Uncategorized
U 17: TANZANIA 3-0 BURUNDI
Tanzania 3-0 Burundi
Goool : Aisha Masaka dakika ya 7 na 10
Goaal: Joyce Meshack dakika ya 33
Mchezo kati ya timu ya Taifa ya Tanzania ya Wanawake U 17 dhidi ya Burundi unaendelea Uwanja wa Taifa.
Kwa sasa ni kipindi cha kwanza, mashabiki wamejitokeza kiasi chake uwanja wa Taifa kuipa sapoti timu ya Taifa, U 17.
Tanzania ipo mbele kwa mabao matatu yaliyopachikwa kimiani na Aisha Masaka 7 na 10 na la tatu limepachikwa kimiani na Joyce Meshack dakika ya 33.
Mchezo huu ni maalumu kwa ajili ya kuwania tiketi ya kufuzu kushiriki kombe la Dunia kwa Wanawake nchini India,2021.
Leave a Reply
You must be logged in to post a comment.