Uncategorized

WILLIAN AINGIA ANGA ZA LIVERPOOL

admin April 24, 2020 6:35 pm


WILLIAN Borges da Silva, kiungo anayekipiga ndani ya Klabu ya Chelsea iliyo chini ya Frank Lampard inaelezwa kuwa yupo kwenye mazungumzo na Klabu ya Liverpool.

Nyota huyo mwenye miaka 31 hajaongeza mkataba mpya ndani ya Chelsea ambapo kumekuwa na mvutano kati yake na mabosi wake ambao wanataka kumpa dili la mwaka mmoja huku yeye akihitaji kupewa kandarasi ya miaka miwili.

Liverpool iliyo chini ya Jurgen Klopp tayari imeanza hesabu za kuinasa saini yake ili kandarasi yake itakapomeguka ndani ya Chelsea aibukie Anfield.


NYOTA WA YANGA APANIA KUENDELEZA MOTO WAKE WA KUCHEKA NA NYAVU YANGA WAPEWA STRAIKA MGHANA, MUONEKANO WA UKURASA WA MBELE GAZETI LA CHAMPIONI JUMAMOSI

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply