Uncategorized
SIMBA YAMPA PONGEZI KAHATA
UONGOZI wa Simba umempa pongezi Francis Kahata kwa kujitolea kwa jamii yake nchini Kenya.
Kahata ambaye kwa sasa yupo nchini Kenya alitoa msaada wa lita 10,000 za maji safi katika eneo la Mathare, jijini Nairobi ikiwa ni kwa ajili ya mapambano ya Virusi vya Corona.
Ofisa Habari wa Simba Haji Manara amesema kuwa ni jambo la msingi kwa nyota huyo kuisaidia jamii jambo ambalo ni la msingi.
Leave a Reply
You must be logged in to post a comment.