FEATURED
WHAT'S NEW
- All
- Azam FC
- Burudani
- CAF
- FA Cup
- gazeti la championi
- Gazeti la Championi leo
- Gazeti la Mwanaspoti
- Gazeti la Mwanaspoti leo
- Gazeti la Spoti Xtra
- Geita Gold FC
- Habar za Usajili Simba
- Habari za michezo
- Habari za Simba
- Habari za Simba Leo
- Habari za Usajili
- Habari za usajili Bongo
- Habari za usajili Simba leo
- Habari za Usajili Yanga
- Habari za Yanga
- Habari za Yanga Leo
- Infinix
- kimataifa
- KMC FC
- Ligi Kuu
- magazeti ya leo
- Magazeti ya michezo
- Magazeti ya Michezo Leo
- Makala
- Matokeo ya Simba
- Mechi ya Leo Ligi Kuu
- Mechi ya Yanga
- Mechi za Leo Ligi Kuu
- Mechi za Yanga
- Meridianbet
- Michezo
- Michezo Bongo
- Michezo Soka la Bongo
- Mwanaspoti leo
- Namungo FC
- NBC Premier League
- news
- Ratiba Ligi Kuu Bara
- Simba SC
- Taarifa za Simba
- Taarifa za Simba Leo
- Taarifa za Yanga
- Taarifa za Yanga leo
- Taifa Stars
- Tetesi za usajili
- Tetesi za usajili Bongo
- Tetesi za usajili Simba
- Tetesi za usajili Yanga
- Usajili wa Simba
- video
- yanga
- Yanga SC
NADO AJIFUNGA MIAKA MIWILI AZAM FC
ACCESSORIES
JEMBE JIPYA LAWEKA WAZI SABABU ZA KUMWAGA WINO AZAM
AZAM FC:TUTARUDI KWENYE UBORA WETU
WINDOWS PHONE
YANGA BADO INAPIGIA HESABU UBINGWA
LATEST ARTICLES
SASA HAKUNA TENA MKEKA KUCHANIKA…FANYA HIVYI NA MERIDIANBET UKIONA MKEKA WAKO UNAUNGUA….
: Pata mizunguko 50 ya bure kucheza sloti na michezo ya kasino ya mtandaoni ukijisajili na Meridianbet. Jisajili kupitia link hii  Unaambiwajee!! Ni dozi juu ya dozi, Meridianbet imekuja na promosheni nyingine ambapo hii sio ya kinyonge kwakuwa inakupa nafasi ya kuwa mshindi wa kila siku hata kama umechana na timu moja. Ni Cash Back mpaka mara 100 ya dau...
KISA KIPIGO CHA JANA DHIDI YA UGANDA….KOCHA TAIFA STARS ATOKOMEA GHAFLA…
Kocha Mkuu wa Timu ya Taifa ya Tanzania, Adel Amrouche ametokomea kusikojulikana baada ya mchezo wa timu yake na Uganda kumalizika jana Jumanne, Machi 28, 2023 wakati kikosi chake kikiambulia kichapo cha bao 1-0 kwenye mchezo wa kufuzu Fainali za AFCON 2023. Baada ya mchezo huo kumalizika, Adel aliwakimbia wanahabari huku kocha Mkuu wa Uganda, Milutin Sredojević akibakia peke yake...
BAADA YA KUVAA UZI WA TIMU YA TAIFA YA CONGO…MAYELE AFUNGUKA MAPYA…ATAJA UGUMU WAKE…
Mara baada ya kufanikiwa kupata nafasi ya kucheza dakika tatu za mwisho katika kikosi cha Timu ya Taifa ya DR Congo, Fiston Mayele ameelezea furaha yake, huku akisema tukio hilo limempa nguvu mpya ya kupambana. DR Congo katika mchezo wa juzi Ijumaa wa kufuzu AFCON, ilifanikiwa kuibuka na ushindi wa mabao 3-1 dhidi ya Mauritania, mechi ikichezwa Uwanja wa TP...
NABI ATANGAZA HALI YA HATARI…SILAHA ZA KUTISHA ZAIDI ZANOLEWA…ISHU NZIMA IKO HIVI
Jeshi la Kocha Mkuu wa Yanga Mtunisia, Nasreddine Nabi juzi liliingia kambini tayari kwa mchezo wa mwisho wa makundi wa Kombe la Shirkisho Afrika huku likianza na program ya fiziki pekee. Yanga katika mchezo huo, watacheza dhidi ya TP Mazembe Aprili 2, mwaka huu kwenye Uwanja wa TP Mazembe, Lubumbashi nchini DR Congo saa 10:00 Jioni. Katika mchezo huo, Yanga wataingia...
SIMBA NA YANGA ZAONGOZA…MIGOGORO YA KIMKATABA…NA WACHEZAJI/WATUMISHI WAKE
KAMA ulidhani sakata la kiungo Feisal Salum 'Fei Toto' kuingia kwenye mgogoro wa kimkataba na Yanga ni jipya, sahau. Kwenye soka la Tanzania katika miaka mitano iliyopita yametokea mambo kama hayo hasa kwa miamba ya soka nchini Simba na Yanga. Miamba hiyo imekumbwa na migogoro ya kimkataba kwa wachezaji na watumishi wake wengine kama ilivyo kwa Fei, hata hivyo, zilimalizana nao...
YANGA KUFANYIWA SAPRAIZI HII…HAIJAWAHI TOKEA BONGO…MABOSI WAPAGAWA
MWANZA. WAKATI Yanga ikikabiliwa na ratiba ngumu ya mechi za Ligi Kuu, Shirikisho (ASFC) na Kombe la Shirikisho Afrika, wapinzani wao Kagera Sugar watakabiliana nao mchezo ujao wa ligi wanajifua vikali ili kuwafanyia sapraizi ya maana. Yanga itavaana na Kagera Sugar katika mchezo wa raundi ya 26 Ligi Kuu Aprili 11, saa moja jioni kwenye Uwanja wa Azam, Dar es...
KIUNGO WA YANGA ATIKISA SHIRIKISHO…ALIKAA BILA TIMU NUSU MSIMU
NI Mudathir Yahya pekee kwenye msitu wa mastaa wa kigeni kwenye mashindano ya kimataifa hatua ya makundi ambapo Simba (Ligi ya Mabingwa) na Yanga (Kombe la Shirikisho Afrika), zote zikiwa zimetinga hatua ya robo fainali aliyeweza kuweka rekodi. Mudathir amejiunga na Yanga dirisha dogo la usajili akiwa mchezaji huru baada ya kumaliza mkataba na waajiri wake wa zamani Azam FC...
WACHEZAJI SIMBA WAPEWA MASHARTI HAYA…ASIYEWEZA AONDOKE
MASTAA wa Simba wamepewa masharti mawili na kocha wa timu hiyo Roberto Oliviera Robertinho na kama watayafuata wataweza kwenda naye sawa. Kocha huyo raia wa Brazil amesema staa yeyote wa Simba akiwepo uwanjani anatakiwa kujua kwamba ana mambo mawili ya kutimiza moja ni malengo ya timu na la pili kujipa thamani yeye mwenyewe. Kiufundi alisema anafanya kazi yake kama inavyotakiwa, hivyo...
MORRISON AIBUKA UPYA YANGA…ALLY KAMWE ATOA KAULI YA KLABU…NKANE NAYE NDANI…
Ripoti kutoka kwenye kambi ya Yanga zinasema kuwa kiungo wa pembeni wa klabu hiyo, Bernard Morrison ameshapona kwa asilimia 80 na muda siyo mrefu atarudi kwenye mechi za ligi na kimataifa. Ripoti hiyo ilitolewa na Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano wa Yanga, Ally Kamwe, ambaye alisema mambo ni mazuri kwa Morrison na wachezaji kama Denis Nkane ambao walikuwa...
WAKATI ISHU YA FEI TOTO NA YANGA IKIWA BADO MBICHI…SHAFIIH DAUDA AMPELEKA BACCA AZAM FC…
Baada ya Mlinzi wa Yanga, Ibrahim Hamad "Bacca" kuanza mchezo dhidi ya US Monastir, na kuonesha kiwango safi kisha kuitwa katika Kikosi cha Timu ya Taifa na kuonesha kiwango safi. Kupitia Ukurasa wake wake wa Instagram, Shaffih Dauda ameandika; Tangu kuondoka kwa Aggrey Moris, Serge Paschal Wawa,Said Morad na Yakub Mohamed, Azam FC hawajawahi kuwa na mabeki wa kati wenye ubora...