Uncategorized

MOLINGA NA EYMAEL WAFIKA KANDA YA ZIWA

admin June 12, 2020 12:47 pm


KOCHA Mkuu wa Yanga na mshambuliaji namba moja wa Yanga kwa sasa wametia timu Mwanza ikiwa ni safari yao ya kuelekea Shinyanga.

Safari yao imeanza leo Dar kwa ndege ambapo wataungana na wachezaji waliotangulia kwa basi Juni 10.

Eymael alichelewa kujiunga na timu kwa kuwa alikuwa nchini Ubelgiji ambapo alikwenda baada ya mapumziko ya lazima yaliyosababishwa na Corona na inaelezwa kuwa alikwenda kukamilisha masuala ya ndoa.

Molinga hakuwa kwenye msafara wa kwanza kwa kile kilichoelezwa kuwa hakujumuishwa kwenye kikosi kitakachosafiri.

Yanga itamenyana na Mwadui FC kesho, Juni 13 ikiwa ni mchezo wa ligi Uwanja wa Kambarage.
AZAM FC KUSHIRIKIANA NA TFF MAADHIMISHO YA SIKU YA UTOAJI DAMU DUNIANI UJUMBE WA RUVU SHOOTING HUU HAPA

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply