LATEST ARTICLES

PAMOJA NA KUANZA VYEMA CAF….NABI ATIA NENO YANGA…AFUNGUKA UDHAIFU NA UBORA ….

0
Habari za Yanga SC

KOCHA wa zamani wa Yanga, Nasreddine Nabi ameiangalia timu hiyo kupitia mechi mbili za awali za Kundi B za Ligi ya Mabingwa Afrika na kujikuta akifurahi, kisha akawapa ushauri wa mambo akisema kama wakitulia wanatinga robo fainali. Katika mechi hizo mbili, Yanga ilianza na ushindi wa bao 1-0 mbele ya AS FAR Rabat ya Morocco kwenye Uwanja wa New Amaan,...

BAADA YA KUFUNGA GOLI 1 LA LIGI….BAJABER AFUNGUKA MAGUMU YA SIMBA…

0
Habari za SImba leo

MSHAMBULIAJI wa Simba SC Mohamed Bajaber amefunguka baada ya kufunga bao lake la kwanza tangu ajiunge na Wekundu wa Msimbazi, akisema alikuwa akipita kwenye kipindi kigumu cha kukosa nafasi kutokana na majeraha yaliyomuweka nje kwa muda mrefu. Mchezaji huyo, aliyesajiliwa msimu huu akitokea Polisi Kenya, hakuweza kuanza kuitumikia Simba mapema kutokana na changamoto za kiafya zilizomuweka nje na kumlazimu kushuhudia...

KUELEKEA AFCON 25…..53 WA TAIFA STARS HAWA HAPA…..PANGA LA MWISHO MHHHH….

0
HABARI ZA MICHEZO-TAIFA STARS

KOCHA Mkuu wa Taifa Stars Miguel Gamondi ametangaza kikosi cha awali cha wachezaji 53 kwa ajili ya kujiandaa na michuano ya mataifa ya Afrika AFCON 2025 itakayofanyika nchini Morocco kuanzia Desemba 21 mwaka huu hadi Januari 18, mwakani. Kikosi hicho kina wachezaji wakongwe na wazoefu wa michuano hiyo wakiongozwa na Mbwana Samatta na Simon Msuva. Pia, kina wachezaji chipukizi na...

AUCHO KWENYE RADA ZA KOCHA WA SIMBA…OFA NONO YAWEKWA MEZANI….

0
Habari za Simba leo

WAKATI kikosi cha Singida Black Stars kikitarajiwa kushuka uwanjani kesho jioni kuvaana na TRA United, zipo taarifa kuwa kiungo wa timu hiyo, Khalid Aucho yupo katika rada za wababe wa Morocco, Raja Athletic wanaonolewa na kocha wa zamani wa Simba, Fadlu Davids. Aucho alijiunga na Singida kwa mkataba wa mwaka mmoja akitokea Yanga alikokuwa amecheza kuanzia 2021-2025. Msimu wa 2023/24...

HUKO FIFA …TANZANIA NI AIBU TUPU AISEEE….

0
Taifa Stars

Tanzania imeporomoka kwa nafasi tano kwenye viwango vya ubora vya Shirikisho la Mpira wa Miguu Duniani (FIFA) katika chati ya viwango ya mwezi Novemba. Kichapo cha mabao 4-3 ambacho timu ya Taifa ‘Taifa Stars’ imekipata katika mechi ya kimataifa ya kirafiki, Novemba 15, 2025 kinaonekana kuchangia kwa kiasi kikubwa kuiangusha Tanzania kutoka nafasi ya 107 iliyokuwepo awali hadi nafasi ya...

WAARABU NOMA…WATENGA BIL 15 KUMBEBA FEI TOTO AZAM ….DILI LENYEWE LIKO HIVI….

0
Habari za Michezo leo

BAADA ya kutulia kwa siku kadhaa, Feisal Salum 'Fei Toto' amerudi tena katika kutengeneza vichwa vya habari. Tena safari hii kwa kishindo kizito. Kiungo mshambuliaji huyo maarufu pia kama Zanzibar Finest, alitawala vyombo vya habari kwa takribani miaka mitatu mfululizo, tangu alipojiunga na Azam FC mwaka 2023 akitokea Yanga. Amekuwa akihusishwa na kuhamia klabu mbalimbali za ndani na nje ya nchi. Kwa...

SAFARI YA KIBINGWA KUANZA NA MIZUNGUKO YA BURE KUPITIA WIN&GO…

0
Meridianbet

Meridianbet, kwa mara nyingine, imeamua kupandisha kiwango cha burudani kwa kuzindua Non-Stop Win&Go Drop, ofa ambayo si tu inakupa nafasi ya ushindi, bali inakubadilisha kuwa mchezaji mwenye kupata ushindi bila kutoa pesa yake mfukoni. Hii si promosheni ya kawaida. Ni safari. Safari ambayo inaanza pale unapounda mchanganyiko wako wa machaguo ndani ya Win&Go, na kuishia kwenye bonasi za bure zinazokuweka...

UKITAKA TAARIFA ZOTE ZA MICHEZO INGIA MERIDIANBET SPORT PORTAL…

0
Meridianbet

Meridianbet Sportal Portal?, hili ni jukwaa ambalo Meridianbet hulitumia kwaajili ya kuwahabarisha, kuwaburudisha wapenzi wa michezo na Kasino kutoka sehemu mbalimbali huku lengo likiwa ni kuwafanya wapenzi na mashabiki wa soka kujua mambo mbalimbali yanayoendelea ya kimichezo, kasino, usajili, matokeo, na kupata fursa za kubashiri mechi mbalimbali. Kupitia Kampuni hii kubwa ya ubashiri Tanzania, Meridianbet wapenzi wa soka, masumbwi, kikapu,...

BAADA YA KUTEMWA….PANTEZ ATAJA WACHEZAJI WALIVYOMFELISHA SIMBA…AGUSIA FIFA….

0
Habari za Simba leo

Aliyekuwa MENEJA Mkuu wa Simba, Dimitar Pantev, ametoa kauli iliyoashiria kuumizwa na matokeo ya kupoteza mechi mbili za kwanza hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika, huku akitaja mambo matatu yaliyochangia hilo. Simba imeanza hatua hiyo ya makundi kwa kufungwa nyumbani bao 1-0 dhidi ya Petro Atletico, kisha imechapwa 2-1 na Stade Malien ugenini. Matokeo hayo yameifanya kuburuza mkia...

UKWELI MCHUNGU…..MATATIZO MAKUBWA YA SIMBA NI HAYA 4….’WAKISOLVU’ HAPA …KICHEKO KINARUDI..

0
Habari za Simba leo

MASHABIKI wa Simba bado hawaamini kilichoikuta timu hiyo katika mechi za kimataifa msimu huu ikiwa hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika. Simba imeshacheza mechi mbili za Kundi D na zote imepoteza mbele ya Petro Atletico de Luanda ya Angola nyumbani na Stade Malien ya Mali ugenini. Matokeo hayo yameifanya kuwa mkiani katika kundi hilo lenye mabingwa wa zamani, Esperance...