Uncategorized

STARS WAPEWA CHAPUO KUTUSUA AFCON

admin June 14, 2019 1:36 pm


SAMUEL Etoo mchezaji wa zamani wa timu ya Taifa ya Cameroon,Barcelona, Chelsea na Inter Milan amesema kuwa Stars ina nafasi ya kufanya maajabu endapo wachezaji watajituma.

“Nimeshangazwa kuskia kwamba Tanzania inashiriki michuano ya Afcon baada ya kupita miaka mingi kushiriki wakati nacheza na timu ya Tanzania nilikuwa napambana na wachezaji wenye vipaji.

“Ila kwa kuwa kwa sasa wamepata nafasi ya kushiriki naamini watafanya maajabu kwenye michuano ya Afcon kutokana na aina ya timu waliyonayo pamoja na vipaji ambavyo vipo Tanzania endapo wachezaji watajituma,” amesema Etoo.

Stars kwa sasa ipo nchini Misri ilipoweka kambi ambapo kazi kubwa ya maandalizi imeanza na jana walicheza mchezo wa kirafiki dhidi ya Misri na walipoteza kwa kufungwa bao 1-0.


Kwanini tunasita kumwiita Manula , Tanzania one? MZEE KILOMONI AIBUKA, AWAJIBU SIMBA “MNAROPOKA TU” – VIDEO

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply