Uncategorized
KAMA KAWAIDA YAKE, MANARA AMVAA NUGAZ KWA MARA NYINGINE, HIKI NDICHO AMEKIANDIKA
Kama kawaida yake!! Baada ya kuona msemaji mwenzake kutoka Yanga, Antonio Nugaz, akichapia kwa kusema kuwa Yanga ikishinda mechi tatu itakuwa na alama sita badala ya sita, Ofisa Habari wa Simba, Haji Manara ameandika hiki kuhusiana na Nugaz katika mtandao wake wa Instagram.
Nini maoni yako? Tuandikie hapa chini.


Leave a Reply
You must be logged in to post a comment.