Latest Posts

MKUDE AWAINGIZA WANAJESHI VITANI

MAKAMANDA wa Mashujaa na JKT Tanzania, wamejikuta wakipiga hesabu moja msimu ujao za kuwania saini ya kiungo mkabaji Jonas Mkude. Mkude ambaye amewahi kuzichezea Simba…

YANGA YATOA JIBU KWA WANAOMTAKA DUBE

KATIKA harakati za kuhakikisha safu yao ya ushambuliaji inaendelea kuwa tishio kwa wapinzani, uongozi wa Yanga SC umeamua kukata mzizi wa fitna kwa kukamilisha mpango…

VIJIMAMBO KUMI WABABE, VIBONDE MZIGONI EPL

LONDON, ENGLAND: JANA, Ijumaa, mechi nnne katika ligi nne kubwa Ulaya zilipigwa kuelekea wikiendi ambayo itakuwa na pilikapilika nyingi katika ligi tano zote bora Ulaya,…

FADLU KWENYE VITA YA UBINGWA MOROCCO

UNAMKUMBUKA Kocha Fadlu Davids aliyekuwa anaiongoza Simba msimu uliopita? Jamaa yuko kwenye vita nyingine kubwa na ngumu ya ubingwa kule Morocco akichuana na kocha mwingine…

STRAIKA DODOMA JIJI ASAKA REKODI MPYA

MSHAMBULIAJI wa Dodoma Jiji, Edgar William amefikisha mabao sita ya Ligi Kuu Bara msimu huu akiwa na kikosi hicho sawa na aliyofunga msimu wa 2024-2025,…