa Yanga ikiwa ni siku 82 tangu alipojiunga nayo Novemba 15, mwaka jana. Ramovic aliyejiunga na Yanga kutoka TS Galaxy ya Afrika Kusini anakuwa kocha wa pili...

MAKUBWAA🤔🤔..KOCHA MPYA YANGA HANA VIGEZO VYA UKOCHA MKUU…USHAHIDI HUU HAPA…

0
Habari za Yanga leo

UKISIKIA kata mti panda mti, ndicho kilichofanywa na Yanga baada ya mabosi wa klabu hiyo kushtushwa na uamuzi wa ghafla wa kocha Sead Ramovic aliyeomba kuvunja mkataba kisha juzi Jumanne akawaaga wachezaji na maofisa wengine wa timu. Hata hivyo, chapu mabosi hao wa Yanga wakambeba kocha mpya Hamdi Miloud kutoka Singida Black Stars ambaye jana asubuhi alitua jijini Dar es...

MAPYA YAIBUKA WACHEZAJI SBS KUPEWA URAIA TZ…..MIL 700 YATAJWA…WAHUSIKA HAWA HAPA…

0
Habari za Michezo leo

Hatimaye sakata la wachezaji watatu nyota wa timu ya Singida Black Stars (SBS) kupewa uraia wa Tanzania, limetinga kortini. Wakili Peter Madeleka amefungua kesi ya kikatiba akidai utoaji huo wa uraia ulikiuka Katiba ya Tanzania. Kesi hiyo ya kikatiba imesajiliwa Mahakama Kuu Masjala ya Dodoma na kupewa namba 2729/2025 na Jaji Evaristo Longopa ndiye ataisikiliza kwa tarehe itakayotajwa kupitia wito wa...

NCHI YA QATAR KAAMUA HATMA YA WAPINZANI WA SIMBA SHIRIKISHO CAF…ISHU IKO HIVI…

0
HABARI ZA SIMBA

Shirikisho la Soka Barani Afrika (CAF) limetangaza tarehe ya droo ya robo fainali ya mashindano ya Klabu Bingwa na Kombe la Shirikisho Afrika kwa timu zilizofuzu hatua hiyo msimu huu ambapo pia limepanga tukio hilo kufanyika Doha, Qatar Februari 20. Baada ya kumaliza katika nafasi ya kwanza kwenye kundi A, la Kombe la Shirikisho Afrika, Simba inatarajia kukutana na timu...

WAKATI MASHABIKI WAKIWA MENO NNJE….HIZI HAPA REKODI TAMU ZA FADLU HUKO SIMBA…

0
HABARI ZA SIMBA-FADLU

MASHABIKI wa Simba wanatamba mitaani namna timu yao inavyopasua mawimbi kuutafuta ubingwa wa Ligi Kuu Bara, lakini ndani ya furaha hiyo kuna rekodi moja ya maana anaifukuzia kocha Fadlu Davids akiwazidi wazungu sita na mzawa mmoja. Kabla ya Fadlu kutua Simba msimu huu, klabu hiyo imewahi kufundishwa na makocha tofauti akiwamo, Mualgeria Abdelhak Benchikha, Mbrazil Roberto Oliveira ‘Robertinho’, Mserbia Zoran...

EARLY PAYOUT YA MERIDIANBET NDIO HABARI YA MJINI…

0
Meridianbet

Kampuni ya Meridianbet imekujia mchongo kabambe kwenye tovuti yao ambapo wamekuletea chaguo jipya linalofahamika kama Early payout chaguo linawapa fursa wateja wanaobashiri mpira wa miguu kupiga mkwanja kirahisi. Meridianbet wamekuja na kitu iinaitwa early payout hii ikiwa na maana mshindi atahesabiwa pale tu timu ambayo ameiwekea ubashiri kuongoza kwa tofauti ya mabao mawili, Kwa mfano inacheza Man United Vs Brighton...

RASMI….KILICHOMTOA RAMOVICH YANGA HIKI HAPA…..WAARABU WATAJWA A-Z….

0
Habari za Yanga leo

KUNA mshtuko umetokea leo jioni kwenye mazoezi ya mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Bara, Yanga wakati kikosi hicho kikijiandaa na mchezo wa ligi hiyo utakaochezwa kesho Jumatano Februari 5, 2025 dhidi ya KenGold utakaochezwa Uwanja wa KMC Complex uliopo Mwenge, Dar es Salaam. Unavyosoma taarifa hii ni kwamba kocha wa Yanga, Sead Ramovic atamalizia mchezo huo wa kesho dhidi ya...

MASHINE HIZI ZA KAZI YANGA KUJIULIZA MBELE YA KINA MORRISON KESHO….

0
Habari za Yanga leo

VITA ya bingwa mtetezi wa Ligi Kuu Bara Yanga na timu inayoshika nafasi ya mwisho kwenye msimamo wa ligi hiyo KenGold, itaamuliwa kibabe kesho kwenye Uwanja wa KMC Complex, Dar es Saalam. Wengi wanasubiri kuona beki mkongwe Kelvin Yondani atakavyokuwa na kazi ya kuizuia safu ya ushambuliaji ya Yanga inayoongozwa na Clement Mzize mwenye mabao saba na Prince Dube aliyefunga...